Wana Jf
naomba niipongeze serikali yetu ya Tanzania kwa kazi nzuri inayo ifanya kutangaza mbuga zetu nchi za nje,nalisema hili baada ya kuona mabango wakati naangalia mechi kati ya sunderland na...
daladala zote jijini mwanza zimegoma leo kuanzia saa 3 asubuhi kushinikiza bei ya nauli za daladala zipande kutoka 250 to 300 kwa route fupi n 450 to 500 kwa route ndefu kutokana na bei kubwa ya...
Wakubwa
Mimi nimefurahishwa na jinsi Ngo hii inavyojitangaza ikionesha kazi zake katika video .naweza nisijui ukweli wa yaliyomo lakini hii nimeipenda sana hasa katika zama hizi za Tecnlojia...
Wakuu, kama mnakumbuka miaka ya nyuma hadi mwanzoni mwa mwaka 2008 kulikuwa na gazeti lilikuwa linatoka kila Jumatano na lilikuwa linaitwa JITAMBUE na mmiliki wake kama sikosei alikuwa MUNGA...
Taifa la Tanzania limekumbwa na kirusi 'wizi' ambaye kwa hakika ataliangamiza kabisa bila juhudi za makusudi kuchuliwa na wananchi wenyewe.Kila kukicha hali ni bora ya juzi,gharama za maisha...
Wana JF, ifuatayo ni Career Background ya JK, Kuanzia mwaka 1988-2011 na kuendelea nimejaribu kuangalia baadhi ya majanga ya kitaifa yaliyosababishwa na raisi Kikwete katika kipindi chote ambacho...
After Taveta Airport ... a new company has embarked on building lodges in the Mt Kilimanjaro area.
source - Business Daily
Group plans to build lodges near Mt Kilimanjaro
Tatizo la mimba kutoka au kutolewa ni jambo ambalo limewakumba kina mama wengi walio katika umri wa kuzaa. Aidha mijadala kuhusu kuhalalishwa au kuendelea kuharamishwa kwa utoaji mimba ni jambo...
Jana hapa Mnazi mmoja Mh Makam wa rais alikua akizindua kampeni ya usafi wa mazingira. Cha kusikitisha, wahusika hawakumpa persanal protective equipment (ppe) kama gloves,mask, etc avae. Wao...
Dar among dirtiest cities in Africa, says minister Tuesday, 08 February 2011 22:12
By Joas Kaijage,
The Citizen Correspondent
Bukoba.
Tanzania commercial capital, Dar es Salaam, is ranked...
Mh,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.JM Kikwete, Naleta ombi langu kwako japo umechelea kufanya maamuzi juu ya viongozi hawa ambao umri wao wa kustaafu na bado wako...
Ba ndugu,
Tafadhali naomba anayefahamu nyumba ya wazee/old people hom hapa DSM ipo sehemu gani. Somebody wants to go and distribute some items there but we do not where can we find one.
Pse pse help.
Wizi wa Kagoda
YUSUF Manji, mfanyabiashara wa Dar es Salaam, ni miongoni mwa walionufaika na mabilioni ya shilingi ambayo yalikwapuliwa na kampuni ya kitapeli ya Kagoda Agriculture Limited...
Msichana mmoja wa nchini Uingereza amefariki dunia punde baada ya kupigwa busu kwa mara ya kwanza na mpenzi wake.
Jemma Benjamin msichana mwenye umri wa miaka 18 alikuwa kwenye matembezi na...
Kutakuwa na köngamano kuubwa, kujadili mustakabali wa kisiasa hapa nchini toka harakati za uhuru hadi sasa. Wahadhiri mbalimbi na masheikh maarufu watakuwepo. PIA ITAKUWA LIVE KUPITIA "RADIO...
Ni jambo la kawaida kwa jamii ya kizazi hiki kumzomea kiongozi anayetoa hoja ambazo hazina mshiko na kujaa pumba kwao.
Hivi karibuni kiongozi, na mshika bango la elimu aliipata homa ya...
Kuteuliwa kwa kamishna Mkuu NDG Ulungi kulitegemewa na Wengi na watumishi wanamwamini na wanampongeza rais Jk kwa uteuzi huo ulungi siyo fisadi na ni mtu wa kufuata sheria asiye na majungu.Hata...
Heshima yenu wanajamvi.
Naomba tafadhali mtu anayejua maneno ya wimbo wa
"Sisi Tunataka Kuwasha Mwenge"
Sijui ulitungwa lini lakini ni wimbo unaojulikana sana. Nadhani ulitungwa na kikosi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.