Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
WALIMU wakuu wa shule tatu za msingi za jijini Mwanza wamevuliwa nyadhifa hizo kutokana na kukiuka taratibu za usajili wa wanafunzi waliomaliza darasa la saba mwaka huu. Hatua hiyo ni moja ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani wanaJF, natoa wazo kuwepo kwa shindano la kumtafuta JF Star Search aka GREAT THINKER (GT) Mfano, labda atafutwe kila mwaka au kila baada ya miezi 6. Na vigezo viwe kama - Katika kipindi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakikabiliwa na shitaka la unyang’anyi wa kutumia silaha. Washitakiwa hao ni Seif Jumanne (20), mkazi wa Mburahati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAZEE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Kigoma, wametaka kurejeshwa kwa amani ndani ya chama hicho baada ya kubaini kuwa, hali kwa sasa si shwari na kusisitiza ni dhahiri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkakati wake wa kwanza ni kuivuruga UVCCM Akifanikiwa ataanza kupanga safu uongozi Wazazi, UWT Awaita Dar kimya kimya wenyeviti wa mikoa wa UVCCM WAZIRI katika Baraza la Mawaziri la sasa ambaye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mara nyingi huwa jambo hili linanishangaza sikukuu za kidini hasa za kikristo utakuta ofis za serikal(wizara,shule even hospitals)kupamba maua na wakati mwengine na kwaya zinapigwa.Na hiyo...
0 Reactions
95 Replies
9K Views
ok.test
0 Reactions
2 Replies
955 Views
KAMA Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ina nguvu kweli ya kutoa uongozi wa chama kama ilivyofanya na kuchukua misimamo ya masuala mbalimbali hivi juzi ninaamini inahitaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakika nchi hii ya JK ina mambo mengi kutoka ndani ya serikali yake.Mamlaka ya hali ya hewa ni wakala wa serikali kama zilivyo TRA,TCAA,TAA na nyingine nyingi tu.Kwa kawaida serikali au wakala...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Utajisikiaje ukiwa umeongozana na mdogo wako uliyemzidi miaka kama 8 hivi, mnaenda sehem mnakutana na watu tofauti lakin cha ajabu wakimuona dogo lako wanamwamkia SHIKAMOO Bro, anapewa na kiti...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mnigeria aliyelowea nchini Poland miaka 17 iliyopita na kuoa mwanamke wa Poland, amekuwa mbunge wa kwanza mweusi katika historia ya masuala ya siasa nchini Poland. John Abraham Godson, alizaliwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dogo, Tambua kuwa hukuwa na hati miliki ya Ubunge ambao ulikupa Uwaziri. Mara tu baada ya Kubwagwa kwa sauti ya UMMA unapaswa kutambua kuwa maana yake HAUSTAHILI hata kwa sekunde kuendelea...
0 Reactions
45 Replies
9K Views
ARDHI University will on Saturday mark another milestone in the country’s education profile when new six degrees in different science disciplines will be awarded. The Vice Chancellor of Ardhi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
DOTTO Manyinyi (40), mkazi wa Kijiji cha Kitalamanka, Kata ya Sazira wilayani hapa amekufa kwa kujinyonga baada ya kugundua kuwa ana ukimwi. Habari zilizopatikana kutoka ndani ya Jeshi la...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Its ma graduation ceremony at Uhuru stadium.
0 Reactions
0 Replies
975 Views
WA T U k u m i w a n a o s a d i k i w a kuwa majambazi wamemuua kwa risasi mfanyabiashara mmoja na kujeruhi wengine kadhaa katika kata ya Buselesele wilayani Chato, mkoani Kagera kisha kuwapora...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina wiki tatu sasa sijapata HAJA KUBWA. Kula nakula vizuri lakini vitu havitoki Nikienda toilet kila nikilazimisha, KUBWA haitoki Nimekula mapapai hadi natoka kitambi lakini sinyi. Nifanyeje?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
BURIANI DK REMMY ONGALLA NILIKUWA NA PRESSHA ASBH YA LEO GAFLA NILIPOONA BURIANI NA PICHA YA MZEE WETU MAKASSY NIKASEMA MZEE NAE KAMFWTA MJOMBA REMMY AMA ..KABLA YA KUSOMA CHINI AHASANTE KWA...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu I need some help in converting MKV files into AVI urgently. Have tried to google lakini naona kunakuja solutions nyingi nyingi of which sielewi which is which na pia I am concerned na safety...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dakika kama tano zilizopita kuna tukio la kijambazi limetokea ambapo majambazi wamempiga risasi na kupora mtu pesa ambazo hazikujulikana. Ni hatari na eneo limezizima kwa muda sasa, huduma zote...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom