Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
  • Poll Poll
Njia sahihi ya kutokomeza malaria ni (a) Kugawa chandarua kwa kila familia (b) Kuangamiza masalia yote ya mbu. Mbu wanaoneza malaria wako kila mahali na wanaumi hasa kwenye mikusanyiko ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
The length of a man's fingers can provide clues to his risk of prostate cancer, according to new research. A British Journal of Cancer study found men whose index finger was longer than their...
0 Reactions
2 Replies
943 Views
Siku za karibuni imesemekana kuwa kuna mbu wengi sana jijini Dar na hasa huko Muhimbili. Wakati huo kuna taasisi inayojishughulisha na kutokomeza malaria (mpango wa Taifa wa kutokomeza malaria)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hili joto linasababisha madhara sana kwa watoto na watu wazima. jamani tunakabili vipi hili joto la dar???
0 Reactions
66 Replies
8K Views
Baada ya watu 40 kupewa barua zao inasemekana kuna barua nyiningine 60 ziko mbioni..je voda awaitaji kweli hawa watu ama wameanza kuishiwa na kushindwa kuwalipa ama kuna ubadhirifu umepita na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
hii njia nimeitumia mara tatu na naona inalipa sana. 1)Kama kweli umekosa kubali kosa, omba msamaha (lazima atakataa na kudai pesa), mwambie akuandikie notification na utalipa hata kama iwe laki...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Leo tarehe 1 disemba 2010 ni siku maalumu iliyowekwa umoja mataifa kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ikiwa na malengo ya kuielimisha jamii juu ya janga hili zito la kimataifa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwana JF, hivi huu mwezi tunaouona angani unauhusiano gani na miezi 12 ya kalenda?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nawatakia kila la heri kwenye huu mwezi mpya ambao unaanza na siku ya ukimwi duniani. Please play safe sio krismas na mwaka mpya tu ila kila siku
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Salaam ndugu zangu, kuna utapeli umezuka kwenye huduma za benki hasa kwa wenye kutumia simu za mkononi kuhamisha au kupata huduma zozote za benki. Juzi nilikuwa NMB tawi la Morogoro road hapo Dar...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimepata habari kuwa mafuta ya ubuyu ni dawa ya kumfanya mtu aache ulevi. Aliyenipa habari hii pia hana maelezo kamili. Members, nawaomba mwenye kufahamu atujulishe yafuatayo: 1. Inapatikana...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kua habari zinazoendelea huko facebook kubomolewa kwa Nyumba ya Sanaa, Je kuna mtu anayefahamu suala hili kiundani atujuze, kama kama inabomolewa kweli ni hatua gani zinazochukuliwa na...
0 Reactions
80 Replies
10K Views
Wakubwa leo ni siku ya kuazimisha(kusikitika) UKIMWI Duniani na takwimu za WHO ni kuwa hadi sasa takribani watu milioni 20 wamekwiha poteza maisha kwa uongonjwa huo tangu 1981...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa WanaJF wote: Hawa watu wawili ndio waathirika wa Ukimwi ambao wameacha ujumbe wa Ukweli kuhusu AIDS: 1. Phil Bongoley Lutaaya : http://www.musicuganda.com/Philly%20Lutaaya.html 2. Nkosi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watanzania Wadaiwa Kushikwa na Heroin Japan Polisi wa Yokohama katika mkoa wa Kanagawa wametoa taarifa rasmi kuhusiana na taarifa za kukamatwa kwa watanzania na madawa ya kulevya . Wamesema kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mishahara ya watumishi halmashauri yasimamishwa Send to a friend Tuesday, 30 November 2010 20:49 0diggsdigg Mwanja Ibadi, Lindi UONGOZI wa Halmashauri...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hatma ya Mrema mikononi mwa Magufuli Na John Daniel HATMA ya Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Bw. Eprahim Mrema, sasa ipo mkononi mwa Waziri wa Ujenzi, Bw. John Magufuli...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SALA YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI Mungu Baba Yetu Katika siku hii ya UKIMWI Duniani tunakuja kwako na kila kitu kinacho tuponda ponda na kutusukuma Tunakuomba: Uwe pamoja na wanao na binti wote...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom