Kwa anayejua IQ za marais wetu tangu mwanzo kuanzia Nyerere atujuze hapa jamvini. Nafanya tafiti ili kubaini ikiwa tunavyofikiri kuhusu umuhimu wa IQ ni kweli una-reflect kwenye utendaji na...
Ndugu wapendwa,
Mimi ni mswahili lakini mpaka sasa sijafahamu kwa nini tunatumia neno kuota ? kwa
mtu aliejianika juani tunasema "fulani anaota jua" ?
tujadili, nataka kujifunza kiswahili...
Happy Valentine wana JF!!
Tuzungumze ukweli kabisa, Tanzania ya Kusini (Lindi, Mtwara, Ruvuma na baadhi ya mikoa ya Pwani) sehemu ambayo imesahaulika sana hapa nchini!! Kwa wale waliofika...
:A S-alert1:PLEASE DO NOT TELL ME YOUR AGE
MULTIPLY(*) NUMBER 13837 AND YOUR AGE
I.E. 13837 * YOUR AGE = X
NOW MULTIPLY X AND 73
I.E X * 73 = Y
TELL ME WHAT IS number Y...
wadau wa JF nina mtoto wa ndugu yangu ambaye amemaliza UDSM upande wa UDBS mwaka 2010.tatizo linalomkabili yeye pamija na wenzake kama watatu hivi ni kuwa matkoeo yao hayajakamilishwa mpaka sasa...
Wadau mlioko Bongo embu tujulishen hii ni ya kweli??kuna ndugu yangu alikata safari za kigoma kwa mwezi huu kama mara 5 anateseka na kujuta kukata ATCL..Ninin kimetokea jamani shirika letu...
Gay church marriages set to get the go-ahead
Gay couples currently cannot get married in religious settings
Ministers will publish plans to change the law to enable same-sex couples to "marry"...
Mimi kama mtanzania nasikitika sana hizi kamati na bodi zinazoundwa bungeni ni kulipana posho tu hakuna lolote, Juzi January Makamba wameenda kutembelea Bwawa la Mtera wamekuja na jipya gani ili...
Watz ni heri kuwa mbunge tu, Maana kama mbunge kwa kipindi hiki amelipwa mil 90 ( Mwananchi Source Today) . Chukua mili 90 mara wabunge 360, Hii nchi Jamani wengine tunaliwa tu.
Kweli ni heri...
Hivi kwa nini havijengwi vituo maalumu vyenye hadhi kwa ajili ya "kuchimba dawa" tunapokuwa safarini? Hawa wenye magari wameanzisha vituo rasmi kwa ajili ya kazi hiyo lakini vina upungufu kwa...
Dearest hon dk ndodi
nimewiwa kujiuliza kwa jinsi unavyojitahdi kujitangza ni vyema na moja ya biashara
nafikiria zaidi nikuulize kwa nini ofisi zako ziwe mahotelini..kama una aamini kazi yako kwa...
Wana jf ni matumaini yangu kila mmoja wetu anajua umuhimu wa KCMC kwa umma. Hospitali hii inakabiliwa na changamoto nyingi hasa upungufu wa wodi za kulaza wagonjwa hasa kutokana na kuongezeka kwa...
Habari za mida wana JF!
Jamn naombeni msaada hivi kuna website inayoruhusu kufungua website bure kabisa au unalipa baadae! Iwe ya myname.com. Kama ipo wakuu mnipe nizame nataka nianzishe website...
Ndugu zangu,
Hii ni kuoa tahadhari kwa waendesha magari hasa katika jiji la Dar.
Enzi za watu kukwepa magari zimekwisha, sasa ni waendesha magari kuwakwepa wapita njia (waendao kwa miguu)
Leo...
Taarifa ya kujisafisha kwako bado inawalakini sisi watanzania ili uwe msafi pamoja na yote na taarifa kuwa ushaidi umeshindwa kubaini kama ulihusika,tunachohitaji ni kupata taarifa kamili ya...
Posho yawakimbiza madaktari wapya Temeke
na Nasra Abdallah
MADAKTARI wapya waliopangiwa kufanya kazi katika hospitali ya Temeke Dar es Salaam, hawajapewa posho zao kwa miezi mitatu tangu...
Baada ya kuona watu tunavyomlaumu Mungu kwa makosa yetu wenyewe nimeona nilete hii article Jamvini ili tuijadili
Why Do We Blame God for Catastrophes?
Insurance companies speak of damage...
Msanii mmoja wa Hip Hop wa kike anayechipukia wa Uingereza amefariki dunia baada ya kujidunga sindano ya kuongeza makalio ili aweze kutamba kwenye anga za muziki kama kina Beyonce au Jennifer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.