Ndugu wana jf leo kesi ya kina Dr slaa inakuja kwa kutajwa mahakamani. Hata hivyo mashaka yameongezwa na kuwa matano hivyo watasomewa upya mashtaka mapya. Hati hiyo hii hapa
IN...
KAMANDA MPINGA HILI NALO LIANGALIE KWA MACHO MAWILI.
Jamani wana JF hivi ni lini Watanzania wataishi katika nchi yao bila kunyanyasika ebu sikieni yanayofanyika hapa Mbeya , Vituko vya wenzetu...
Leo ni tamasha la wanyambo waishio wilayani Karagwe tangu 21/1-23/1 2011. Makumbusho Dar. Tunaomba machapisho, picha mbalimbali wale mtakao fanikiwa kuhudhuria ili tupate vionjo vya kabila hilo.
Na Shija Felician, Kahama .
Jumla ya ngombe 11 zimeuawa kwa kipigwa na radi katika kijiji cha Ubagwe ,Wilayani Kahama hali ambayo imewatia hofu wananchi kwa kuwa matukio ya radi kupiga na...
Wana JF,
Leo nimepata tetesi toka Mwanza kuwa M/Kiti UVCCM Mkoa wa Mwanza ametiwa nguvuni kwa kujipatia pesa kwa kutumia cheo chake ambavyo ni kinyume na sheria na taratibu za kazi na kinyume na...
WANAUME wa kisiwa cha Goziba wilayani Muleba mkoani Kagera ambao hawajatahiriwa wametakiwa kujiandaa kushiriki uzinduzi wa tohara kwa wanaume Januari 22.
Taarifa iliyotolewa jana na Ubalozi wa...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imemhukumu kwenda jela mwaka mjumbe wa kamati ya utekelezaji ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), wilaya ya Morogoro Mjini , Charles Matambo...
By admin
January 20, 2011Posted in:
Habari Mchanganyiko
Na Salehe Mohamed
MSHAURI wa jopo la masheikh na wanazuoni wa Kiislamu Tanzania, Iddi Simba, amesema nchi ipo hatarini kwa sababu amani...
Nilisoma moja ya makala ya Mwanahalisi ya jana, mbasha asenga alijaribu kutetea sana dk slaa kuhusu hizi tuhuma za udini. hata mimi napingana na mtazamo wa wengi kama dk slaa ni mdini licha ya...
Vigogo wamega maeneo ya vijiji Pwani Thursday, 20 January 2011 20:55
Julieth Ngarabali, Pwani
Mwananchi
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Anna Tibaijuka sasa atalazimika...
By Dr Michael Mosley BBC Four's The Brain: A Secret History
Imagine being attacked by one of your own hands, which repeatedly tries to slap and punch you. Or you go...
UVCCM leo wameonyesha ukomavu wa hali ya juu na kuguswa na maslahi ya taifa baada ya kutoa matamko kadhaa likiwemo la kuitaka serikali kuwataja hadharani wamiliki wa Richmond ili wabebe mzigo wa...
Nimeamua kuandika hivi kwa hisia zangu kutokana na mambo yanayoendelea hapa nchini, haswa kuhusiana na swala la Dowans. Ukimya wake ni moja ya jambo lililonipelekea kuwa na hisia hizi. Pia nina...
Ukombozi wa nchi upo mikononi mwetu.
Mimi nimedhamiria na kila wiki lazima nimtumie mzee wangu magazeti ya mwanahalisi na raia mwema na mwananchi ili ajue nchi inavyo endeshwa na kisha tunapiga...
Wadau wana JF,
Habari za majukumu. Naomba mwenye list nzima na anwani ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano kwa 2011 anisaidie. Nina shida nazo sana.
Asante
Ndugu katika JF,
Mimi kama raia wa nchi hii huwa najiuliza nini kifanyike ili kuwabana wanaokwepa kodi kwa kubadilisha majina mara kwa mara kama vile airtel tigo, etc.
Naomba michango yeno wana JF!
nimesikiliza habari jioni hii bbc kumbe maandamano yalisababishwa na kijana mmoja ambaye askali jiji walimkamata akiwa anauza matunda mitaani na alipofuatilia na kutaka kupewa mzigo wake ndipo...
Jana au juzi nilimsikia Kamanda wa kikosi cha barabarani, Kamanda Mpinga, akisema kwamba moja ya sababu kubwa mpaka sasa idadi ya watu waliobadilisha leseni mpya kuwa chini ni fact iliyowazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.