Kwa habari nlizopata usiku huu kutoka kwa mwanafunzi.Chuo Mlimani kitakuwa na Maandamano kama Egypt kuimiza serikali iwaongee mkopo kwa ajili ya matumizi
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu(HESLB), imeurarua Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), kutokana na kile ilichokiita ni kutoa taarifa, "za kizushi na za kukurupuka," na kutaka isigeuzwe...
Taarifa nilizozipata hivi punde huko Mabibo Hostel kumekuwa na maandamano tangu saa 12 asubuhi. Wanafunzi wamevunja milango ya mabweni ya wasichana kuwashinikiza waungane kwenye maandamano na...
Wana JF naombeni ushauri wenu. Sijawahi kumiliki gari naona sasa muda muafaka umefika. My dream car ni swift, wakati ninapanga kukamilisha ndoto yangu nishaurini. Sina uelewa wa magari na hili...
A judge once described her as a lying deceitful woman who deserved not an iota of sympathy.
But yesterday a Tanzanian asylum seeker was granted the right to stay in Britain because since...
Katika nchi ya Nepal kituo kimoja kimeanza mkakati wa kusoma taarifa ya habari gizani ili kuishinikiza serikali iongeze uzalishaji wa umeme na ikatishe mgao wa masaa 12 kila siku.
Je, vituo...
Mimi ni mtumishi wa serikali ngazi ya mshahara TGTS D,nimeolewa na nina mtoto mmoja, pia ninaishi na watoto wengine wawili ambao tunawasomesha secondari. Kwa ujumla maisha ni magumu ukilinganisha...
Jaman wakuu naomba mnisaidie kujua post iliyochangiwa had leo tarehe 04feb2011
nahitaji tu kufahamu hata kama mods watanisaidia hiyo itakua poa sana......naombeni msaada wenu please........
No wonder she's smiling.
Having claimed in December he would soon disclose the 500-year mystery of who had served as the model for Leonardo da Vinci's enigmatic Mona Lisa, researcher Silvano...
Habari wanajamvi,
Napenda kutanguliza definition ya special school kabla ya kuingia kwenye mada. Kwa 'special schools' nina maana shule za serikali zinachochukua wanafunzi waliofaulu vizuri au...
Kuna tetesi kwamba watu watatu wamekufa Muhimbil baada ya umeme kukatika usiku wa leo, walikuwa wanapumulia mashine sasa nauliza hivi mgao wa umeme upo mpaka sehemu tete kama hizi? Jamani hii nchi...
Leo Asbh Gerald hando amenigusa sana na kusema kama kweli viongozi wetu wana mambo yao katika shule za kata, na kuzipa majina yao, Sasa majina ya shule za kata ni ya viongozi tena wanasiasa...
Wadau nilikuwa na dada 1 ambaye nilimpenda sana nayeye alionesha kunipenda ila tulikuwa tunakaa sehemu tofauti mi nilikuwa nafanya kazi wilaya nyingi na yeye mkoani, nilipata likizo sept 2008...
nimeangalia kwenye taarifa ya habari ya tbc1 nimeona shule moja ya msingi ya mwaluko b mkoani shinyanga wanatumia darasa moja wanafunzi wa madarasa mawili mfano darasa la 6 na 7 wanachangia...
Huku ninapoishi kumekuwa na katizo la umeme since jana mpaka mda huu usiku haujarudi. Nimempigina injinia mmoja wa Tanesco amenihabarisha kuwa kuna upungufu mkubwa kwenye vyanzo vya umeme. Na siku...
Profesa Shivji ashauri walimu walipwe zaidi ya mawaziri
Mwanazuoni maarufu nchini, Profesa Issa Shivji, ameishauri serikali iwalipe walimu mishahara mizuri zaidi ya mawaziri kwa kuwa kazi...
ndg wanajamvi nimeishi ktk mkoa wa kigoma katika wilaya ya kibondo na kasulu takribani kwa miaka minne lakini hizi station za taifa hazisikiki huku na afadhali tbc1 wale wenye satelite dish...
Habari zenu wanaJF Leo nimekuja na swali tujadiliane NI KITU GANI AMBACHO KILA MWANADAMU ANAKIOGOPA KATIKA MAISHA YAKE YA KILA SIKU HAPA DUNIANI? Kwa sababu nimeambiwa kunakitu ambacho kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.