Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Jumanne Januari 25, 2011 Makala Matuta barabarani yataondoka sheria zikiimarishwa Imeandikwa na Judicate R. Shoo; Tarehe: 24th January 2011 @ 23:59 AMRI iliyotolewa hivi karibuni na Waziri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwanza kabisa poleni na majukumu ya uendeshaji wa jamvi hili. Leo hii nimeshuhudia uwepo wa kitufe cha "Thanks" kwa mobile users.kwa niaba ya wengine nachukua fursa hii kuwashukuru na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tambwe hiza kiongozi wa propaganda CCM, akihojiwa na chanel ten, amesema CDM , ndio kinausika na migomo yote ya hapa nchini inayotokea, kwa habari zaidi fatilia chanel ten sasa hivi
0 Reactions
148 Replies
14K Views
Lile jinamizi la mgomo wa wanafunzi wa elimu ya juu limepiga kambi Makumira University. Wanafunzi wa mwaka wa kwanza wamezira kuingia class kwa madai ya kutokupewa hela ya kujikimu. Hii imetokana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa wana jf! Kila mtu na zawadi yake kwa anaempenda au anaowapenda. Zawadi yangu kama mtaalam wa tasnia hii nimewafikishieni hii zawadi yangu kwa upendo wang wote!! Kwa mwaka 2011.
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Unapofungua JF where do u start, Kuna wengine wanaanzia Jamii photo, wengine International, Wengine Siasa, Wengine, Kwa Docta kule, Wengine wanaanzia Inteligence, basi kila mmoja na upande wake...
0 Reactions
59 Replies
4K Views
Hivi TFF itaendelea kufuga hizi aibu na fedheha mpaka lini? Kwa mfano jana kuna mechi moja ya ligi kuu ilichezwa na hapakuwa na kibao cha kufanyia mabadiliko zaidi ya kutumia makaratasi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mmiliki kiwanda cha tomato ‘feki’ mbaroni na Dina Ismail HATIMAYE Jeshi la Polisi mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
USHAURI WA BURE POINTS ON HOW TO IMPROVE YOUR LIFE by Randy Pausch Personality: 1. Don't compare your life to others. You have no idea what their journey is all about. 2. Don't have...
0 Reactions
3 Replies
916 Views
:nono:NATAMANI KULIA AU NIJIVESHE MABOMU NIENDE BUNGENI NIKAJILIPUE MAAANA NIMEPITA PITA KWA NJIA NIMEONA VIJANA WENGI WAKICHIMBA MITARU NA KUWEKA HAKO KA WIRE CHA MAWASILIANO NIKABAATIKA KUKAONA...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Sunday, 23 January 2011 Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk. Valentino Mokiwa Mussa Mwangoka, Sumbawanga na Minael Msuya, Dar MGOGORO umezidi kutikisa Kanisa Anglikana nchini...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mwanaume mmoja wa nchini Australia ambaye kutokana na pombe alizokunywa aliamua kumvua kinguvu mkewe nguo zake na kumbusu makalio yake, amenusurika kutupwa jela kwa kufanya shambulizi la kijinsia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WANA JF NAULIZA HIVI WATOTOT WAKIMASIKINI WASSOME MPAKA LEVEL GANI WAPATE AJIRA AU KAZI KAMA WATOT WA HAO VIGOG MAANA INATIA UCHUNGU KILA SEHEMU NYETI WATOTO WAO SIE JE HAPO NDIPO KILIO CHANGU...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba kuliza; Hivi kuna flight inayofanya Safari ya Arusha- Bukoba? Na je kama ipo ipi na fare ni kiasi gani to an fro? Ntashukuru kwa msaada wenu! Naomba kuwasilisha, Asanteni!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
January 24, 2011 at 5:25pm source, michuzi blog, View GLOBAL's News na TBC taifa news. Michael Wage akiondoka mahakamani baada ya kukiri kutoa rushwa ya shilingi milioni 10. Na Richard Bukos...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Makao Makuu ya MI6,London Mashirika ya ushushushu ya Uingereza,MI5 na MI6,leo yalitarajiwa kuieleza Mahakama Kuu ya hapa kwamba siku zijazo taarifa za kiusalama zitazokusanywa nje ya nchi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwenye moja ya threads zako uliwahi kusema juu ya kufungua dojo kwa ajili ya kufundisha kung-fu mwezi huu wa January. Mimi ni mmoja wa wapenzi wakubwa wa mchezo huu na ninasubiri kwa hamu sasa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika hali ya kuchanganyikiwa serikali imezidi kuhaha katika kujaribu kuudanganya ulimwengu kuhusu mauaji ya raia yaliyofanywa na polisi jijini arusha serikali mkoani arusha Iliwaagiza maofisa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jambo wote JF, Msichoke kusoma! Nahitaji msaada! Ndugu naombeni msaada wenu. Wakati fulani huko miaka ya nyuma, niliwahi kuoa mdada mmoja mkenya. Tuliishi kwa miaka 7. Katika ndoa yetu ambayo...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Najua kila binadamu ana akili ya kufikili na kupembua mambo muhimu katika maisha yake,nina maaana kuwa kila mtu anahitaji kuishi maisha mazuri sana na ndo maana kila siku tunafanya kazi ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom