Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
kodi ya maendeleo ya Taxi na pikipiki imepanda toka 95000 mpaka 191000. Watu wa pikipiki na taxi wanalalama! Ari mpya, nguvu mpya kasi mpya hukooooo Tabora! Source: TBC Kipindi cha Dira
0 Reactions
23 Replies
3K Views
"The night before government abolished cooperatives, wise men had been told by secret sources and therefore they spend a night resolving KNCU and registering Kilimanjaro Uremi Corporation or KUC...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mmoja wa mtumiaji wa huduma ya internet ya zantel (Zconnect) tangu walipoanza kuleta modem zao. Kubwa zaidi nilijiunga kuwa mteja wa high life. Hivyo nilikua najiunga na kifurushi cha wiki...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
IT’S FAKE! Tanzania Standard (Newspapers) Limited employees Monica Kayuni (left), Jacqueline Sadicky (centre) and Jane Chiponde look with consternation at the counterfeit 10,000/- notes collected...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tangu kuanza kwa bunge linaloendelea makinda amejitokeza wazi kwamba amepania kweli kweli kukwamisha wabunge wa CDM katika kutekeleza wajibu wao wa kuisimamia na kuikosoa serikali inapobidi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Watanzania kwa pamoja tumekubaliana kwamba kutokana na majukumu makubwa waliyonayo Viongozi na watendaji waandamizi serikalini, ambayo yanahitaji akili iliyotulia, kuna umuimu mkubwa kutumia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika Uchaguzi uliomuingiza Mkwere Madarakani Mwaka 2005, Kanisa katoriki lilijiingiza kwenye Siasa za uchaguzi Miguu yote miwili na kuwalazimisha Watanzania Wamchague Kikwete kwa sababu ni...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
wakuu jana nilikwenda wapo mission wana kifaa cha kupima afya mwili mzima kwa sekunde 56 na kinakupa majibu yote nakama unaflash disk wanakuwekea majibu yako na pia wanamtambo wakutoa sumu mwilini...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
HABARI Wana JF:embarrassed: Mie ningependa kuuliza kuhusu mawaziri vivuli mbona sielewi wanamaanisha nini? manake nimesoma gazeti la mwananchi nimeona Mh. MBOWE alikuwa akiwatangaza hao mawaziri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Soma Hii Habari; Sisi Bara kweli hatuna huu Udini; Ni Bora kuiacha Zanzibar wenyewe... sasa hivi wanadai KILWA ni yao... ….HAKIKA NDUGU ZETU WAISLAM WA TANGANYIKA HAWANA CHOCHOTE CHA KURINGIA...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
WanaJF niaje nimepita jana jion kwny njia panda kuelekea chang'ombe nikashangaa kukuta magal na folen kubwa 2uu alafu baada ya kufika pale kila m2 anacheka kuangalia nje ndo ninaona hayo maneno hv...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
By Lesley Wroughton WASHINGTON | Tue Feb 15, 2011 5:21pm EST WASHINGTON (Reuters) - World Bank chief Robert Zoellick on Tuesday said global food prices have reached "dangerous levels," and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu? Nina mtoto ambaye anatarajia kufanya mtihani wa kidato cha nne mwaka huu kama mtahiniwa wa kujitegemea, Shuleni kwao waliambiwa kuwa form hawana kwa kuwa baraza la...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi wewe Mggid mbona unaenda kujibia maswali ya JF kule kwa Shigongo? Why dont you Put your views here yaishie hapa. Achana na mambo ya kwenda kwenye Forum nyingine na kusema kule JF wako hivi na...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Wakuu, Mara kwa mara nimekuwa nikitazama hizi clips za Rais JK alivyoenda kijijini kwake Msoga, ni mengi ya kujifunza na kujiuliza kuhusu Rais wetu kwa kutazama hizi clips. Na nyingine hii:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nimejaribu kufanya utafiti usio "rasmi" na kubaini kuwa inapotokea mwanaume aliyeoa kumtongoza mtu mwingine ambaye tayari ameshaolewa au bado hajaolewa inakuwa rahisi kupita maelezo kukubaliwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Je ni Africa, Ulaya, Marekani, Asia au kwingineko?? Najua kila mtu ana mtazamo tofauti, plz help out on this assignment. Thanks in advance.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Jihadhalini na noti bandia za 10,000 zimezagaa mno. Inasemekana Benki ya CRDB Lumumba wamezigawa kwa wateja.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Watanzania wa kipato cha chini mbona mambo yanazidi kutuendea kombo! Nauli mpya zaja , mgao wa umeme ndo kwanza umeshika kasi, umeme wenyewe bei juu mambo kibao bei juu. Wenye nyumba nao...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
FATAKI-Kipande kidogo cha shaba kinachotiwa baruti na kilichomo ktk risas AU karatas zinazotengenezwa na kutiwa baruti ndani CHEMUA-kupga chafya KINYO-mk*ndu MARMAR-marumaru...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Back
Top Bottom