Kwa heshima na taadhima naomba kutumia nafasi hii kutoa shukrani zangu za pekee kwa JF members wa Arusha kwa ukarimu wao. Nimefarijika sana kukutana ana kwa ana na watu ambao pengine sikuwahi...
Happy Lazaro, Arusha
KATIBU wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) aliyetauliwa na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba, Abdulkareem Jonjo, amehukumiwa kifungo cha siku...
POLISI Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya, imefanikiwa kuokoa mifugo kadhaa iliyokuwa imeibwa katika kaya za Daudi Wankuru na Marwa Mihinda wanaoishi Nyakarima kata ya Ganyange, mkoani Mara.
Polisi...
MARA nyingi tumekuwa tukishuhudia baadhi ya wafanyakazi wa kampuni au viwanda wakiingia katika migomo na migogoro kutokana na madai ya kutaka kuboreshewa haki zao mishahara ikiwemo.
Migomo hiyo...
Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema amesema kamwe hatakubali kuona mwanafunzi aliyefaulu darasa la saba anashindwa kwenda shule ya sekondari kutokana na kukosa ada.
Lema amesema atahakikisha...
Rais wa rwanda mh Kagame ameanza kutekeleza lile swali waliokuwa wakijiuliza wakati akijibu kuhuusu afya za vijana wake na maendeleo ya ukimwi..akiongea kama utani mh rais amesema amefanya...
VIGOGO kadhaa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) wametajwa kuingilia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), MwanaHALISI limegundua.
Taarifa zilizopatikana kutoka ndani ya idara hiyo...
Waziri wa Nchi ofisi ya rais na utawala mbovu, Mathias Chikawe amedhibitisha wazi kuwa viongozi wetu ni wezi na waongo wakubwa. Chanzo, Raia Mwema tarehe 8, Dec
Tumeona makampuni ya simu kubadili majina kwa mfano airtel ilikuwa celtel ikaja zain kisha sasa tuko na airtel. maneno mengi mitaani yanadai ni kukwepa kodi. je ni kweli? na kama ni kweli inamaana...
Je kuna Mtanzania au mtu yeyote katika dunia hii ama iliyopita anayependa UMASIKINI na MARADHI au afya mgogoro na alosto?
Au kuna Mtanzania asiyependa leo hii kutajirika na kuwa na afya njema...
Wanajamii ni kweli CCM ilitakiwa kufutwa kwa mujibu wa katika ya jamhuri wa Muungano wa Tanzania ibara ya Ibara ya 20-(2) Bila kujali masharti ya ibara ndogo ya (1), haitakuwa halali kwa chombo...
UPATIKANAJI wa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchinio, bado ni tete na jana wanafunzi kadhaa walivamia ofisi za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi jijini Dar es Salaam wakilalamikia...
Ndugu zangu wana JF, nimeisoma habari ya mama aliyejifungua watoto watano kwa mara moja mwili wote ukasisimuka nikajua kweli hayo ni mapenzi ya Mungu lakini zaidi sana mimi binafsi ningetamani...
Kumezuka system ya Bodi kuendelea kufanya kazi huku zinaisha muda wao..tumeona Bodi nyingi zilizoua makampuni yetu zimekuwa zikiachwa kuendelea bila kujulikana nini kinaendelea..hivi karibuni...
JF inajitanabaisha ya kwamba "It is a home of great thinkers"..
Lakini hili limekuwa si kweli kutokana na ukweli kwamba, kuna watu wanatoa maoni, hoja na ushauri wa kipuuzi kabisa. Ingawa si...
Hivi, kati ya mambo yote Rais wetu hufanya na kutoa tuzo hatuna tuzo fulani ambazo tunaweza kuwapa wasanii wetu na kuwatambua kwa mchango wao katika kuendeleza na kudumisha utamaduni wetu? Watu...
Daniel Domscheit-Berg, who left the site after disagreements with its founder, plans to launch Openleaks in the coming months.
The technology, which can be embedded in any organisation's...
Kuna baadhi ya watu hupenda kufanya mambo ili kuwaudhi au kuwakirihi wengine kwa kujifurahisha nafsi zao. Watu hao hufanya kila mbinu kuhakikisha kama mtu wanaemkusudia kumkirihi anakosa haiba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.