Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Watoto watatu wa familia moja katika Kitongoji cha Ikanamalenge, Kijiji cha Muhanga, Tarafa ya Itigi, Wilaya ya Manyoni mkoani Singida, wamefariki dunia baada ya nyumba walimokuwa wakiishi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
:A S clock: YouTube - Delia Knox Walking- Bay of the Holy Spirit Revival Woman paralysed for 23 years stands and walks after she's 'cured by British spiritual healer' Last updated at 1:59 PM on...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza katika historia ya udaktari duniani, daktari mmoja nchini India ameweza kuzizuia hisia zake kwa kuitumbua na kuvichanganua viungo vya maiti ya baba yake wakati akiwafundisha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wajameni naomba kuipongeza Mbeya Region (Municipal) na Arusha Council kwa kuona umuhimu wa egovernance Na napenda kuuliza kwa nini municipals kama Moshi, council kama za Mwanza na kwingineko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwizi wa nchini Japan ambaye kutokana na kufanya wizi kwa mwaka alikuwa akijiingizia kiasi cha pesa sawa na Tsh. Milioni 540 ametoa kitabu cha kuelezea jinsi ya kuiba kwenye majumba ya watu bila...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MKURUGENZI wa zamani wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, ataendelea kutumikia kifungo cha miaka miwili jela kama alivyohukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanaume mmoja wa nchini Kongo ambaye alikuwa na matatizo ya mtindio wa ubongo, amembaka mama yake na kisha kumuua. Kwa mujibu wa taarifa ya polisi iliyotolewa katika mji wa Kasai, Jamhuri ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika kesi ya tatu ya kuteswa kwa wafanyakazi wa ndani katika nchi za kiarabu, mfanyakazi wa ndani nchini Jordan anapatiwa matibabu baada ya kulazimishwa kumeza misumari sita na bosi wake. Ndani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nguo za ndani za mitumba zitapigwa marufuku nchini Ghana kuanzia mwezi februari mwakani. Wapenzi wa viwalo vya ndani vilivyotumika majuu nchini Ghana wana miezi michache ya kununua viwalo vyao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MFANYABIASHARA wa nyama na mkazi wa Daraja Mbili jijini Arusha, Lucas Laiser anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35, amekutwa akining’inia katika bucha lake la nyama baada ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF, kipindi hiki cha sikukuu watu wanatembeleana sana majumbani. Ktk nyingi nimejionea kitu kimoja kikubwa. Utakuta nyumba ina mlango wa mbele, ambao kimsingi ukiingia hapo utaanza kuingia...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
UONGOZI wa juu wa Jeshi la Magereza nchini unakabiliwa na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha kupitia miradi yake ambapo sasa imebainika kuwa zaidi ya Sh bilioni mbili zimetumika katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wanaofuatilia siri zinazoendelea kufichuliwa na mtandao wa wikileaks hasa zikionesha ripoti zinazotumwa na mabalozi wa marekani waliopo katika nchi za kigeni kwa nchi yao,wataklubalina na mimi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Haya wakuu.....muda ushafika tukutane chini ya mikahawa na migomba na mringaringa......-ria mbeeee.........
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kwa mujibu wa radio one majambazi yapatayo saba yameteka kijiji cha Katunguru huko Sengerema kwa zaidi ya saa 3 bila ya upinzani kutoka kwa wananchi wala polisi waliokuwa kituoni kwao zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu salamu Nimepewa nyepesi kuwa Dar Express litokalo Ar kwenda Dar limewaka moto na kulazimu watu kuruka kwa kupitia madirishani. Mlioko huko tupeni habari kamili. We hope hakuna madhara...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Watu sita wamekufa kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Mbeya kwenda wilayani Makete kupinduka na hatimaye kuwaka moto. Tukio hilo lilitokea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NYIMBO za furaha na vigelegele vilivyosindikiza safari ya kwenda kuoa, vimegeuka vilio baada lori walilokuwa wakisafiria kupinduka na kusababisha vifo vya watu wanane papohapo, huku wengine 91...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Defence giant BAE Systems is due to be sentenced for failing to keep proper records of payments to an adviser in the east African country of Tanzania. Payments totalling about...
0 Reactions
2 Replies
844 Views
Basi la Dar Express linawaka moto hivi sasa huko Kitumbi abiria watokea madirishani.Na Lori laamguka na kufunga barabara mkoani Pwani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom