WAZIRI wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta jana alitoa kauli nyingine inayoweza kukitikisa chama chake cha CCM baada ya kueleza kuwa aliondolewa kwenye kinyang'anyiro cha kiti cha spika wa Bunge la...
BONDIA Emillian Patrick aliyekamatwa nchini Mauritius Juni, 2008 kwa tuhuma za kuingiza dawa ya kulevya aina ya heroin zenye thamani ya shilingi milioni 600 amerejea nchini kuungana na familia...
Nasema hivyo kwa sababu hivi karibuni waziri wa nishati Willium Ngeleja alitutangazia watanzania kuwa mgawo wa umeme umeisha nchi nzima labda pale tu penye tatizo la kiufundi. Lakini bado...
FARU mmoja kati ya watano waliopokewa na Rais Jakaya Kikwete kutoka nchini Afrika Kusini na kuingizwa kwenye mbuga ya wanyama ya Sengereti, ameuawa na majangili ambao wametoweka na pembe zake...
Mwili wa kijana mmoja ambae hajafahamika umekutwa chini ya lift katika jengo la Posta House.
Muda mchache uliopita wafanyakazi wa city wameweza kuutoa mwili huo ambao tayari ulishaanza...
Jaribuni bahati zenu
Mondi - Home
Austrian Student Scholarship
Mondi, Austria
What we offer:
Scholarships are awarded for basic university programs (university degree, bachelor programs)...
Wana JF
Nimekuwa nikisafiri na boat za Abiria Dar/ZNZ, utaratibu unaotumika katika kupakia na kushusha mizigo ya abiria si SHWARI.
Katika bandari zote mbili (DAR na ZNZ) kuna wachukuzi ambao...
Leo nimeangalia kwenye taarifa ya habari channel ten kuwa kanisa la Mch. Rwakatare wanataka kuanzisha Television yao itakayoitwa Ebenezer Tv. Naona kila kanisa liko ize kuanzisha Tv kila kukicha...
Hatimaye kile ambacho hakiaminiki kule Serengeti ni kua kati ya wale Faru watano tuliokabiziwa kutoka Afrika ya kusini Faru mmoja ameuwawa kule katika hifadhi ya wanyama mbuga ya Serengeti. Faru...
KAMA KUNA SIKU NIMESHUHUDIA MADUDU YA WAANDAAJI WA BSS BASI NI JANA YAANI HAWAKUWA REALISTIC KABISA WALISHINDWA HATA KUDHIBITI NDIMI ZAO. TUMEZOA KUMUOANA MAADAM SALIMA AKICHEMKA KUPITA WOTE...
Kampuni ya simu za mkononi ya tiGO ambayo imejizolea wateja wengi kuanzia mwaka 2005 baada ya kuanza kushusha garama za kupiga simu iko katika hali mbaya na huenda muda wowote ikafa na kuacha...
GrEaT tHinkErs,
Naomba tuzungukie majiji ya Afrika mashariki na tutuoe sifa kwa kila Jiji nimeyaorodhesha hapa chini.
Tanzania
DAR ES SALAAM
MWANZA
TANGA
MBEYA
ARUSHA
kenya
NAIROBI
MOMBASA...
Wandugu,
Naomba ufafanuzi wa jambo hili, je wabunge wa JMT hawana kinga ki sheria inapotokea kutoelewana na vyombo vya serikali na dola wakati wa kutimiza majukumu yao? yametokea juzi tu mbunge...
Wana JF,
Jana nilihudhuria tafrija ya uzinduzi wa Mfuko wa maendeleo ya watu wa Arusha(Arusha Development Foundation) kwa Ajiri ya kusomesha watoto waliopatwa na matatizo ya kujiunga kidato cha...
Polisi Moshi katika kashfa ya ujambazi Send to a friend Sunday, 19 December 2010 20:25 0diggsdigg
Daniel Mjema, Moshi
POLISI wa kikosi cha pikipiki mkoani Kilimanjaro ni mshiriki mkuu wa tukio...
Kampuni ya simu za mkononi ya tiGO ambayo imejizolea wateja wengi kuanzia mwaka 2005 baada ya kuanza kushusha garama za kupiga simu iko katika hali mbaya na huenda muda wowote ikafa na kuacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.