Kitendo cha Askari polisi wa Arusha Tanganyika kuwafyatulia risasi na kuwaua waTanganyika wenzao pale Arusha kwa amri ya Mzanzibari Shamsi Vuai Nahodha ni usaliti wa hali ya juu. Inasikitisha...
WATANZANIA wapo njia panda kutokana na kuzuka kwa hoja mbili za kitaalamu zinazokinzana kuhusu ubora wa maji ya kunywa ya chupa yanayotengenezwa na kuuzwa nchini.
Wataalamu hao wenye...
Imetokea huko combadia ambapo mtoto mmoja alitoweka nyumbani kwao akiwa na miaka minane!!Wakati anatoweka alikuwa na dada yake kwa bahati nzuri yeye alionekana na mzee mmoja akiiba chakula chini...
WAKATI Chama cha Wananchi (CUF) na NCCR -Mageuzi wakithibitisha kushiriki maandamano yaliyoandaliwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) ya kupinga ongezeko la bei ya umeme Katibu Mkuu...
Kuna tetesi sasa zimeanza kusikika serikali ya JK kuwekewa ngumu kupata misaada na mikopo kutoka mashirika mbalimbali ya kimataifa na wahisani kutokana na serikali yake kuteKeleza mauwaji ya...
UJIO wa noti mpya katika mzunguko wa fedha hapa nchini, umeleta hofu kwa baadhi ya wananchi na wafanyabiashara mkoani hapa kwa baadhi yao kufikia hatua ya kukataa kuzipokea.
Hali hiyo...
Walimu wahamishia familia kwa mmliki wa sekondari Send to a friend Friday, 07 January 2011 20:09 0diggsdigg
Hemed Athuman (TSJ)
WALIMU wa Sekondari ya Mkandawile na familia zao, wameweka kambi...
WATU wawili ambao ni maofisa Magereza wamekufa na mmoja kujeruhiwa katika ajali iliyotokea eneo la Pingo wilayani Bagamoyo ikihusisha magari mawili likiwemo gari dogo mali ya magereza mkoa wa...
Kuna habari kuwa majambazi yapatayo 7 yamevamia kituo cha mafuta nje kidogo ya mji wa Bukoba eneo la Kagondo, mnamo saa mbili usiku wa Leo na kumuua mlinzi na mmiliki wa kituo kwa risasi.
Mmiiki...
Aliyejifungua mapacha watano atoboa siri
na Ali Lityawi, Kahama
SHIJA Maige, mkazi wa Kata ya Bulungwa, wilayani Kahama ambaye hivi karibu alijifungua mapacha watano, amesema...
WANANCHI wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamefanya maandamano hadi ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo kulaani kitendo cha askari polisi kumuua raia mmoja kwa kukutumia risasi.
Mbali na hilo...
Wala kitimoto hatarini kufa kwa sumu Dar Send to a friend Friday, 07 January 2011 20:07 0diggsdigg
Fidelis Butahe
WATU wasiojulikana wanadaiwa kuua nguruwe 25 kwa sumu kali na hatimaye...
WanaJF, nimegundua kuwa wadada waJF hawako interested kuchangia political au posts nyinginezo mbali ya zile zihusuzo mahusiano na urafiki!! Kwa nini?? Tujadili
eti mnaonaje
saa zingine mtu unaingia humu unakuta thread ina replies nyingi
kama wengine tusio na muda kama mimi vigumu kusoma zote(kila posti) au kuona kama mwanzishaji kaongeza majibu ambayo...
Habarini za shughuli washikadau wa Jf!
Ndugu yenu nimepata International wadau wanataka kupatner na local NGO ktk kufanya AIDS awareness and prevention campaigns,sasa mimi nimeonelea niwape dili...
WATU wasiojulikana wanadaiwa kuua nguruwe 25 kwa sumu kali na hatimaye kuibeba mizoga ya nguruwe 18 kwa nia ya kuisambaza kwa walaji katika Jiji la Dar es Salaam.
Mabaki ya nguruweiliyobaki...
Askari wa Mgambo wakimkamata mama aliye kuwa akijiuzia bidhaa ndogo baada ya msoto wa maisha bora kwa kila mtanzania.
Yaani ilikuwa balaa patashika nguo kuchanika
Huyu mama kuna watoto na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.