Tunayemsikiliza sasa ni mtu ambaye ninamuheshimu mno mno. Huyu ni mkurugenzi na mwanzilishi wa chuo cha mguu peku, Barefoot College, ndugu Bunker Roy.
Msikilize:
- nilipomaliza shule...
Serikali kuchelewesha mishahara ya watumishi wake mwezi huu Tatizo liko wapi?
Mbona wahusika wamekuwa bubu?
Enway, tunafahamu kuwa wao hawaishi kwa kutegemea mshahara katika nchi hii...
maelezo zaidi na source gonga link hizo ujionee mwenyewe kweli nimeingiwa na huruma sana nimeiona kweli imenigusa sana
JIACHIE
YouTube - Mtot Cecilia Edward anaomba msaada wenu wa hali na...
People have a tendency to look at the things that they want and say, Yes, I like that, I want that. However, they look at the things that they dont want and they give them just as much energy...
Jamani ndugu zangu wanajf ,hoping kuwa mpo pouwah na harakati za kuleta mabadiliko ya nchi yetu,kweli nieamini huyu bwana mkubwa makamba atakuwa hana akili sawa sawa namnukut alichosema jana ktk...
Jumatano tarehe 19/1/2011 MAKAMBA aliingia ofisini yapata saa nne kasaro asubuhi.Fatuma Wenseslaus karani alikuwa bize akituma ujumbe kwenye komputa.Babu makamba kuchungulia akaona ilikuwa ni...
Naombeni mnisaidie katika hili:
Nina mpenzi wangu anasoma pale UDOM na tumepanga kuoana japo kuna mambo yananikwaza.Tulianza mapenzi siku nyingi kidogo na baadaye yeye kaenda kusoma.Alipofika tu...
Wana JF nina fanyakazi ya consultants ya kuborehsa na kuinua kipato cha Radio na Tv kwa kudesgin vipindi vipya vyenye wapenzi wengi na vinavyolipa sana! Je, kuna ndugu yako au wewe mwenyewe una...
MUME wa Grace amemtaka mke wake huyo ifikapo mwishoni mwa mwaka huu kama hajafanikiwa kushika mimba basi atalazimika aione nyumba chungu kwa kuwa hataweza kuvumilia kuendelea kuishi nae kama mke...
As most university leavers face a struggle to secure a career break, technology graduates are being offered the latest Apple products as an incentive to apply for jobs.
Autonomy, one of Britains...
This is very strange but true on how we make our choice to live.
All men and women are born to live, suffer and die; what distinguishes us one from another is our dreams, whether they be dreams...
Govt moves to refund police officers Saturday, 29 January 2011 09:16 The Citizen
Home Affairs minister Shamsi Vuai Nahodha
By Midraji Ibrahim
THE CITIZEN
Dar es Salaam. The Home Affairs...
Jamani hii inanishangaza kidogo hivi ni kweli gari moja la kuzolea takataka laweza kugharimu milioni 115? JFW moja! Nimeona leo kwenye taarifa ya habari ya channel 10. Labda haya ni aina mpya eti!
baada ya kukerwa kwa kiwango kikubwa na haya maigizo ya bongo(what so called movie) at last nimeona igizo moja ambalo kidogo lina mabadiliko, so interested to watch,japo kuwa still kuna part one...
WanaJf kwa waliobahatika kuangalia hotuba ya Mubarak live saa sita usiku jamaa hataki kuondoka hadi september na akadai hatagombea tena na akalaani maandamano na kukumbushia kuwa kawafanyia...
A resourceful Chinese company got in trouble for brewing soy sauce out of human hair.
China Central Television (CCTV), the state television station, first raised public worries over the quality...
kamati ya uvccm imetoa tamko kushinikiza serikali kuivunja bodi ya mikopo!wata andaa maandamano nchi nzima!wakati huo huo mawaziri wa mikopo wa vyuo mbalimbali wamesema wana siasa wasichukulie...
Waziri wa ujenzi, Dr John Pombe Magufuli leo anatarajiwa kuwaweka kitimoto baadhi ya watendaji wake walioidhinisha nyumba 59 zilipiwe fidia ili kupisha upanuzi wa barabara mbalimbali za katikati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.