Habari ya wakati huu msikilizaji wangu! Karibu katika kipindi cjetu cha usikivu wa mwanasiasa! Hebu tuiangazie report hii ya EU! Ni mimi Producer karibuni!
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL...
Naishangaa sana hii nchi yangu iliyobarikiwa kwa mali nyingi sana za asili, lakini badala ya hizo mali za asili kuwa ni furaha na utajiri kwa wananchi wanaozizunguka, zimegeuka kero kubwa na...
Wapendwa wanajf,kwa habari zilizonifikia punde ni kuwa wana-udsm wamekusanyika uwanjani wakimsubiria waziri kawambwa kwa ajili ya kusikiliza madai na kero zao,duh...ana uwezo kweli na kwanini ni...
Kuna mgomo unaendelea chuo cha mwenge moshi sasa hivi wanafunzi wako mbele ya jengo la utawala chuoni hapo na wengine geti wakizuia askari wa kutuliza fujo wasiingie kwenye maeneo ya chuo hicho
Ni wazi kabisa hakuna asiyejua habari za Dowans, na pia hatuwajui vizuri dowans ni akina nani hasa, lakin wakitangaza kazi yenye mshahara mzuri MI NA-APPLY BWANA . . . .
Watu wanaohishi kwenye chumba za kupanga hawanabudi kuanzusha chama ambacho wanaweza kukitumia kupasa sauti zao hususani za kupambana na wenyenyumba wanapelekesha kila kukicha: Yaani wenye Nyumba...
Jamani naomba kuuliza nimejaribu kuchunguza avatar za akina dada wetu humu JF nyingi zina sura za mastar hasa wa kike au picha zinazoonyesha wazi sehemu za maungo ya siri, mfano (not offensive)...
Professor Michael Sandel presents a lecture from his Harvard course in Political Philosophy. He explores the morality of murder and asks if there can ever be a case for killing.
what...
Ni swali ambalo huwa najiuliza ni nani anayewajibika kukataza au kuruhusu mifugo kwenye Makazi ya watu, nikiwa mkazi wa eneo ambalo limetengwa na Serikali kwa ajili ya makazi ya watu, kumekuwepo...
Hili si onyo la kwanza ila msisitizo.
(1) Ni marufuku kugeuza au kupotosha mtiririko wa thread na kugeuza kuwa chumba cha kusalimiana au kupiga soga(chat room) sisizohusiana na hoja ya thread...
kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nafuatilia siasa za Tanzania, itimisho nililofikia ni kuwa Mh. Kikwete anaofu ya waziwazi na Dr.slaa....ninachojiuliza ni kwanini ilihali yeye ndo mkuu wa hii...
JF members!
Naomba kujua hizi tume
1-nini kazi zake?
2-zinafanya kazi kwa ajili ya akina nani?
3-wanaoshughulika wanalipwa?
4-ripoti yao anakabidhiwa nani?
5-ili zifanyiwe kazi...mbona...
Wadau kama vipi tuliangalie hili hapa
wanafunzi wa vyuo wana lalamika kuwa
5000 kwa siku wanayopewa na heslb ni kidogo
wewe unatazama vipi hii na maisha yalivyo hivi sasa bongo?
Je inatosha?
Kati ya Kikwete na Hosea ni yupi anayetuchezea akili?
Hosea anaona rais hataki mafisadi papa waguswe.
Kikwete anaonyesha hapewi taarifa za wanaohujumu uchumi hata pale anapokuwa na mashaka(mfano...
Jamani naomba msaada wenu:
Ni week moja sasa imepita, ninashindwa kufungua account yangu ya yahoo.. Nasumbuka kweli,maana ni account pekee yenye details za mhimu sana kwangu..
Nifanyaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.