EVANCE Damiani (43), mkazi wa kijiji cha Gekrumu, wilayani Karatu, Arusha amewaua watoto wake wanne na yeye mwenyewe kujiua kwa kile kinachodaiwa wivu wa mapenzi.Tukio hilo la kusikitisha...
The worlds most expensive residential apartments at One Hyde Park have been officially unveiled with the help of a few famous faces.
Gary Lineker, actress Holly Valance and Bernie Ecclestone...
Ndugu wana JF, nimekuwa nikijiuliza chanzo cha Rais wetu wa sasa kuitwa JK, nakosa uhakika kama ni sahihi tumuite hivyo au la!
Mara mwingine akaniambia ni katika harakati za kuteka umma kwa...
habari wana jf , ningepenada kujua deadline ya kulipa hukumu ya icc kuhusu dowans, je serekali haiwezi hata kidogo kudelay mpaka kikao cha bunge kianze angalau hawa wawakilishi wa wanachi watoe...
Chanzo cha malaria ni mtu kuumwa na mbu aina ya anopheles mwenye vijidudu vya malaria (protozoa aina ya plasmodium na jamii zake). Ugonjwa huu bahati mbaya hauna chanjo mpaka sasa lakini...
Siku si nyingi nilikuwa huko katika nchi za wenzetu. Katika maongezi ya kawaida huku tukisubiri lunch jamaa mmoja akaniuliza, ni nani Icon wa Afrika? Kimsingi nilimjibu ingawa mimi mwenyewe...
Albino walia kuathiriwa na mafuta
na Stella Ibengwe, Shinyanga
CHAMA cha watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) mkoani Shinyanga kimesema mafuta aina ya ENAT Vitamin "E"Crime wanayopaka...
Habari wana JF,
Kuna hiki kitabu chenye title hii "kanisa katoliki na hatma ya uongozi Tanzania", yeyote aliye na taarifa nacho naomba anijuze vp naweza kukipata.
Ni muhimu sana.
Tibaijuka aombwa kuwatimua maofisa ardhi Kinondoni
na Andrew Chale
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), amemtaka Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Anna Tibaijuka kuwafukuza kazi...
Wakuu::
Baada ya Miaka 15 ya kuchapa kazi, Baba_Enock ameweza kujenga vyumba viwili maeneo ya Buza na sasa amehamia huko na anaishi na familia yake raha mustarehe!
Takribani miezi miwili hawa...
Gari la Waziri lahusishwa kwenye wizi
Tuesday, 18 January 2011 21:38
Sadick Mtulya
JESHI la Polisi Mkoani Morogoro, limekamata gari la Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Lucy Nkya...
Baada ya migomo kadhaa ya mahabusu iliyotokea magereza mbalimbali nchini,hatimaye serikali imesikia kilio chao na kuagiza uchunguzi wa kidaktari unatakiwa kukamilika ndani ya majuma...
President Barack Obama and his family received hundreds of thousands of dollars in gifts from world leaders in 2009, the US has revealed.
Among the top givers was Saudi King Abdullah...
Hukumu ya Dowans ya ICC yatua Mahakama Kuu Dar
Na Waandishi wetu
19th January 2011
Mchakato wa kuisajili waanza
UVCCM nao waipinga Dowans
Mitambo ya Dowans
Hatimaye Mahakama ya...
Katika gazeti la leo la The Citizen limemkariri Mkurugenzi Mkuu wa TCRA akisema kuwa kampuni za simu zina gharama kubwa za uendeshaji.
Katika hili tunaiomba TCRA iweke wazi gharama za undeshaji...
Baada ya leo siku nzima Zantel kuwa Down na kupiga simu customer service na kupewa majibu ya mtandao upo down, kana kwamba its okay and I should accept it, hii imenifanya nijiulize hivi...
Jumamosi tumetoka na binamu zangu na wadogo zangu, tumeenda sehemu tukiwa tumejiaandaa kujirusha .
Tumeagiza vinywaji kila mtu kwa jinsi alivyo taka kutii kiu yake.
Tukiwa bado tunaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.