Sijui niite dowansei
sijui niseme je wapendwa..naona hizi mbolea ni dili la ajabu
kwa waliosikia majuzi dk mwakyembe akiapokea malalamiko ya wizi wa mbolea za ruzuku na habari zinasema zaidi ya...
Wapendwa wana JF, ni kweli Tanesco wanatukosea mengi, kama ilivyo kila chombo cha selikali yetu, lakini ebu angalia wamesambaa hadi wapi, mtandao wa umeme mkubwa kiasi gani, kisha jaribu kufikiria...
BAADHI ya vurugu za kisiasa zinazotokea hapa nchini zimedaiwa kuchochewa na wafadhili wa nje kwa kutoa fedha nyingi.
Akizungumza Dar es Salaam jana Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utawala...
Wakuu, nimepita Mwenge asubuhi hii mida kama ya moja na nusu hivi wakati naeleka kibaruani na kukuta makundi ya watu na FFU wakiwa kwa mbali kidogo huku nikisikia amri fulani inatolewa. Naomba...
Nadhani mafunzo yao ya upolisi kipaumbele chake vurugu tu na sio kufuata utaratibu wa kujali raia. Nchi zingine Polisi unaweza kumtegemea kabisa akuongoze uwe salama hata kama ni mgeni kabisa...
MGOGORO wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, (Daruso) umeendelea kuvuta kasi baada ya Utawala Chuoni hapo kuingilia kati na kuunda kamati ya watu watatu itakayofanya kazi ya...
Send to a friend SERIKALI hatimaye imetangaza kuwaajiri walimu wapya 16,000 waliokuwa wakihaha mitaani kwa kuhoifia kutoajiriwa baada ya kumaliza masomo yao tangu Mei mwaka jana.
Kwa hatua hiyo...
Nikiwaangalia kwa makini wasoma habari wa wenzetu, nabaini tofauti kubwa mno na hawa wa kwetu hapa nyumbani. Inanisikitisha mno ndugu zangu, kuwa tofauti hii hutuweka sisi kama jamii kwa ujumla...
Tujitahidi kuyaweka hapa jamvini ili kila mshiriki ...
Hata wale wanaosoma wapate kujifunza...
Taja kitu chako chochote kitapotimia utajisikia raha sana.
NYUMBA nyingi za wageni zisizosajiliwa katika Manispaa ya Kinondoni zimesababisha kiwango cha maambukizi ya virusi vya Ukimwi kuwa juu kwa asilimia 7.8 ikilinganishwa na kiwango cha kitaifa cha...
MKAZI wa Kijiji cha Mawenjeni Kata ya Mwika Kusini, aliyetambulika kwa jina la Msafiri Msuya (36) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumnajisi mtoto wa miaka 9 na kumsababishia maumivu na...
MAPADRI wawili wa Kanisa Katoliki wamekufa maji wakiogelea katika ufukwe wa Bahari ya Hindi. Mapadri hao ni Katibu wa Ubalozi wa Vatican nchini, Degn Maxime (35), raia wa Ivory Coast na John...
UFISADI BODI YA KAHAWA MOSHI
Wana JF, hii ni taarifa iliyotumwa na Mwanajamii mwenzetu kupitia mtandao binafsi, kama kuna mmoja wetu anawea kufuatilia na kutupa ukweli wa habari hii...
MKAZI wa Tambani Kitonga wilayani Ilala mkoani Dar es Salaam Kiraryo Chacha (39), amejinyonga baada ya kuudhiwa na wenzake katika kilabu cha pombe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Faustine...
naomba kujua bei za jenereta na pia niangalie nini wakati wa kununua? kuna zisizopiga kelele?
Pia maduka gani wapo bei nzuri dar, kama kuna mji mwingine wanauza niambie pia.
na utajuaje...
Wandugu habari zenyu bana,
Leo asubuhi tume report kazini kama kawaida, tukiwa tunaanza kazi tulisikia kishindo kwenye ngazi, tukakimbia kuangalia ni nini hicho kwa vile jengo letu ni lizee...
Kinadharia, kanisa linategemewa kuwa kimbilio la wanyonge na wanaodhulumiwa! lakini kinyume chake Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania limejiweka mahali pabaya kwa kushiriki uporaji na kupiga...
Siku hizi waganga wa kienyeji wanasajiliwa na wizara ya afya na wanapeleka dawa zao kwa mkemia mkuu. Sasa kuna dawa za kienyeji ambazo ni hatari , kama matunguri kwani yanaqua watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.