WILAYA ya Newala mkoani Mtwara imeelemewa na tatizo la panya kushambulia mashamba ya mihogo, ambapo kwa sasa imeomba msaada wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika.
Kwa kawaida Wilaya za Mikoa...
MKUU wa Wilaya ya Mbozi mkoani hapa, Gabriel Kimolo ameshiriki katika maombi ya kukemea uchawi katika shule ya msingi ya kijiji cha Chindi, huku waganga wajadi walioalikwa kwa kazi hiyo...
POLISI mkoani Arusha imewataja watu wawili waliouawa na askari wake kwa risasi za moto katika vurugu zilizotokana na maandamano yaliyofanyika juzi mkoani hapa.
Mbali na watu hao, Denis Maiko...
Shirikisho Ndani ya Shirikisho
Uzoefu wa Muungano wa Tanzania na
Mchakato wa Kuiunganisha Afrika Mashariki
WanaJF na Watanzania wote
Tunaelewa kuwa Tanzania ni Mwanachama, mshiriki katika...
MKAZI wa kijiji cha Madangwa wilayani Lindi vijijini, Somoe Ali ameuawa kwa kupigwa jiwe na mtoto wa umri miaka 12, Hamis Hassani.
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Kamishna Sifuel Shirima...
MTOTO anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi mitano, ameokotwa akiwa ametelekezwa nje ya nyumba ya mtu huku mama wa mtoto huyo akiwa hajulikani.
Mtoto huyo aliokotwa usiku wa manane wa kuamkia...
Nimeona hii Article Kutoka Yahoo and Decided To Share it with You.... Things Babies Born in 2011 Wont know....
Video tape:
Starting this year, the news stories we produce here at Money Talks...
Wana JF nilikuwa naomba msaada wenu tafadhali, nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu upatikanaji wa shule/centre zinazotoa elimu kwa watoto walemavu. Sio wale wa viungo.
Nina mwanangu wa miaka 9 ambaye...
Every Sunday afternoon, after the morning service at the church, the Pastor
and his eleven year old son would go out into their town and hand out
Gospel Tracts.
This particular Sunday...
YouTube - Burning Spear - Christopher Columbus
Christopher Colombowicz: America's discoverer Polish not Portuguese, claim historians
He is celebrated as the humble Italian weaver who ended...
Latvian travels 1,500miles to squat in Britain because it's an 'easy touch'... and ends up living in a £10m mansion
Last updated at 5:29 PM on 6th January 2011
A Latvian artist who...
Pakistan government reverses unpopular fuel price rise
The government said fuel prices would be restored to the levels they were on 31 December
Pakistan's government has rolled back a recent...
IN THE RESIDENT MAGISTRATES COURT OF ARUSHA
AT ARUSHA
CRIMINAL CASE NO. . OF 2011
REPUBLIC
Versus
1. FREEMAN AIKAEL MBOWE
2. DR. WILBROAD PETER SLAA
3...
Tumetumiwa kwenye email zetu
Ndugu Waandishi wa Habari
CHAMA cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Arusha (APC), kinalaani,kwa
nguvu zake zote, matukio ya askari polisi mkoani Arusha kuendeleza...
Chinese "Iceman" Jin Songhao stands in a plastic box during a cold endurance competition in Zhangjiajie, central China's Hunan Province, Jan. 3, 2011. Jin Songhao and the other challenger Chen...
Wana JF nimesoma ktk website ya IPP media kuwa serikali imewatangaza wamiliki wa Dowans na namna watakavolipwa ila mtandao wenyewe umetoa tu heading.naomba kwa mlio TZ mtujuze ni nani hao wamiliki...
Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja akiwa na viongozi wa Tanesco leo hii amesema serikali imekubali kuilipa Dowans holding SA (Costa Rica) kiasi cha dola 65, 812,630. Kinachusubiriwa sasa...
kwa haya yanayotokea ni kwamba watu wa northern Tanzania hadi Mbeya huko na Iringa washafumbuka machO na hawataki tena kuibiwa na kudharauliwa kama watumwa ila watu wa pwani naona wameridhika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.