Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
:angry:Tusaidieni wataalamu wa mipango miji na wahandisi, je ilikuwa sawa EPZ (EXPORT PROCESSING ZONES) kujengwa pale external/jirani na Mabibo hostel? km kweli tunampango wa kweli kupunguza road...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
Neno la uzima 2010 nawajua walio wangu..haya ni maneno kutoka kwa bwana yesu je wewe uko wapi ...wapendwa katika bwana nawapongeza wote mlioshiriki katika mijadala mbali mbali jamvini kwa wale...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani naombeni msaada wa mawazo. Nimefanya kazi kwa muda mrefu na mwajiri wangu huyu wa sasa. Hivi karibuni nikapata wazo la kwenda nssf kuangalia michango ambayo kwa mujibu wa salary slip...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
POLISI jijini Dar es Salaam inawashikilia watu watatu akiwemo mmoja ambaye alihukumiwa kifungo cha miaka 60 jela, wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliopora silaha ya askari. Kamanda wa Polisi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
KATIKA hali yakushangaza jana washitakiwa watatu katika kesi ya unyanga’nyi wa kutumia silaha, wamefanya kioja cha kufungia mwaka kwa kuchukua maamuzi ya kuvua nguo kupinga hukumu iliyotolewa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KAMPUNI ya Majembe Auction Mart imepewa jukumu la kusimamia kuhakiki kumbi zilizopo jijini Dar es Salaam, ambazo hazijasajiliwa zitafungiwa. Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) lilitoa tamko hilo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mengine yanatembelewa na watu wengi sana, wanachangia na kutoa hoja mbalimbali, mengine hayatembelewi na hayachangiwe. Je wewe unapenda kutembelea na kuchangia majukwaa yepi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Uganda. Kwa Museveni. Dah! Maza anaitwa Faridah. Mumewe yuko selo. Omar Awadh Omar Ishu ya mabomu ya kombe la dunia. Mumewe ni 'mwanaharakati' Mwanaharakati wa al-Qaeda...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
NOVEMBA 5 mwaka huu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilimtangaza Dk Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mshindi wa kiti cha urais katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 31. Kutangazwa huko kuliashiria...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NILIPOKUWA namsikiliza na kumwangalia Rais Jakaya Kikwete akilihutubia bunge mara baada ya kushika wadhifa huo, Novemba 18, mwaka huu sikutegemea lolote la ajabu lakini ghafla utulivu wangu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
UKURASA mpya umeandikwa katika vyombo vya aamuzi kwa ongezeko la vijana wawakilishi, tofauti na chaguzi za awali. Kupata wabunge vijana wa kuchaguliwa takribani 15 (CCM (4), CHADEMA (8)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ALHAMISI, Desemba 9, mwaka huu, Watanganyika tuliadhimisha kumbukumbu ya miaka 49 ya uhuru wa nchi yetu Tanganyika ambayo kwa sasa haipo katika ramani ya uso wa dunia. Zilikuwa sherehe za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Msingi wa mgawanyiko wa udini Tanzania ulijengwa kwenye ilani ya CCM mwaka 2005? chairman wa CCM asitafute mchawi wa chanzo cha mgawanyiko wa udini Tanzania. sijui km nipo sahihi wana jamii nisaidieni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kumbe laptop tunazotangaziwa nikanyabwoya!!unatakiwa ukafungue akaunti katika benk ya ABC Bank then upeleke mshahara wako uwe unapita pale ili wakukate makato ya kompyuta utakayokuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo waziri wa uvuvi na mifugo alitembelea soko la samaki la kimataifa la ferry maeneo ya Kigamboni na kuwalalamikia wakaanga samaki kuwa harufu na moshi wa samaki unamkera sana maana unawanyima...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Issue No 008, Dec 2010 Dear Iteitei Lya Kitee, Welcome once again to this edition of our electronic bulletin of the Tanzania Corruption Tracker System. In this edition, we carry a number of...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi mtu unapotoka ngazi ya junior membe hadi kufikiangazi ya juu kama JF SeniorExpert Member hauhitaki kujipongeza ikiwa ni pamoja na kupongezwa na wanaJF wengine? Maana nilichogundua ndani ya JF...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
MKAZI mmoja wa wilaya ya Nzega mkoani Tabora ameuawa na wananchi baada ya kuwakimbia polisi waliokuwa wamekwenda nyumbani kwake kumpekua. Upekuzi huo ulikuwa unafanywa baada ya kuwapo kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwanzoni mwa mwaka huu, Mtabiri Maarufu Duniani, Africa Mashariki na kati,kusini mwa janqwa la sahara na America Shekh yahaya Husein aliwatabiria laivu wasanii wa original komedi ya tbc1 kuwa...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Chinese customs officials in Shenzhen have caught 14 housewives trying to smuggle 88 iPads and 340 mobile phones from Hong Kong into China, worth around US$143,000. One of the women had 85...
0 Reactions
0 Replies
852 Views
Back
Top Bottom