Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Waja leo warudi leo msemo huu ni maarufu sana masikioni mwenu na moja kwa moja mtu akiusema unajua hiyo ni Tanga line, Tanga Raha, Kunani paleee, Makorora Wadeka, Chuda Raha au mapenzi...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Hivi karibuni hapa arusha mtaa wa sakina (white rose) Kuna mradi mkubwa wa maji umeanzishwa hawa jamaa (Mafundi) wa AUWASA wamekuwa wakitapeli watu ili wawafungie maji chapu! chapu! wengi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwanamke nyota wa filamu za ngono wa nchini Ujerumani ambaye alijipatia umaarufu mkubwa baada ya kushiriki 'Big Brother Germany' amefariki dunia baada ya operesheni ya sita ya kurekebisha matiti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MAHAKAMA ya Wilaya ya Bukoba, imemhukumu Robert Maintland (42), raia wa Ugiriki kutumikia kifungo cha miaka miwili jela na kucharazwa viboko kumi, baada ya kupatikana na hatia ya kuingia nchini...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Tanzania gets $11m UK grant to train local entrepreneurs More than 750 entrepreneurs will be trained in business planning and management then compete for cash grants. Photo/FILE By MARY...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri mkuu mstaafu amempa support big up ya hoja binafsi ya katiba mpya!pia kamuunga mkono waziri sitta kwa maoni yake juu ya dowans kwa kuwa serikali haikujadili pamoja katika baraza la...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wajameni nimechukua hii picha kutoka kwenye blog ya ankal, binafsi imenikera sana. Kuna sababu gani ya kuweka shule ya maalbino kwenye jamii yetu. Kwanini hawa watoto wasiende shule zenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwenye khabari atujuze jamani kama kweli au la!
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Asalaam Aleikum wana JF; Nimesikitishwa na kitendo cha jeshi letu tukufu la polisi kupotosha hali halisi ya tukio lililotokea Arusha kupitia vyombo vya habari. Kwa maoni ya wengi majeruhi ni wengi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
This was my best Speech of the week "Naomba wananchi wafahamu kuwa siwezi kufungwa mdomo kupinga malipo kwa kampuni ya kitapeli ya Dowans." ”Haraka ya kuilipa Dowans ni ya nini? Nchi hii ina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JK ana degree ya Uchumi. JK ukimuuliza rate ya inflation tanzania anakwambia 5.5% kwa mwaka, tena anatongeza na vijimajigambo kwamba ilikua above tena lakini jitihada za serikali yake zimeishusha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chanzo: Taarifa ya Habari ya ITV saa mbili usiku. Wazee mmesikia hiyo? Inakuwaje mji ukose umeme kwa muda mrefu kiasi hicho!! Hiyo siyo hujuma jamani??? Wazee, si mnakumbuka jinsi wakazi wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tokea bwana Tildo Mhando aondoke TBC1 imekuwa ya ajabu na ya hovyoo sana. Habari za muhimu za matukio muhimu hayaoneshwi tena na kituo chetu kipenzi cha TBC au ikitokea wameonesha basi ni kidogo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wapiga debe wasiokuwa na sare kufukuzwa kesho Ubungo Saturday, 22 January 2011 20:07 Mariam Sagafu, MUM HATIMAYE lile agizo lililotolewa hivi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ni katika idara ya civil and water resourse. dr kimaro is no more. amefariki katika ajali ya gari iliyotokea leo mapema dodoma.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana jf, mimi siko vizuri sana na sheria naombeni ushauri kama inawezekana nikawashtaki viongozi wa msikiti ulio jirani na nyumbani kwangu maana kila ikikaribia saa kumi na moja alfajiri wanatoa...
0 Reactions
102 Replies
9K Views
Utafiti: Polisi endelea kuongoza kwa rushwa Tuesday, 18 January 2011 21:47 Mkuu wa jeshi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wabunge wa CCM waondolewa woga Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 22nd January 2011 @ 23:59 WAKATI Mkutano wa Pili wa Bunge la Jamhuri ukikaribia kuanza mapema mwezi ujao, wabunge wa CCM...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MGOGORO ndani ya Chadema mjini hapa unaomhusisha Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa na baadhi ya wanachama wanaotaka ajiuzulu, umechukua sura mpya. Hali hiyo imekuja baada ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dr SLAA amefanyiwa upasuaji mdogo kwenye mkono aliovunjika Anapatiwa matibabu Moi Source wakili Albert Msando amesema mahakamani arusha leo asubuhi
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom