Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
jAMAN NILIKUWA NATAKA KULIPIA BIDHAA NJE KWA KUTUMIA VISA YA KCB TANZANIA BRANCH SASA KILA WAKATI INAGOMA INAANDIKA CREDIT CARD COULD NOT BE VERIFIED TRY TO CORRECT INFORMATION OR TRY ANOTHER...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mzungu mmoja ambaye sikuweza kufahamu jina lake aliamua kuvua nguo zake zote akiacha ya ndani tu baada ya wakaguzi wa uwanja wa ndege Dar kuwa na wasiwasi nae. Katika tukio hilo la aina yake...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Rfa
Katika mambo mengi yanayozuia wachumba au marafiki wengi kutofikia adhma ya kufunga ndoa mojawapo ni DINI. Kuna wakati wapendanao wenyewe wanafikia kikomo kwa sababu ya dini au wakati mwingine wao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
mwandosya ni waziri wa maji, yeye na mkurugenzi wake wako ofisi moja wakitofautiana majukumu tu. huko same wameongozana halafu mkurugenzi anajifanya kumwambia waziri wake juu ya hazina ya maji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwanangu! Kwa sasa ni dhiki lakini ukistaafu kazi ni ziki KUU Kuna marafiki watatu watakuwa na wewe sambamba ukishastaafu hilo utake usitake wanakusubiri! 1Kama uliwekeza kwa watoto wako nao...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Moto wa mgomo uliowashwa jumatatu na wanachuo wa mwaka wa kwanza wakilalamikia ukiritimba unaofanywa na uongozi wa serikali ya wanachuo katika kufuatilia mikopo yao bodi bado haujazimika japo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF wote napenda kuwajulisha kuwa mimi ni mwanajamii mwenzenu nimejiunga dakika chache zilizipota. Naomba nipate baraka zenu wenyeji wangu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tanzania ni moja, mambo lukuki. Hili la Katiba mpya, Dowans ya Rostam, Kiwira, Kagoda, Urais 2015 ni kweli vimefunika hoja ya zile pesa za walala hoi ambazo Pinda alizichukua na kuzifungia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jumatatu asubuhi nimefika ofisini, punde nikaletewa bahasha kutoka kwa secretary. Bila kuchelewa, nikaifungua ili nisome kilichopo ndani. Kutahamakii Salary increment, nikafurahi kimtindo...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Miafrika ndo tulivyo? Man kills,buries cousin in bedroomThursday, 27th January, 2011E-mail article Print article Forensics experts collect the remains of Nkundindiza in Nabweru By Steven...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Ni juzi tu huyu Fungamtama alijitokeza na akaanza kumbeza waziri samweli sitta kwa kupinga fidia ya dowans, leo kumbe huyu huyu nyoka ndo anawasilisha maombi ili dowans ilipwe.....hapa kuna namna...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Mimi niseme sijui ni mshamba ama macho yangu yameona vibayaa.Jamani pesa mpya sijui wanajamii forum mnazionajee?pesa ni nyepesi sidhani kama zitamudu life la bongo,ndo maana nikasema mi sijui ni...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Tujadili.
0 Reactions
31 Replies
7K Views
NAJARIBU KUFIKIRIA HIVI VYEO UCHUNGAJI VINATOLEWAJE JAMANI..NIMEJARIBU KUFIKIRIA NA HUYU BWANA ANAEMWAGIKA KILA WAKATI WA UCHAGUZI BAADA YA UCHAGUZI UMSIKII TENA ..MWISHO TUKAAMBIWA ALIKUWA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hapa chini ni Barua aliyoiandika mwanasayansi Albert Einstein kwenda kwa US President Franklin D.R. kama utakuwa mwelewa wa history utagundua mwana-science huyu alisaidia sana kuiweka US mbele kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama wiki hivi imepita niliona kwenye vyombo vya habari,Shirika la Nyumba linampango wake wa kubomoa nyumba za historia za Upanga na Kariakoo ili kujenga maghorofa kwa ajili ya kutoa tatizo la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yule denti 'KIGAGULA' asimamishwa Shule! Uongozi wa Shule ya Msingi Liwiti, Tabata, jijini Dar es Salaam umemsimamisha masomo denti wa kike Rehema Maneno, wa darasa la tano anayedaiwa kuwaroga...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
We have some exciting news to share about eHow.com. Beginning in February 2011, Facebook Login will be the exclusive means for login to the site. You'll be able to use your new or existing...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Taarifa za saa 2 usiku huu toka Televisheni za TBC1, ITV na StarTV zinapishana. Pamoja na kwamba, kimsingi, ITV na StarTV wanaonyesha kuwa ufauru umeshuka (StarTV wanaonyesha ~ 22%, ITV kadri ya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tucta yataka mikataba Tanesco ipitiwe upya Thursday, 27 January 2011 21:24 Patricia Kimelemeta SHIRIKISHO la vyama vya Wafanyakazi (Tucta)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom