Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Magufuli akanusha kubomoa ofisi ya RC Dar na Nuru Yanga WIZARA ya Ujenzi nchini imekanusha taarifa zilizoandikwa na baadhi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, WAKATI WA KUADHIMISHA SIKU YA SHERIA NCHINI, TAREHE 2 FEBRUARI, 2011 Mheshimiwa Mohamed Chande...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Just in the sake of curiosity, naomba kujua Raila Odinga grounds in SAUT zimetokana na nini?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naomba kujua ni wapi nitapata melezo ya viwango vya mishahara ya serikali kwa undani? Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Najisikia vibaya sana kutokana na hali halisi ya Taifa letu,kuna vitu vingi sana vinasikitisha na tumeviona,wototo kufukiwa katika kaburi moja,dowans,IPTL,EPA,makalio ya wachina n.k. Lakini hili...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Na Emakulata Peter MKAZI wa Kibamba jijini Dar es Salaam, Diana Roman (18) ambaye alikuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Yusuph Makamba ya jijini Dar es Salaam amejiua kwa kunywa dawa ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Angalia hii hapa ambayo inauhusiano na ile site ya ZE UTAMU Four arrested over doctored JK photo Lakini pia wafanye kila wawezalo hili wamkamate huyo mwenye hiyo site mbona Asange alikamatwa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Usije ukajisahau halafu ukaicha noti mpya ya elfu kumi ndani ya nguo, halafu ukafua na nguo zenye rangi nyeupe. Rangi inachuja wakuu. We kama huamini, chukua noti ya elfu kumi sasa hivi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ebwana mnajua hivi sasa tigo wanachangisha 150ml kutoka kwa wateja! Ubaya ni kwamba wanalazimishia michango, kwa mfano ukitaka kujiunga na exstreme sms upate msg 100 utaambiwa huna salio, au...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wapendwa wanajf,hoping kuwa mkiwa ndani ya forum hii mnapata matulizo na matumaini ya matatizo meengi ambayo yanatuface ajira,street kids,machinga,migomo,kupanda kwa gharama ya vitu,dowans n.k...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu hapa niko maeneo ya mwenge kuna gari imegonga mtu hapa wanapouza vinyago sasa fujo zimeanza kwa kasi watu wenye hasira wanapiga magari na kupambana vikali na polisi ambao wamefika hapa kama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimeukuta mjadala huu: "Hawa wote ni wanyama jamii ya chui lakini kila mmoja ana jina lake,naomba mnisaidie kuwajua kwa lugha ya kiswahili yupi ni yupi maana mie nachanganya tu." Huyu ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kumekuwa na tabia chafu ya magari ya wizara, idara na mawakala mbalimbali wa serikali, mawaziri, spika, naibu spika, majaji na hata wanajeshi kujiona ya kwamba wao wapo juu ya sheria za usalama...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Oxford law graduate sues tutors for ruining her career. Maria Abramova, 28, is suing her tutors for £100,000 for not giving her enough “tuition in exam technique” which caused her to fail her...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau hasa ambao mnaangalia ALJAZEERA LIVE mnaona hii vita wanaonga mkono wapo juu ya magorofa wanarushia mawe waliopo kwenye waandamanaji uwanja wa Tahihir hakuna hatua zozote za kiusalama wala...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii hali ya Ubungo Bus Terminal inasikitisha sana kuona kuko giza kila umeme unapokatika. Nimeshuka hapo mara kadhaa usiku ni giza nene. Sipendi kuamini kuwa uongozi wa hapo umeshindwa kugharamia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MAITI za watoto 10 zimekutwa zikiwa zimefukiwa kwenye shimo moja huku zikiwa zimefunikwa kanga na mashuka ya Hospitali ya Mwananyamala ya jijini Dar es Salaam. Maiti hizo zimekutwa katika eneo la...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
du...................................................................................................................!
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wazee walaani mwenzao kutaka kuzikwa hai na Stephano Mango, Songea WAZEE nchini wamelaani vikali tukio lililotokea hivi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mwanamke mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika ambaye hujulikana kwa kufanya biashara ya kujiuza asubuhi ya jana alikuwa kituko katika maeneo ya Biafra Kinondoni wakati alipoamua kujianika...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Back
Top Bottom