Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
NDUGU ZANGU WATANZANIA NATAFUTA WATU WA KUNIUNGA MKONO , ILI TUANDAMANE KUELEKEA IKULU. NATAKA RAIS ATUAMBIE UFUMBUZI WA MASUARA HAYA MGAWO WA UMEME UTAISHA LINI? jamani kwa sasa hakuna...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hii ni kwa mujibu wa vyombo vya habari vilivyotoka leo, hapa tusipokaa sawa huenda dowans wakalipwa hayo mabilion wiki ijayo.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
hivi kuna ukweli wowote kuhusu population ya mkoa wa mwanza ni kubwa kuliko population ya chi ya zanzibar kama ni hivyo basi kumbe hata mwanza ni nchi huru kwani tunaona kura za diwani wa bara ni...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Kutokana na vishawishi vya kimapenzi kutokana na picha na meseji zinazoandikwa kwenye Facebook zimepelekea watu wengi wazisaliti ndoa zao na matokeo yake kumekuwepo na ongezeko kubwa la kuvunjika...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf, naombeni msaada wenu wa kimawazo katika hili. mimi ni mjasiriamali nina stationery nimepanga sehemu ambayo ina nyumba kubwa ndani. kutokana na ukubwa wa nyumba na wingi wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna tatizo lisipotizamwa tutakuwa tunauana wenyewe kwa wenyewe.Kwa jinsi ninavyoona naona wanaume tunalaumiwa na kuonekana hatufai katika jamii pale inapotokea mwanamme kumbaka mwanamke,utasikia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika hali ya kawaida bunge letu linapashwa kuwa ndicho kielelezo cha demokrasia ya kweli hapa nchini. Lakini mambo ni tofauti; hivi sasa Spika anadiriki kuwakemea wabunge kama kwamba ni watoto...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wanajamvi mlioko Dar anatafutwa carpenter asiyembabaishi.Ningefurahi kujua bei zake mfano ,kitchen,doors,dining table.Natanguliza shukrani kabla ya kuliwa manake dar kila mtu ana bei yake
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya watu wanao ibeza CDM kwa uamuzi wake wa juzi, wa kususia hatua za mwisho za mjadala wa kufanyia marekebisho kanuni inayotoa ufafanuzi wa ni nini maana ya kambi rasmi ya upinzani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rais wa misri anajiandaa kwenda Ujerumani kwa kile anachodai ni kwenda kuangalia afya yake. Wachunguzi wa mambo ya siasa wanasema kuwa hiyo ni janja ya kuondoka madarakani na kumwachia madaraka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman waliolive kufuatilia bungeni mtujuze kinaendelea nini hasa? Ipi nzuri ipi mbaya, Wamefikiaje suala lenye utata? Makinda anaongozaje bunge? Thanks
0 Reactions
22 Replies
3K Views
wana Jf hebu angalieni haya mazingira kweli yanaweza kusaidia elimu yetu kukuwa? mfumo mzima wa elimu ambao haulingani na mazingira halisi ya sehemu husika kama inavyo onyeshwa hapo chini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Namshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kunijalia muda huu wa kuandika machache kuhusu JF. Kusema kweli, kutokana na mafundisho ninayopata hapa naamini utakubaliana nami kwamba JF ni zaidi ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mtoto huyu anahitaji msaada wa haraka kwaajili ya kufanyiwa upasuaji ewe ndugu mchango wako ni wewe kuifoward picha hii popote na hiyo itakua ndio mchango wako! Kwa kweli inatia huruma na pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahani wanainchi mi ni mwandisi wa Habari sa uchungusi, ilinibidi kuzama dom na hatimaye mtaani kujioneya yanayojiri usiku baada ya bunge ni UOZO! Huwezi kuamini kuona wabunge tunaowatarajia...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
Kwa hisani ya Global Publishers
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Dk. Athman Mfutakamba amesema kuwa serikali haina mpango wa kutoa fedha nyingine kwa ajili ya kuifufua Kampuni ya Ndege (ATCL). Akiongea katika kipindi cha dakika 45...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dear JF Members, a favour please; Am working on a brief information sheet (4-6 pages) on HIV and indigenous communities in Africa. I have made some contacts regarding the research but it has...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Back
Top Bottom