Habari zenu wanajamvi,
Ninaomba mtu yeyote mwenye kulifahamu kanisa linaloitwa Mlima wa Matumaini linaloongozwa na Apostle Lutumba kutoka Congo na mkewe kutoka Zambia. Kanisa hili linasemekana...
Baada ya kuwa bongo na kukuta shida ya umeme nimeamua kurudi ughaibuni,nimefika jana tu kunamshakaji wangu mbongo ni prof.kumbe safari yote hiyo alikuwa akinisubiri nikirudi tu kwa mapumziko...
Wanafunzi wamvaa DC kupinga mwenzao kupigwa na mwalimu
Wanafunzi wa kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari ya Siha, Wilaya ya Siha, mkoani Kilimanjaro, wameandamana hadi kwa Mkuu wa...
Kuna dili la uhakika nililodekezewa na marafiki zangu wa maana na wenye wadhifa kuwa serikali ya South sudan inatafuta watanzania educated waende wakashike wadhifa mkubwa kwenye sekta mbali mbali...
Hello again wana Jf, nataka kununu kiplot maeneo ya mbweni chenye view ya bahari kwa umbali(likini siyo lazima) kiwe na ukubwa wa sqm 1500 to 1900 uwezo wangu ni mili 25 tu. wenye kujua pls. hata...
Heshma kwenu wachangiaji.
Wanajamii uarabuni kwa bahati ya miundombinu mizuri ya mawasiliano wameshirikishana nia zao na kusema sasa basi. Hatimaye uma utashinda. Swali labaki. Je? watawala hawa...
Jana nilibahatika kusikiliza majadiliano ambayo kupitia radio imani kulikuwa na majadiliano ambayo ni muendelezo wa tamko la waislamu walilolitoa katika ukumbi wa karimjee.Kilichonivutia...
Wanangu kisu kimefika kwenye mfupa huku USWAZI
Mwisho wa mwezi umepita na sasa kukopa tena Gengeni dukani kumeanza.
Muarubaini ulio jirani umechunwa ngozi kutibu magonjwa arubaini na miti...
Kwa wanopenda kuangalia TV za kenya live kwenye net bila kudownload chochote na ni free nenda google andika WATCH KENYAN TV LIVE utaona channel kama 6.Kati ya hizo ipo KBC,KTN,CITIZEN,NTV,K24 na...
Kwanini kusiwe na kongamano la pamoja la watu wote ambao wamemaliza vyuo vikuu na vyuo vingine mbalimbali na hawajafanikiwa kupata kazi/ajira yoyote ile ili waweze kujuana na kupeana changamoto...
Wanajamvi nawasalimia kwanza habari zenyu bwana,Mkasa ulionikuta jumatatu iliyopita nilijimvuzisha katika mji mkuu wanchi Idodomya nikafikia Hotel moja inaitwa Marryland ipo njia yakwenda Arusha...
Habari dhenu waungwana,ni hivi ikiwa wewe unamtembelea yeyote yule awe rafiki/ndugu nyumbani kwake lkn unategemea kulala ktk nyumba hiyo je?ni kitu gani cha KWANZA unatakiwa ukijue.
1.jiko...
Katika pitapita zangu jana nilibahatika kufika maeneo ya Tegeta na kwa kuwa niliambiwa kuwa mida ya jioni saa 12 hadi saa 2 usiku kuna foleni kubwa Tegeta Kituoni niakaamua kupitia barabara ya...
HIRBET MADRAS, Israel
Israeli archaeologists presented a newly uncovered 1,500-year-old church in the Judean hills on Wednesday, including an unusually well-preserved mosaic floor with images...
I salute u all, the jf memberz, in the name of peace and love..
Am a youth aged 27yrz. Nina wazo la kuusaidia mkoa wangu kwa kuinua kiwango cha elimu, hasa ya teknolojia ya kisasa ya kompyuta...
Naomba niulize, kwa mtu aliyemaliza udaktari anaanza na professional yake eg Dkt. Mwijage, uinginia anaitwa Eng. Stella, ualimu anaitwa Mwl. Nyerere, JE professional ya uasibu na ugavi...
Ndg zanguni wanajamvi, nilipotea kwa kipindi kirefu kidogo kutokana na majukumu yaliyokuwa nje ya uwezo wangu. Pamoja na ukweli kwamba bado sijayamaliza, nimekuwa nakosa mambo mengi sana mliyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.