Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
kuna gari la gas maeneo ya shangalai limetoboka tank, gas inavuja, watu wamekimbia wengine wameacha magari yao. ni kizaa zaa
0 Reactions
14 Replies
2K Views
WanaJF,Ndugu,nauli ya daladala inapanda,gesi imepanda,umeme umepanda, bei ya sabuni, bei ya mafuta ya taa juu,bei ya sukari imepanda mpaka kilo sh.1900 pengne 2000. Kwa mishahara ya laki tutaenda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Msaada wanaJF,nimezunguka k.koo nimechoka bila mafanikio. Nahitaji Tv inch26, Bravia. Naomba kujua bei na duka ninakoweza kuipata.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
heu tujikubushe hizi movies enzi zile Hebu tujikumbushe hizi movie na majumba ya cinema Kila nikikumbuka hizi picha huwa zinanikumbusha mambo mengi and i also get emotional andhaa...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
ni machinga na askali jiji hali ni ya vurugu. maduka yamefungwa. source nimeongea na jamaa yangu kwa simu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Arusha gari haziingii wala kutoka polisi wameziba njia kuna gari linavuja gas njian
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda kuchukuwa nafasi hii wana Jf wenzangu kuupongeza uongozi mzima wa Jf kwa mabadiliko waliyoyaleta juu ya mwonekano mzima wa PAGE ya JF baada ya kuifunguwa,kwani kwa sasa imekuwa ni rahisi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali yaahidi kurejesha posho walizokatwa polisi Saturday, 29 January 2011 08:11 Midraji Ibrahim SERIKALI imekiri kukatwa kwa posho za upelelezi na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tangu saa 5 asubuhi mpaka sasa maduka yote yamefungwa jijini mwanza baada ya chinga kupinga kuhama katikati ya jiji!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakati layout ya JF inabadilishwa nilionyesha waziwazi kutokubaliana na layout mpya waliyoiweka,lakini watu wakasema oooh unajua hii ni mpya ohh utaizoea tuu oooh unajua mambo meengi tuuu lakini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani, Joyce Ndalichako, alisema shule kumi bora zilizokuwa na watahiniwa kuanzia 40 na zaidi,ni 1. Uru Seminari (Kilimanjaro), 2. Marian Wasichana (Pwani), 3. St...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nimekuwa nikiishi na kufanya kazi visiwani zanziba kwa muda wa mwaka mmoja, nimelazimika kutoa malalamiko yangu kupitia JF kwa sababu naamini watu wengi wanaingia humu ikiwemo viongozi wakuu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu mbona sioni tena tangazo la wadhamini wetu Airtell? Au wamejitoa kudhamini mtandao wetu? Mode yuko wapi atujuze?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Waislam wanasema wanabaguliwa je hii inakuaje ni kweli ?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Anaumwa, tumuombee kwa Mungu apate kupona mapema
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Na Mwandishi wetu,Bukoba Mchakato wa kazi ya sense ya watu na makazi nchini umeanza rasmi katika ngazi ya mkoa wa Kagera ambapo wananchi wanaombwa kushiriki kikamilifu katika hatua zote za...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
WanaJF, Kuna taarifa za uhakika kabisa kuwa polisi wamekatwa 100,000/= kila mmoja kutoka kwenye mishahara yao ya mwezi huu ili serikali iweze kuilipa Dowans mabilioni ya shilingi. Ni jambo la...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Mlimani TV inayomilikiwa na wasomi utakuona akina dada wetu ambao ni watangazaji wakiruhusiwa kuvaa hijab na huku wakiwa Live wanatangaza. hii nimeona ktk taarifa ya habari au hata katika habari...
0 Reactions
93 Replies
8K Views
jamani nataka kununua king'amuzi cha star time,so kabla sijafanya maamuz ya kununua nikaona si mbaya kuwakilisha hapa ili kama kuna yeyote mwenye kujua historia ya hii kitu anijuze mazuri yake na...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
za jioni wana jamii,naomba kuuliza ,hapa tanzania kuna chuo gani kinatoa certificate ya telecomunication,nimejaribu university coet<coleji ya technology sioni naomba msaada
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom