Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Waalimu ambao wameajiriwa hivi karibuni katika jiji la Arusha wameandamana huku wakiwa na sarafu mikononi wakidai hela za kujikimu ambazo wanasema zimechakachuliwa ili kulipa DOWANS. Sasa ivi wako...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu nakumbuka nilishawahi kuona hii fomula humu jamvini lakini ilikuwa zamani sana naomba kama kuna mtu ambaye anayo anitumie hiyo fomula ya TRA matapeli. Asanteni.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nilimkuta akiwa kwenye maximum security huku akimwandaa Paul the Octopus kama inavyojionyesha pichani. Wafungwa wenzake walidai anakunywa sana supu ya huyo mnyama na amegoma kula aina nyingine ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Madiwani Moshi waishika pabaya CCM Na Heckton Chuwa, Moshi MADIWANI wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro jana waliweka pingamizi kwa Msajili wa Mahakama ya Ardhi kuzuia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
The director of a psychiatric hospital in Cuba where 26 patients died from hypothermia last year has been sentenced to 15 years in prison. Twelve other staff at the hospital in the...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Madiwani moshi wawakilisha pingamizi mahakama ya ardhi ccm walipe kodi ya pango
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna mjadala unaendelea Re: Maiti za vitoto zaidi ya 10 zafukuliwa shimo moja Vincent Augustino mwanzisha thread kauliza: Kama hizo ni mimba zimetolewa ndani ya siku moja; jee wiki, mwezi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Taarifa ya habari ya luninga ya citizen imetoa mkasa huo kwenye taarifa ya habari ya saa moja jioni. Kisa kilikuwa hivi ,kuna mwenye club moja alitangaza shindano hilo na kwamba zawadi kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimepigiwa na rafiki yangu simu akihitaji msaada wa kuregister campany bongo..anaweza kufanya namna gani..akiwa ughaibuni.ukweli mie sijui hata moja...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Imetolewa hapa; mawasilianoikulu.blogspot.com
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nilikuwa safari mara nimerudi ghafla nimekuta kila kitu vulumai...Nchi kama haina serikali..kila mtu ni serikali..hari ngumu mzunguko wa pesa hakuna,mfumuko wa bei pia ..biashara holaaa..Maisha ya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakati maandamano na vurugu za MAFARAO kutaka Rais Mubarak wa misri ajiuzulu,jioni hii kwa mara ya kwanza tangu awe raisi ameteua makamu wa rais ,Omar Suleiman na kumwapisha na kuanza kazi mara...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Egypt: Clerics Issue Statement Supporting Demonstrators January 28, 2011 A group of Egyptian clerics has issued a statement of support...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau nimesikia eti yule kijana amekufa.kuna ukweli katika hili? Mwenye taarifa atujuze.
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Wakuu kuna mtu anahitaji kuandakia report kuhusu Tanzania na akaniomba nimpe mwongozo ni wapi anaweza kupata online materials katika lugha ya kiingereza yanayozungumzia Siasa ya Tanzania na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tauni bwana ukipaingia kifala napo panazingua! ..ujue washkaji kibao walioshasikiliza stori za kijiweni wakaja laivu bila kufanya risecvhi, ..ndio hawa wengine wameishia kuwa wezi, wengine...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wana Jamii nawasalimu kwa salamu za upendo mkuu. Naomba mwenye profile ya magari aina ya Subaru Forester anipatie tafadhali, ubora wake na upatikanaji wa spair parts zake.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mdau mmoja toka chuo kikuu nilimhoji kuhusu migogoro ya mikopo Kumbe loan board fedha wanazituma vyuoni alafu vyuo ndo vinapeleka kwenye account za wanafunzi. Kinachotokea watu wanazipiga izo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wizi mkubwa Tanesco Sunday, 30 January 2011 21:26 MHASIBU MBARONI KWA KUKWAPUA SH 1.3 BILIONI James Magai na Emmanuel Herman OFISA wa Shirika la Umeme...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Taarifa nilizozipata mda si mrefu kuna Watanzania wawili wamekwamatwa na madawa ya kulevya wakiingiza Korea ya Kusini ya kitokea Tanzania kwa Air Emirates katika uwanja wa Incheon Internatal...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom