BAADHI ya wafanyakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wanadaiwa kutumia muda wa kuwahudumia wananchi kufanya kazi zao binafsi nje ya ofisi.
Wamekuwa wakifanya hivyo, wakiamini kwamba...
Nasikitika kusema hivyo lakini kwa sasa sina mbadala wa kauli yenye matumaini! maana kila sekta ni ujinga mtupu! Afya, Siasa! Elimu! maendeleo ya jamii! na mengine mengi! utafikiri hakuna watu...
Watu wanaandamana bila kuleta vurugu, hatima yake wanapigwa mabomu na risasi! Kwanini Polisi wazembe wa Tanzania wasipambane na Majambazi ambayo yanatoa roho za raia wema hasa huko Temboni?
The alleged terrorists on this list below have been indicted by sitting Juries in various jurisdictions in the United Republic of Tanzania for the crimes against Humanity, Stealing of Public...
JINA la Mazengo Chalula si geni masikioni mwa watu hasa wale wa Kanda ya Kati. Ni la Mtemi wa Wagogo, moja ya makabila ya wenyeji wa Mkoa wa Dodoma ulioko katikati mwa Tanzania.
Mtemi Mazengo...
Mara mambo ya katiba mpya
Then fujo Arusha
Mara hii: one of Assange's employees at WikiLeaks had leaked the last big chunk of the documents to the Guardian
i found it very funny...
Nyumba ipo boko, maeneo ya chama. Ina vyumba vitatu ikiwemo masterbedroom, ina public toilet ndani, jiko na store, ina dining room kubwa kabisa, ipo chini ya mita 300 kutoka bagamoyo road. Vyoo...
DO YOU WANT TO KNOW WHAT STRESS IS?
A beautiful girl asks you for a ride home. On the way she faints and you take her to hospital.
The doctor says; Congratulations!!!!. You are going to...
ULIMI una uwezo wa kuuma kuliko meno.
Methali hii inatukumbusha kwamba maneno anayotamka mtu yaweza kuleta maumivu au kumwumiza mtu sana.
Yatushauri kupima maneno kabla ya kuyatamka yasije...
Ni muhimu sasa.
Fungua link hii. Ukishasikiliza jiulize wewe unaplay part ipi? Builders or destructors?
May God have Mercy on us!
Rev. Adam Haji Mohammed - Testimony | Zoopy | Share videos...
Wana JF ninaombeni kujua hivi nchini uingereza kuna makabila? na kama yapo naomba orodha yake japo kwa uchache, kwa mfano Tanzania kuna Wahehe wanaongea kihehe, Wahaya wanaongea kihaya...
Wana jf.......
Hivi kwanin kwenye sendoff wazazi waupande wa kike mara nyingi huwa wanalia ?
Najiulizaga wanalilia nn?.ni furaha .majonzi au wanahofia kwa jinsi mtoto wao atakavyo anza...
Hebu Google haya majina halafu nipe feedback:
1.Andrew James Tice (Canada)
2. Gopalakrishnan Balachandaran (India)
3. Hon Sung Woo (Singapore)
4. Guy Picard (Canada)
5. Sulaiman Al Adawi (Oman)...
Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Jangwani, Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, kimewatimua viongozi wake wajuu kwa kosa la kushirikiana na vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu uliofanyika...
Mods,
Naomba kupendekeza tuwe na post ya mwezi... ila vigezo vyake sijui vitakuwaje...
kwa kuanzia napendekeza post ya Prodigal Son katika thread ya:
Re: wamachinga wa kichina wapewa siku30...
je ni kweli hawa wachina kuondoka kwenda kwao? Yangu macho kwa sababu wahindi wamejaa na wachina tena awana hata vibari vya kuishi hapa na kufanya kazi na kulipwa mishahara mikubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.