Gumzo
HATIMAYE kampuni ya Dowans Holding SA imesajili mahakama kuu nchini tuzo yake ya Sh. 94 bilioni iliyodondoshewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Kibiashara (ICC)...
Hbr wana JF..
Leo Bungeni kat ya mambo yaliyonivutia, pamoja na majibu mepesi mepesi ya mawaziri, ni hili la Naibu Waziri wa Uchukuzi kusema kampuni ya TRL inahtaji zaidi ya bilioni 500 ili iweze...
Nimesikia kwenye magazeti ya leo asubuhi kuwa Shekh maarufu na mwanasiasa, kada wa CCM Mtopea alifariki juzi na kuzikwa jana huko Temeke.
Shekh Mtopea namkumbuka sana katika mambo mengi ila...
Kuna malalamiko mengi kuwa watoto wanatendewa vitendo visivyo vizuri ndani ya school buses .
Nasikia kuna kesi tele zinalipotiwa na huwa zinamalizwa juu kwa juu, juu ya ukatili wanaofanyiwa...
Baada ya kukawia kufika chuoni leo kama alivyo ahidi angfika saa 5,amefika saa sita na saa saba akaelekea viwanja vya chuo kikuu kutimiza ahadi ya kuja kuwasikiliza wanafunzi,waziri leo...
nilipata fursa ya kutembea bandari moja katika nchi fulaani..nikakuta kazi wanazofanya ni kupakia mizigo kwenda nchi nyingine kutoka kwenye viwanda vyao..pia nikatembelea bandari ya dsm yenyewe...
Kaka yangu ana mtoto ambaye inatakiwa aanze form one mwaka huu, tatizo ni mwizi alikuwa anakaa kwa dada yetu mkubwa akawa anaiba hela kwake wakati yuko darasa la 6 mpaka 7, anaiba ananunua sim...
Jamani mi napatwa na mashaka na kadri siku zinavyoenda ndio mashaka yanazidi kuhusu mambo ya PM.
research ndogo niliyofanya nimegundua kuwa watu tunaogopa kutumiana PM kwa hofu ya
1 kutojibiwa...
Waziri membe tunaomba ufuatilie zoezi la utoaji viza za uk
leo kati ya watz 50 walioomba viza ni wa3 tu ndio wamepata .
Mimi ni mfanyabiashara kwa kawaida huwa wanapiga simu benki na kule...
Hivi majuzi Mamlaka ya mawasiliano ilitangaza kuwa chukulia hatua kali za kisheria wafanya kazi wa makampuni ya simu ambao hutoa siri za wateja.
Nasema hiyo haitoshi bali iongeze kuwachukulia...
Kaka mmoja mwenye asili ya Somalia, raia wa Kenya anayesoma nchini Malaysia, wiki iliyopita alijikuta akizua zogo kwenye ofisi ya uhamiaji. Tukio hiko lilitokea mida ya asubuhi baada ya kaka huyo...
Hbr wana JF..
Kwa kuwa hli ni jukwaa la kijamii, hvyo nadhani si vibaya kujadili swala lolote lihusiyo jamii yetu..
Leo ktk kipnd cha X X L mtangazaji binti anayejiita Dj. Fatuma au Fety...
Watu wapatao 106 (wasichana wawili tu) wanaoonekana kuwa ni raia wa Somalia wamekamatwa katika ufukwe wa bahari ya Hindi karibu na kisiwa cha Jibondo wilaya ya Mafia. Watu hao inasadikika walikuwa...
Spika wa Bunge Mh. Anna Makinda
Na Mwandishi Wetu
Spika wa Bunge, Anna Makinda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uratibu, Sera na Bunge, William Lukuvi wamewaonya wabunge kuhusu mavazi...
Boniface Meena, Mwananchi Jumapili
UTAFITI uliofanywa katika hifadhi ya msitu wa Udzungwa, umeonyesha kuwa msitu huo, unapaswa kuokolewa kwa kuwa uko hatarini kutoweka kama hatua za haraka...
Tahadhari tena, NSSF kwa nini wasijenge nyumba tukaishi watz badala ya kufua umeme ambao wataingizwa mkenge na hatimaye ufisadi mwingine utakuja hili la NSSF mimi siliafiki kabisa.
Great thinkers, kuna yeyote yule aliyepata taarifa ya kikao cha Waziri wa Elimu na Ufundi Dr. Shukuru Kawambwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam?
Kuna lolote jipya lilofikiwa...
Wadau wakati wa maadhimisho ya miaka 34 ya ccm ktk hotuba yake nilimsikia JK akisema eti kwamba watu wanayesema anahusika na Dowans akutukanae hakuchaguli tusi,eti kwake kuambiwa anahusika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.