Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mpendwa mama tibaijuka salamu katika jina la BWANA WETU YESU KRISTO ALIE HAI...kwanza napenda kukupongeza kwa speed uliokuja nayo ingawa baadhi inaishiaga kuwa nguvu ya soda kwa uweza wa mwenyezi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa miaka nenda miaka rudi, serikali imekuwa inapuuzia kukusanya kwa ukamilifu mapato yake, ikiwa ni pamoja na kutotilia maanani ufuatiliaji wa marejesho ya madeni yake. Kwa mfano, wadadisi wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ILE tabia ama tunaweza kuiita kuwa ni hulka iliyozoeleka kila baada ya uchaguzi mkuu unapokaribia na wakati wa mchakato mzima wa kampeni haishangazi kuwaona wagombea wakijisahau na kutoa shikamoo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana JF naomba mnisaidie. naogopa ninapomkuta mwanangu wa miaka mitano akiwa na wenzake wanaimba wimbo wa alamba, alamba tena, kisha wanaoneshana kidole mithili ya kulamba. Kimaadili sijui huu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari kutoka Muleba mkoani Kagera zinasema kuwa basi la abiria la kampuni ya ALLYS lililokuwa likisafiri kutoka Bukoba kwenda Dar-es -salaam limeungua moto na kuteketea kabisa. Inasemekana tatizo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani draw ndio hiyo hapo kazi kwenu hahahaaaa arsenal jamani poleni Roma v Shakhtar Donetsk AC Milan v Tottenham Hotspur Valencia v Schalke Inter Milan v Bayern Munich Lyon v Real Madrid...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tarehe 9/12/2010 Musiba alikula chakula katika hoteli ya MERR'Y HOTEL iliyopo Opposite na Zanzibar Hotel karibu na ofisi za channel Ten. Baada ya chakula alijisikia tumbo linaanza kuuma na...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Shinyanga, Singida na Tabora, je kuna nini mpaka theluthi mbili ya watoto wa shule za msingi wameshindwa kufaulu mtihani wa darasa la saba? Je Wabunge kutoka mikoa hii, mnatuambia nini sisi...
0 Reactions
19 Replies
73K Views
Natumaini hamjambo wana JF naomba wahusika haswa Waziri wetu mpendwa wa Ujenzi Magufuli mtusaidie sisi watumiaji wa barabara ya Mbezi tank Bovu hadi Goba-Kimara. Kuna bango la TANROADS limewekwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Swali la msingi kwa nini wagogo ndo ombaomba??wakati rasli mali wanazo??siri ya urembo nini??
0 Reactions
10 Replies
3K Views
katika siku mbili zilizopita, kuna tatizo ambalo limenitokea mimi na wateja wengine wa matandao wa tigo, inatokea unampigia simu mtu anapokea mtu mwingine ambae siyo yule uliyempigia (sio wrong...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Adelline, dada aliyefukuzwa kazi baada ya kuugua kidole tumbo ameshinda kesi yake dhidi ya Mzungu aliyejifanya yuko juu ya sheria. Adeline alinyimwa haki katika mahama ya wilaya, lakini...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Jamani kwa walioangalia taarifa ya habari leo asbh itv kuna diwani mmoja ameonyeshwa live akitangaza kujivua udiwani kwa kusema amejitahdi kwa muda mchache akiarajia msaada toka serikalini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Waziri apokewa na mgogoro mzito TRL Na Rehema Mohamed. WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wamemtaka Waziri wa Miundombinu Bw. Omary Nundu kutoa ufafanuzi kuhusu Menejimenti ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hatimaye ule wimbo wa Dr. Remmy Ongala uliopigwa marufuku miaka kadhaa iliyopita umerushwa hewani leo hii na Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast.................. Naomba mwenye lylics...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi sasa bus la allys linaungua lilikuwa likitoka bukoba kwenda dar,limeungua lilip[ofika wilaya ya Muleba mkoani KAGERA. Taarifa za awali ni kuwa hakuna aliyekufa ingawa kuna majeruhi kadhaa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kutokana na kusoma habari nyingi za Tido Mhando kufika ukomo katika chombo cha habari cha TBC nimeona mengi sana wapo wengi waliomsifu kwa jitihada zake na utendaji wake mzuri katika kipindi chake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
POLISI mkoani Mwanza Desemba 15 ilimshikilia kwa mahojiano Mbunge wa Nyamagana, Ezekiah Wenje (Chadema), kutokana na madai ya kutoa maneno ya uchochezi wakati alipohutubia wananchi hivi karibuni...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Rules set to outlaw annual house rent Sunday, 12 December 2010 10:38 digg living in an estate such as this is a far-fetched dream for many warking-class people,even in cities like Dar es...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom