Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
EVANCE Damiani (43), mkazi wa kijiji cha Gekrumu, wilayani Karatu, Arusha amewaua watoto wake wanne na yeye mwenyewe kujiua kwa kile kinachodaiwa wivu wa mapenzi.Tukio hilo la kusikitisha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The world’s most expensive residential apartments at One Hyde Park have been officially unveiled with the help of a few famous faces. Gary Lineker, actress Holly Valance and Bernie Ecclestone...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
:A S thumbs_up:Tunisian student 'not afraid anymore' Asma Ghibri says monitoring news of recent events has left her with...
0 Reactions
1 Replies
797 Views
Wana JF naomba kama kuna aliye na vido clip ya yale maoni ya Samwel Sitta kuhusu kulipwa kwa Dowans anipatie hapa kwenye Forum. Thanks in advance
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, nimekuwa nikijiuliza chanzo cha Rais wetu wa sasa kuitwa JK, nakosa uhakika kama ni sahihi tumuite hivyo au la! Mara mwingine akaniambia ni katika harakati za kuteka umma kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wana jf , ningepenada kujua deadline ya kulipa hukumu ya icc kuhusu dowans, je serekali haiwezi hata kidogo kudelay mpaka kikao cha bunge kianze angalau hawa wawakilishi wa wanachi watoe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Chanzo cha malaria ni mtu kuumwa na mbu aina ya anopheles mwenye vijidudu vya malaria (protozoa aina ya plasmodium na jamii zake). Ugonjwa huu bahati mbaya hauna chanjo mpaka sasa lakini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Siku si nyingi nilikuwa huko katika nchi za wenzetu. Katika maongezi ya kawaida huku tukisubiri lunch jamaa mmoja akaniuliza, ni nani Icon wa Afrika? Kimsingi nilimjibu ingawa mimi mwenyewe...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Albino walia kuathiriwa na mafuta na Stella Ibengwe, Shinyanga CHAMA cha watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) mkoani Shinyanga kimesema mafuta aina ya ENAT Vitamin "E"Crime wanayopaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF, Kuna hiki kitabu chenye title hii "kanisa katoliki na hatma ya uongozi Tanzania", yeyote aliye na taarifa nacho naomba anijuze vp naweza kukipata. Ni muhimu sana.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
JF mwenye kufahamu kesi ya jaji Rugazia imefikia wapi anijuze
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tibaijuka aombwa kuwatimua maofisa ardhi Kinondoni na Andrew Chale MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), amemtaka Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Anna Tibaijuka kuwafukuza kazi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu:: Baada ya Miaka 15 ya kuchapa kazi, Baba_Enock ameweza kujenga vyumba viwili maeneo ya Buza na sasa amehamia huko na anaishi na familia yake raha mustarehe! Takribani miezi miwili hawa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Gari la Waziri lahusishwa kwenye wizi Tuesday, 18 January 2011 21:38 Sadick Mtulya JESHI la Polisi Mkoani Morogoro, limekamata gari la Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Lucy Nkya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya migomo kadhaa ya mahabusu iliyotokea magereza mbalimbali nchini,hatimaye serikali imesikia kilio chao na kuagiza uchunguzi wa kidaktari unatakiwa kukamilika ndani ya majuma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
President Barack Obama and his family received hundreds of thousands of dollars in gifts from world leaders in 2009, the US has revealed. Among the top givers was Saudi King Abdullah...
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Hukumu ya Dowans ya ICC yatua Mahakama Kuu Dar Na Waandishi wetu 19th January 2011 Mchakato wa kuisajili waanza UVCCM nao waipinga Dowans Mitambo ya Dowans Hatimaye Mahakama ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika gazeti la leo la The Citizen limemkariri Mkurugenzi Mkuu wa TCRA akisema kuwa kampuni za simu zina gharama kubwa za uendeshaji. Katika hili tunaiomba TCRA iweke wazi gharama za undeshaji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya leo siku nzima Zantel kuwa Down na kupiga simu customer service na kupewa majibu ya mtandao upo down, kana kwamba its okay and I should accept it, hii imenifanya nijiulize hivi...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jumamosi tumetoka na binamu zangu na wadogo zangu, tumeenda sehemu tukiwa tumejiaandaa kujirusha . Tumeagiza vinywaji kila mtu kwa jinsi alivyo taka kutii kiu yake. Tukiwa bado tunaendelea...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom