ni aibu isiyo na kifani kwa serikali ya jk baada ya TRA kushindwa kukusanya kodi kutokana na uzembe wa watendaji wake sasa imeamua kukusanya kodi za makaa ya kupikia majumbani.kwa kipindi cha wiki...
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ,Profesa Anna Tibaijuka, sisi ni wakulima na wafugaji wa vijiji vya Kiserian, Olkerian na Nduruma, katika Kata ya Moshono na Mlangarini jijini...
BBC idhaa ya kiswahi itafunga matangazo yake kupitia band ya short wave(SW) mwaka huu. Pia idhaa ya kireno na nyingine nne zinazotanga ulaya mashariki zitafungwa kabisa. Hii inatokana na nakisi...
WATUMISHI wapya 102 kati ya 216 waliopangiwa kufanya kazi katika wilaya ya Biharamulo kwa mwaka wa fedha wa 2010/11, hawakuripoti kazini.Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, Ernest Kahindi, alisema juzi...
Hivi imekaaje jamani, kitu kimeandikwa Cigarette smoking is dangerous to your health bado watu wana-consume!! Simaanishi unyanyapaa, sema ni kitu kinanitatiza sana. Ni kweli huyu mtu yuko tayari...
Matokeo yaform 4 rafki yangu ni geog D .HIST.d kisw d. eng d civ C .bio D .MATH F.COMMERC B. B/k A. Je akienda private 4m 5 wanamkubari kwa combination ya ECA ? Naomba kujulishwa
national examinations council of tanzania
csee 2010 examination results
s2509 english speaking int. Muslim school
div-i = 1
div-ii =1
div-iii = 4
div-iv = 12
fld = 5
HIV Medicine Street Drug A Craze In S Africa
South Africa is in the grip of a dangerous new drugs craze that could threaten the country's battle against AIDS.
The street drug called...
Written by Kim Willsher
Leila Trabelsi, Tunisia's former first lady, was said to be a Machiavellian figure . . . intelligent, ambitious, calculating, manipulating and utterly without...
Ndugu wanajamvi,
Poleni na majukumu na pia kampeni. Meli inakaribia kutia nanga magogoni, kitalu namba moja.
On another note: Naomba kupata msaada wa kifundi kuhusiana na hii gari tajwa hapo...
Ndugu wana JF,
Nimevutiwa sana na habari na historia ya LUCYLIGHT MALLYA kama mwanafunzi bora katika matokeo ya kidato cha nne kitaifa, lakini sisi kama taifa tuna mkakati gani mahususi wa...
Habari zenu jamani
Matokeo ya Form Four yametoka na kwa Mara Nyingine tena Shule za Kata zimeendelea kuliza Watu! Mdogo wangu yamemkuta, ingawa alikuwa na ndoto nyingi lakini matokeo yake...
Kama laptop ime-overheat na cooling system yake haisaidii, kuna ubaya nikiiweka kwenye friji japo kwa muda mfupi ili ipoe na mimi kazi zangu ziendelee?
Gonga hapa kupata matokeo ya Kidao cha Nne - 2010
au
Hapa
SHULE ZA SERIKALI ZAGARAGAZWA TENA, SEMINARI JUU
na Betty Kangonga
Soma Pia Matokeo ya mengine kuanzia...
MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi Liwiti Tabata jijini Dar es Salaam (jina tunalo) amesimamishwa masomo baada ya kukiri kuwa mshirikina na kwamba alikuwa akiwaroga walimu na wanafunzi wenzake...
Jamni wana JF mimi hapa niko na swali kuhusu bei za nyumba na viwanja vya kuhuza!
Yaani nchi yetu ni ya pili kwa umaskini duniani halafu ukiangalia bei za nyumba zakuhuza na plots its a killer...
MZIMU wa ajali unaendelea kuisumbua kampuni ya mabasi ya Abood! Mchana wa leo basi lake lingine limepata ajali eneo la Mtego wa Simba, nje kidogo ya mji wa morogoro. Basi hilo, lenye namba za...
Mohamed Bouazizi has become a hero in Tunisia ever since he doused himself in petrol and set himself alight in December, triggering protests which ultimately led to the downfall of President Zine...
GAZETI LA ZANZIBAR LEORahaleo, Zanzibar, TanzaniaShirika la Magazeti ya Serikali limeanzishwa kwa sheria namba 11 ya mwaka 2008.Shirika hili linachapicha magazeti ya Zanzibar Leo na Zanzibar Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.