Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
majuzi ilitokea ajali tegeta ambako fiati linalobeba cement kufeli brak na kuvamia makazi ya wafanya biashara nakusababisha ajali iliyogonga gari la mfanyabiashara huyo na ikawa kinga ya lile roli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunamshukuru Mungu tumejaliwa kuuona mwaka mpya 2011. Tumwombe Mungu atujalie uzima wa mwili na roho na mafanikio mema kwa kila mwanajf na ndugu jamaa na marafiki zetu. Pia huu uwe mwaka mwingine...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Akiwa ziarani mkoani Rukwa waziri mkuu amekemea tabia za halmashahuri nchini kuchelewesha malipo ya mishahara na madai mengine ya walimu.Kwakweli taaluma ya ualimu inakatisha tamaa.Je ni kwanini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani hii nchi kweli ni umasikini wa nchi au? je hii ndio ilivyo sehemu nyingi au? na bara? Celebrating Bongo Films, Bongo Sounds, Music and Performances! From Friday 31st Dec 2010 to 2nd...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kanisa la tag mwanza , liloko nyegezi mwanza linaloongozwa na mchungaji mbuke, leo wamefanya ibada ya kuteketeza pesa kwa moto kwa madai ya kua bwana atasikiliza maombi yao. Waumini wengi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Napenda kuchukua fursa hii, kutangaza nia ya kuandaa harambee ya kuchangia maendeleo katika jimbo la kilombero, Jimbo hili kwa muda mrefu limekuwa na bahati mbaya ya kupata viongozi ambao wana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hello g.t, Huu ni mwezi wa tano sasa umepita, mpangaji wangu hataki kunilipa,nimempa notice, lakini bado anaendelea kukaa,nimejaribu kufatilia sheria inasemaje, kuna watu wameniambia niende...
0 Reactions
23 Replies
11K Views
mwanasheria mkuu wa serikari alikataa katiba mpya, waziri wa sheria nae alikataa katiba mpya yeye amesema ataunda tume ili kufanikisha suala hilo. Je, huu ni usanii au nikweli alichokihutubia?.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rebecca Sedille died December 21 from a gunshot wound to the head Her husband, Arthur Sedille, says the shooting was an accident Affidavit: Arthur Sedille often held a gun to his wife's head...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mnyika awaondoa hofu wananchi na Andrew Chale MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amewaondoa hofu wakazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bilal ataka mafisadi wafichuliwe Imeandikwa na Anastazia Anyimike; Tarehe: 1st January 2011 @ 23:55 Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal (kushoto) akipokewa na Askofu Godfrey Malassy...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Most leaders submit wealth declaration forms-source By Dominic Nkolimwa 1st January 2011...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, wote tumesikia na au kuona kile Jk anachotaka kuunda tume nyingine chini ya ikulu ili kushughulikia suala la katiba mpya kitu ambacho ni kiini macho kwani katiba hiyo itakuwa ya manufaa ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wenye mabasi wataka nauli zipande Send to a friend Saturday, 01 January 2011 11:39 Burhani Yakub,Tanga UMOJA wa Wamiliki wa Mabasi wa Mkoa wa Tanga (Taboa) na Muungano wa Wamiliki wa Dadadla...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
By SUNDAY NEWS Reporter, 1st January 2011 @ 22:00, Total Comments: 0, Hits: 109 FORMER ministers and other senior officials in the Ministry of Tourism and Natural Resources have been implicated...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kushambuliwa na kuuawa waumini katika nyumba za ibada kwa mabomu na vikundi vya kiislamu vyenye misimamo mikali si vya kuvumilia Tena .wameshambulia wakristo wa Iraki wakauwawa siku...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Send to a friend Claud Mshana UZOEFU na uwezo mdogo wa Mawakili na Wanasheria wa Serikali katika kuangalia mikataba ya kimataifa umegundulika kuwa ndio unaoifanya Tanzania kuingia katika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu mmeona hiyo, this jelly fish is able to reverse it's existence The world's only immortal animal | Yahoo! Green
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Harvey Jones, 0:00, Thursday 16 December 2010 It will soon be the shortest, darkest day of the year, and the economic mood is also pretty black. Everybody is fretting about the eurozone...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ngoma mpya ndo ishaanza...Umeme bei juu hivyo vitu kibaoo vitapanda bei!!!!Mkate bei itakuwa kama Zimbabwe
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Back
Top Bottom