Kitendo cha Mabere Marando kuwa wakili wa Manji katika ile kesi ya Fisadi nyanguni na Fisadi papa, ni wrongo move kwake na kwa CHADEMA, kwani Mengi na vyombo vyake vya habari vitasusia/ au...
Ninapoangalia picha hizo, ninajiuliza kama kweli askari polisi wa Tanzania wanaijua profession ya upolisi sawasawa. Naona kama wengi wanajua kuwa jukumu la upolisi ni kutumia mabavu mahali popote.
Leo, wapo wanazuoni wengi wa kisasa katika ukristo wanaochukulia kuwa Yesu Kristo hakuwa Mungu. Katika mwaka 1977, kikundi cha wanazuoni saba wa biblia, wakiwemo wanateolojia mashuhuri wa...
Kauli ya wapenzi na wakereketwa wa CDM kuwa Wao tu ndio wapinzani hai TZ, haiwezi kuwa halali ikiwa watashindwa kumuenzi mwananchi huyu kwa kuonyesha nguvu yao ya umma!:
Ajimwagia petroli na...
Hindu Author :A MUST READ ARTICLE FOR EVERY HUMAN BEING IN THE WORLD
AS RECEIVED.
EVERY HUMAN BEING MUST READ THIS ARTICLE....
SWAMINOMICS :Terrorism is certainly not a Muslim monopoly...
Wakuu nipo ndani ya kipanya ninapoandika hii post jirani yangu kuna mama na mtt mdogo kama 3yrs mama anandizi kamenya anakula kinachoniuma moyoni sio njaa bali kitendo chake cha kunichafua chafua...
1.Jaman msaada wenu Rais wetu wakati anaingia madarakani aliahidi kasi mpya, nguvu mpya na ari mpya kwenye nini?
A. UFISADI?
B. UFKUSA?
C. MAENDELEO? ( )...
Naombeni namba za Safari FM Mtwara wanamtwara nisaidieni ni PM au uniandikie kwenye radioproducer@rediff.com, jitahidi ziwe za mkurugenzi au mtu mwema kuna wengine wazushaji tu!
Thursday, February 03, 2011
Wana jamvi napenda kutumia muda huu kuelezea masikitiko yangu kuhusiana na suala la tatizo la sauti ambalo sasa linaelekea kuota mizizi na kua kero kwa watazamaji...
Nimekaa nakutafakari sana juu ya mustakabadhi wa taifa hili namimi nimeona J. Kikwete atalitumbukiza taifa hili ktk migogoro na maandamano yasio kuwa namsingi. Maandamano mengi ktk vyuo apo awali...
Sina imani sana na Mabere Marando.. Naona kama yupo kifedha zaidi.. CDM yetu kupitia Dr. Slaa ndo iliibua hoja ya ufisadi wa BOT kupitia EPA na kumtaja Manji km muhusika kupitia KAGODA.. Sasa leo...
Iwe ni wastaafu wa EA, wapinzani, wanafunzi wa vyuo vikuuu nk. wakipanga kuandama basi mwisho ni kupigwa mabomu, kuuawa au kuzuiwa dakika za mwisho mwisho wasiandamane bila sababu za msingi...
Jamani leo nimepata dawa ya stress nimerudi om baada ya karaha kbao nimewasha tv ktk kusearch nikapata chanel 1 ya chines comedy jamani ucnipimie m2 wangu nikichina k2pu anaechekesha na...
Mimi nilisoma Ukraine miaka ya tisini, Nilikuwa mpenzi sana wa Russian music, nyimbo kama fotografia na zingine nyingi zilizowika wakati huo nilikuja nazo bongo. Naomba kwa wale ambao bado mpo...
Ushauri wenu wadau, mi nafanya kazi serikalini nalipwa hako kamshahara cha 217000/- Je nikiacha kazi nifanye kazi zangu binafsi, maana naona haka kamsharahara kadogo naona kama vile napoteza mda...
Aisee wanajf,nimegundua kwamba kumbe division 4 ni kufaulu jamani,vp mtu kama huyu atasoma shule ipi?au chuo ataenda kipi?jamani jamani tunaenda kubaya .,
source:itv-kipindi cha kipima joto
Wananchi waharibu magari Dar
WANANCHI wenye hasira kali jana walizingira Barabara ya Sam Nujoma eneo la Mwenge Vinyago kisha kuanza kuvunja vioo vya magari na kusababisha uharibifu wa mali za...
Geat Thinkers,
Kwa mfanyakazi Bachelor, apatae Take home ya kati ya 850,000 mpaka 1,100,000/=
Unashauri aishi maisha ya aina gani ili aweza kuishi vizuri, na ku-save, ikiwezekana kufanya...
Wana jf mi sielewi kwa nini gazeti la mwanahalisi hawataki kuapdate kila mara hawajui kwamba tulio nje tunalitegemea sana kwa kupata taarifa muhimu.Gazeti la Raia mwema wao huwa hawachelewi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.