Jasusi moja nguli la CIA lilisikika likiteta "kwakua waafrika waliosoma wanaaminiwa sana na wenzao ambao hawajasoma,na kwakua ni rahisi zaidi kumtawala mwafrika aliyesoma kuliko ambaye hajasoma...
5 Scientifically-Proven Ways to Be Happier
By Kimberly Weisul | February 3, 2011
Anecdotal experiences are great, but you're a just-the-facts-ma'am type of leader. That's why you need...
Heshima wakuu,
Nachukuwa nafasi hii kuwasihi wana JF kuangalia upande wa pili wa shilingi, kwani tumekuwa tukiangalia upande mmoja wa shilingi husika, Kuhusu ujio wa RICHIMOND/DOWANS Tanzania...
KATIKA HALI YA KUSHANGAZA KABISA NA KUCHEKESHA WAZIRI MKUU PINDA PETER KAYANZA AMEWAASA WANANCHI WA IRINGA KUWAPIGIA MAKELELE YA MWIZIIIIIIIIIIIIIIIIII WALE WOTE WANAOHUJUMU MALI ZA UMMA KAMA KINA...
Habarini wapendwa.
Kuna suala moja limekuwa likinitatiza sana na nimekuwa najiuliza mara kwa mara bila kupata majibu yanayoridhisha.
Jambo hili linahusiana na mgawanyo wa pato la taifa...
Ni maajabu na kweli, Kuchi lilolelewa kuua kaua mtu huko marekani!!!
Cockfighting bird stabs California man, Jose Luis Ochoa, to death: police
BY Aliyah Shahid
DAILY NEWS STAFF WRITER
Tuesday...
kama hawa waheshimiwa wanakula uroda, watashindwa vipi kumegeana japo dondoo mbili tatu kuhusiana na mikakati siri ya vyama vyao? Inatia shaka kwa kweli?
Kuhusu mabwana hao kula uroda,,tembelea...
kuna wanafunzi ambao nawajua, walikuwa wazuri sana walipkuwa seminary school, kwa bahati ni wale waliokuwa wakiongoza shule zao kila miaka yaani 10 bora. lkn wanpokua vyuo vikuu huwa tofauti...
MKURUGENZI wa kampuni ya African Stars Entertaiment (Aset), Asha Baraka, leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari mwanamuziki Khadija Mnoga (Kimobitel) ambaye ameamua kurejea katika bendi...
Leo nilikwenda pale tirdo msasani kufuatilia mkopo wa mdogo wangu anasoma pale muccobis. jina lilitoka lkn hawajampa mkopo eti hakupeleka results slip za frm 4. nimekaa pale km 2hrs nasubiri jina...
Hii imenitokea kipindi fulani nilipotembelea mbuga ya wanyama hifadhi ya taifa ya Ngorongoro. Katika sehemu ya kuingilia ambapo clearance zote hufanyika kuna sehemu upande wa kulia ambapo ni pa...
Ni hapo juzi tu waislamu kwa mbwembwe na kwa kutumwa na kikwete na ccm walipowataka maaskofu na chadema kutii mamlaka iliyopo kisheria kwani hakuna mamlaka isiyotika kwa mungu............najiuliza...
Shirika la bima la taifa limetangaza rasmi leo kuwa wale wote ambao wanalidai shirika hilo waanze kufika katika ofisi za shirika hilo kwa ajili ya malipo ya madeni yao. Shirika hilo ambalo...
Ofisi ya CAG yataka kuwa huru
Imeandikwa na Namsembaeli Mduma; Tarehe: 7th February 2011 @ 15:11
LICHA ya ubora wa kazi za Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kutambuliwa...
Bunge la jamuhuri ya muungano wa tanzania likiwa linatarajiwa kuanza leo, bado kuna utata kutokana na kuacha maswali mengi yasiyo na majibu.
Nathubutu kuliita bunge la ccm kutokana na ukweli...
Habari zenu wana JF!
Poleni na matatizo ya hapo nyumbani!
Tutaijenga nji yetu japo itatuchukua miaka mingi...naamini itatukuka!
Hivi huku nimezoeea mawasiliano bila kero...
Je nkiwa huko Tz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.