Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
0 Reactions
0 Replies
991 Views
Kwanza habari za hasubuh wana jamii forum,mimi wiki moja iliyopita nlisikia kuwa 'mwimbaji wa nyimbo za injili martha mwaipaja amefariki,kwakuwa nimesafiri nje ya dar cikuweza kujua kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wana Jf mimi nawapenda sana, maanaka kila nikiomba msaada huku wa kitu huwa napata majibu mazuri sana duh bila hii blog sijui ningekuwa wapi. i love this blog a lot than FB. sasa mimi nataka kuja...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Gladys Bulinya at home with five of her six sets of twins Most women would struggle to cope with six sets of twins but for Gladys Bulinya it is even more difficult - as many people in her part of...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Suluhisho mimi naona ni hili: 1)Sylabus nzima sekondari wafundishe kwa kiswahili. 2)Mitihani ni migumu, ifanywe rahisi kidogo kama ulaya na marekani 3)Miaka minne sekondari ni mingi sana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ah!
Shule za kata Matokeo ya IV 2010... Kazi nzuri ya serikali yetu. Tunashukuru kwa wema wenu!
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Kuna tetesi kwamba wanavyuo wengi wanakipenda chama cha demokrasia na maendeleo [CHADEMA] Je ni tetesi za kweli???
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa kwel leo nilikuwa pale kituo cha polisi wazo hili hali niliyojionea inatisha sana kwa vumbi jembamba linalotoka kiwandani na kuenea eneo lote lile jamani wakazi wa pale kwa hali ile ugonjwa wa...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wiki iliyopita tarehe 20/01/2011 Waziri mkuu wa Kenya Mh. Raila Odinga alikuwa amekwenda kwao mkoa wa Nyanza kuhudhuria maazimisho ya Miaka 17 tangu kufariki Makamo wa Kwanza wa Jamhuri ya Kenya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanajf wenzangu kwa member yeyeto aliyepata matokeo ya sekondari ya yusuph makamba nayaomba jamvini tuone kuwa jina huwa linasadifu na matokeo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna tetesi kwamba wanavyuo wengi wanakipenda chama cha demokrasia na maendeleo [CHADEMA] Je ni tetesi za kweli???
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Baada ya miaka mingi ya kutawala jimbo la ARUSHA kwa baadhi ya wabunge wa chama tawala {ccm}kutoleta muamko wa mafanikio imeonekana sasa inaiga sera za Mbunge Godbless Lema za kuwasomesha watoto...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UONGOZI wa kijiji cha Bangata, Arumeru mkoani hapa ukishirikiana na wakazi wa kijiji hicho, umevamia shule ya msingi Bangata na kumtimua Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Ephraimu Loi, kwa madai ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
HOFU imetanda kwa wakazi wa Mtaa wa Matokeo Kata ya Mabibo baada ya kuzuka kundi la vijana wa kihuni wanaojiita ‘Watoto wa Mbwa’ wanaofanya uhalifu katika eneo hilo.Akizungumza na gazeti hili...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
SERIKALI imesema kuanzishwa kwa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, hakujakiuka sheria ya serikali za mitaa inayosisitiza kupeleka madaraka kwa umma. Mkuu wa Habari, Elimu na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais amemwambia waziri mkuu wa Canada kuwa nchi yake haikubaliani na uamuzi wa Gbagbo kwa sababu vigezo vyote vinaonyesha kuwa hakushinda uchaguzi..Rais Kikwete aliyasema hayo alipokutana na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna taarifa kuwa Chama Cha Wananchi (CUF), kimewazuia mawaziri wake wanaounda Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kutumia magari ya serikali kwa ajili ya shughuli za kisiasa za chama hicho kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wana jf. ni imani yangu kuwa wana jf wengi hawawezi kuingia au kunaswa na mitego ya matapeli au scammers wanatumia ICT kujaribu kuwarubuni. Lakini ni wajibu wetu tuwafaamishe ndugu jamaa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kibwagizo cha Mwaka 2011 ni hiki: Mwaka huu tutakuwa na moja moja nyingi tu - tarehe 1/1/11, 1/11/11, na 11/11/11. Zaidi ya hilo chukua mwaka uliozaliwa say - 1961 Halafu piga hesabu mwaka huu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kila mtanzania anakubali kwamba nchi hii ilitengenezwa na watu waliojaribu kushughulisha bongo zao kufikiri. Kufikiri huku ni katika kujaribu kuitengeneza Tanzania ya wakati huo (wakati wa uhuru)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom