moja ya matatizo sugu nchini Tanzaniz kama zao la rushwa ni kuuzwa kwa viwanja vya wazi. kadri siku zinavyosonga mbele, viwanja hivi vinaisha. Nahofia watoto wetu hawatakuta viwanja vya wazi vya...
Kwa muda mrefu kidogo Mwalimu Mkuu wa Watu ,MWANDISHI wa makala gazeti la Tanzania Daima ailandika kwa uchungu kuhusu alichokiita ufisadi alioufanya mzee Mengi katika kampuni ya uwekezaji ya...
Unravel the Secrets of your Psyche
Your view of these ink blots could reveal your deepest desires - and darkest fears.
By John Naish
Look at the third image on the right - do you see a strong...
Kama Tanzania hakuna ajira kwa nini wazungu wanakimbilia kuja Tanzania?kufanya kazi??wageni wote,mtaa wakongo vibanda vya maji,kandambili,yeboyebo ni wachina!!msururu mwanzo wamtaa hadi...
Accountancy giant Ernst & Young has been sued by New York's attorney general over its role in the collapse of Lehman Brothers during the financial crisis in 2008.
Andrew Cuomo claimed...
THE National Housing Corporation (NHC) plans to demolish its houses in prime areas and construct new modern structures beginning next year, as part of the firm's strategic development agenda...
TANESCO ni nini? EWURA ni nini? na Nchi yetu inapelekwa wapi na Taasisi hizi??
Ni hali ya Masikitiko makubwa, Uchumi unavurugika, Wananchi wanazidi kudidimia ktk dimbwi la kukosa huduma, ziwe za...
Nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu,niliandika makala yenye kichwa hiki,nilipowaonyesha baadhi ya rafiki zangu,walinitisha,wakanidharau,wakaniona mwehu,wakaona mtu ninayetaka kuhatarisha maisha...
Nimekutana na hii... hebu wadau toeni maoni yenu.
Nimekuwa nafuatilia jinsi desturi ya kuchangia na kufanya sherehe kubwa inavyozidi kushika kasi, ikipelekea ule wigo wa kuomba michango kupanuka...
WanaJF, Kwa vyovyote vile ni ukweli usiopingika kuwa Tansco inawacheza shere Wadanganyika kwa kuwatangazia hakuna mgao ilhali umeme kila siku unakatwa kwa zaidi ya masaa kumi mpaka kumi na mbili...
fanyakazi wa ndani raia wa Indonesia aliyekuwa akifanya kazi katika nyumba moja katika mji wa Madina nchini Saudi Arabia, amelazwa hospitali katika chumba cha watu mahututi baada ya kukatwa sehemu...
Kamanda wa polisi ametoa tangazo la kukataza mkutano wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kwa sababu zifuatazo. 1. Taarifa ya chama hicho kwa polisi imetolewa chini ya masaa 48 kwa...
Ukichunguza kwenye jamii yetu yaani ndugu, jamaa au marafiki utaona kuna maneno yanatumika sana mfano: "tushirikiane", "tusaidiane "tuwe na umoja", "tuchangiane", "tusiwe wachoyo", na mengine ya...
Vibaka wasio na utu hawakujaribu kunusuru maisha ya Abuu Semhando alipogongwa na gari, badala yake walimvua viatu na kumuibia simu na pesa zote alizokuwa nazo kwa wakati huo.
Wapenzi wa muziki wa...
NCHI ya Tanzania ni miongoni mwa mataifa ya Afrika yaliyotia saini Mkataba wa Elimu Kwa Wote (EFA) wa mwaka 1990.
Mkataba huu ulikuwa na takribani malengo sita ikiwemo kuhakikisha kuwa ifikapo...
Wadau hebu tujadili shirika la uma linaloongoza kwa ubovu. Mimi ninaona shirika linaloongoza ni TANESCO. Shirika hili achilia umuhimu wake kwa taifa limekuwa likitoa huduma mbaya miaka nenda miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.