Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wilaya za Kahama na Bukombe mkoani Shinyanga ndizo wilaya vinara wa matukio mballimbali ya uhalifu yakiwemo matukio ya ujambazi na unyang’anyi wa kutumia silaha. Kamanda wa Polisi mkoani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sikuwahi kutegemea katika maisha yangu kama babu yangu alikuwa anaona mbali kiasi hiki. nakumbuka ilikuwa mwaka 90 wakati aliponiambia kuwa watanzania. ni waerevu sana lakini wa kijinga. Na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nimejaribu kuitafafuta bila mafanikio nisaidieni jamani!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu mabibi na mabwana wana JF, nilikuwa mikoani kwa takriban wk3, nimeona mambo mengi ambayo yanahitaji kujadiliwa nikikaa sawa nitatoa moja moja. Good day.
0 Reactions
1 Replies
838 Views
Ndugu zangu wanaJF, Nimehabarishwa na rafiki yangu mmoja anayeishi Mbezi ya Kimara kwamba wananchi wanahaha kutafuta maji baada ya DAWASCO kuamua kukata huduma ya maji kwa wafanyabiashara...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mkapa aenda kusimamia kura za maoni Sudan Na Andrew Ignas RAISI Mstaafu wa awamu ya tatu, Bw. Benjamini Mkapa amewataka Watanzania kumuombea aweze kusimamia upigaji kura za maoni Januari...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda kuunga mkono mgomo wa kupandisha gharama za umeme tanzania. Sababu zangu ni hizi: kupanda kwa umeme kuna athari kwa makundi yeto, (wakulima, wafanyakazi, wenye kutumia umeme na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tumeshuhudia siri mbalimbali zilizofichuliwa na mtandao wa WikiLeaks kama ile inayohusu kashfa ya mkurugenzi wa PCCB na sasa mkurugenzi wa ATC,tunaomba wizara ya habari ya nchi yetu itoe tamko...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Source: Mwananchi Chatu wa mila asababisha hofu kijijini Monday, 03 January 2011 19:58 Joseph Lyimo, Kiteto WAKAZI wa Kitongoji cha Kazaroho, Kijiji cha Matui, wilayani Kiteto, mkoani Manyara...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wananchi wanapokuwa na msimamo serikali husalimu amri. Bolivia's Morales drops planned fuel prices hike Bolivia's army had begun selling bread in response to a strike by bakers Bolivian...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakati serikali ikikiri kuwa kuna ubungufu wa walimu nchini, walimu waliohitimu stashahada na shahada mwaka jana mwezi 5 na 6 bado hawajapatiwa ajira zao,kwa kawaida uchukua miezi miwili hadi...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
What is Cheka time activation procedure? Award: Cheka 200: minutes 15: Tarrifs: 200: Days: 1: Start time: Anytime, Applicable time band:02:00 am-04:59pm, 10:00 pm-01:59am Applicable days: Mon -...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana jioni mida ya saa moja na nusu hivi palikuwa balaa na foleni kubwa mtaa ule wa tip top baada ya wananchi na wapita kujaa barabarani na kushangilia kile kilichokuwa kinatokea katika moja ya...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Mahabusu waliovua nguo kushtakiwa Na Cresensia Kapinga, Songea JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linatarajia kuwafikisha mahakamani mahabusu 23 wanaokabiliwa na kesi za mauaji na unyang’anyi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Daniel Mjema, Moshi WAFANYAKAZI kadhaa wa Benki ya CRDB Limited matawi ya Vijana Jijini Dar es Salaam na Marangu mkoani Kilimanjaro, wanashikiliwa polisi kutokana na wizi wa Sh400 milioni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ndugu, my sisters and brother as we all know Science and Technology is the source of incramental change, alot of money have been used to bring in the optic fibre claiming that it would offers...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tunateseka sana na hawa madalali jamani kwa nini mmiliki wa nyumba asiwe anakwenda kutoa tangazo kuwa anapangisha kuliko kukabidhi hawa watu wanaotaka pesa zetu uku wakiwa wamekaa chini ya miti...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Je ni kweli kuna watu wana bahati kuliko wengine au ni kwamba kuna watu wanajua kuona opportunies kuliko wengine na kuzifanyia kazi? Je is it being at the right place at right time, au kila mtu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mimi ni shabki mkubwa wa huyu jamaa Fred fidelis au maarufu kama Fredwaa aliyekua mtangazaj wa RFA je mbona cmckii cku hizi?ana matatzo gana?mwenye habari kamili a2julishe tafadhari
0 Reactions
0 Replies
2K Views
A decomposed body of a 25-year-old Tanzanian student was found in his flat at Alwal area here this morning and police suspect that the student might have committed suicide. According to Alwal...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom