Leo ni tarehe 31 Desemba 2010. Wengi hudhani hii ni tarehe tu kama zingine lakini siku hazifanani jamani. Kila tarehe zina maana yake na sababu zake katika kila mwaka.
Kwa kifupi mambo yafuatayo...
Tajiri nambari moja duniani atua Arusha
Awasili uwanjani KIA na ndege nne binafsi
Yuko na wafanyabiashara wakubwa hamsini
Pesa yake ni bajeti ya Tanzania mara nane
Na Said Njuki, Arusha...
Kweli maisha bora kwa kila mtanzania..na kila siku hawa vijana wanakuja na
njia mpya ya kuwezesha kuokoa maisha yao na familia.....
majuzi asbh kuna mtangazaji mmoja akawa anaelezea watanzania...
Wandugu naomba kujua kama ninaweza kupata master plan map ya jiji la Dar es Salaam kwenye mtandao. Mwenye nayo au kujua website gani ninaweza kuipata, tafadhali naomba anisaidie. Nimegoogle lakini...
MTOTO Twaha Masoud, mwenye umri wa miezi mitano, ambaye alipotea kwa njia ya kuibwa ameokotwa akiwa ndani ya boksi lililotupwa uchochoroni karibu na nyumba aliyokuwa akiishi na wazazi wake akiwa...
Mgonjwa kafanyiwa upasuaji, mkasi ukasahaulika mwilini. Taarifa zinasema mgonjwa amefariki. Mwaka juzi mwinine alipasuliwa kichwa badala ya mguu the same hospital! Inasikitisha sana. Najiuliza...
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imesema inaendelea kufuatilia kwa kina kubaini ukweli wa madai ya ndugu wa marehemu Scolastica Rwambo (43), ambaye alifanyiwa upasuaji hospitalini hapo na mkasi...
Babu mwanablogu mzee wa nchini Taiwan mwenye umri wa miaka 83 amemuua mkewe mwenye umri wa miaka 80 kwa kumshindilia bisibisi kichwani na kisha kuweka maelezo jinsi alivyofanya mauaji hayo kwenye...
Rais wa zamani wa Israel, Moshe Katsav amepatikana na hatia ya makosa mawili ya kubaka na kunyanyasa kijinsia na pia kutumia wadhifa wake kuzuia sheria kuonyesha makali yake na atahukumiwa kwenda...
MWANAMKE anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 25 na 30 amekufa baada ya kupasuka kichwa ikidaiwa kuwa huenda kifo chake kimetokana na kurushwa au kujirusha kutoka ghorofa ya kwanza ya jengo...
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imeingia katika mgogoro mkubwa na ndugu wa marehemu, Scolastika Rwambo, baada ya ndugu hao, kudai kuwa marehemu alikufa kutoka na kusahaulika tumboni mwake mkasi...
Japo hatujauona bado 2011 nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kutufikisha siku ya leo pia kuwapongeza wanaJF wote kufika siku ya leo, naomba muungane nami kumuomba Mwenyezi Mungu...
POLISI mkoani hapa inawashikilia watu wanne akiwemo aliyekuwa mfanyakazi wa Benki ya Afrika (BOA), waliokuwa kwenye jaribio la uporaji wa benki hiyo, iliyopo katika Mtaa wa Kaluta, jijini Mwanza...
Hii discussion nakumbuka alianzisha bujibuji kwamba kuna mtu kajitokeza kutoa lile kaburi lenye maajabu ktk njia ya iringa mbeya, taarifa ya habari ya tbc ni kwamba kaburi limeondolewa na hakuna...
Kwa walikuwa wanatazama 'Kipima Joto' ITV watakuwa wamemuona mzee mmoja hivi anasema yeye ni mstaafu.
Nikiangalia na kutafakari zile takwimu alizokuwa nazo na kuzi-present pale, naona napata...
Jana nilikuwa naangalia kuapishwa kwa Jaji Mkuu M.O. Chande kupitia TV. Kuna jambo nililioligundua kwamba ukiondoa kigezo cha mvi (ambazo hata EL anazo nyingi), jaji mkuu huyu mpya anaonekana kama...
Naandika ili wanajamii nikiwa na maswali tele kichwani ya nini cha kujivunia kwa mimi kuitwa mtanzania?nimeona nitumie jamvi hili ili ndugu muweze kunisaidia kujibu baadhi ya maswali...
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Mr II, amewataka wakazi jijini hapa kutomtenga mbunge wa zamani, Benson Mpesya kwa kuwa bado mchango wake wa mawazo unahitajika ili kufanikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.