Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna workshop nzuri sana inaendelea kwa wiki mbili pale National Institute of Transport -Dar es salaam.Mabibo Kinondoni.Chini ya Coordinator Mzuri sana anaitwa Edger Telesphory.Hutachoka kusikia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya mpiganaji Jeri Muro kupata matatizo, kipindi hiki sasa hakina tija kabisa, kimekua ruined. Mkuu Jerry alitisha kwenye"ripoti Maalum ITV, na baada ya kuhamia TBC1 alianzisha kipindi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
MAREHEMU REDEMPTUS ANGELO (Picha kwa hisani ya blog ya Michuzi) Wafanyakazi wa Kampuni ya Media Soulutions LTD (chini ya IPP Media) wachapishaji na waendeshaji wa magazeti ya ThisDay na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna inventor nataka kununua ambayo huwa inatumika kuwasha umeme wakati unapokatika, Sasa nimeambiwa kuwa inauwezo wa kuwasha Tv yoyote isipokuwa ya plasma kwa kuwa inakula sana umeme, Naomba...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
I am just disturbed by the noises from new maisha club. I wonder if the owner is a human being at all. There was no consideration to the people living around the area. How hard was it to invest on...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nilikuwa naangalia kwenye tv ya ITV mchana huu jk akihutubia taifa huko msoma. -Amesema rushwa hata Yesu ilimshinda kuimaliza (matusi kwa wakristo) -Amesema mitume wa kuabudiwa ni wawili tu yaani...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1. Kwenye shida anakuwa mwema, mnyenyekevu,msikivu,mwenye moyo wa kutoa na hujichanganya na watu wa aina mbalimbali. 2. Akipanda daraja tu husahau wale waliomsaidia nyuma mfano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nafikiri dawa ya Ukimwi ikipatikana: Kuna baadhi ya NGOs za Kitaifa na Kimataifa zitakufa....na watu wengi watapoteza ajira Ma-handsome boys na ma-sister duh! waliokuwa wakinyooshewa vidole kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
http://www.guardian.co.uk/commentisfree/2010/jul/30/malaria-african-union-summit We must do better against malaria Following this week's African Union summit, leaders have a challenge ahead: to...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Council bans mini-skirts in crackdown on 'inappropriate' clothing in the office Council bosses have banned some women workers from wearing mini-skirts and could send them home if they flout...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Huvi majuzi nilinunua moderm ya Voda. Naitumia town fresh, iko poa. Shida ninapokuwa nje ya mji kidogo, mawasiliano hakuna. Je hii ni shida gani. Kuna yeyote anayepata shida hii? Nalazimika kurudi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kinachonishangaza hapa ni hii habari kuwa abiria wa ndege bado hawajaokolewa toka ndege ianguke! Huku Africa, ukiwa mzima shukuru Mungu wako sana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Guys, the African Athletics Meet has just concluded in Nairobi, Kenya. As usual Tanzanian athletes are returning home like tourists without a single medal to justify their presence there. What is...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
I felt my African fingers itch when I read Ayub Rioba and Peter Muthamia’s recent articles. Yes, ‘African fingers’, for that is how far one can go in defining things African! Well, let me...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Deleted.
0 Reactions
0 Replies
766 Views
YouTube - Mwizi ajifanya mzigo ili akombe fedha
0 Reactions
7 Replies
2K Views
KAZImobile inawapatia watu KAZI kwa kutumia simu za mkononi... Kujiunga ni Rahisi sana. Andika neno KAZI( acha nafasi) ikifuatiwa na aina ya kazi unayotafuta halafu utume kwenda 15522...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau.. naomba kufahamu mahala popte ambapo naweza pata santuri za Classical music... symphonies r the best... (Mozart, beethoven, Bach e.t.c)!! Natanguliza shukrani!!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hapa jf sometimes mtu anakuja na post akisema ana habari za uhakika kwa jambo fulani lakini baadae hizo habari zikiwa tofauti hatupati maelezo ya kutosha.... Mfano kuliwa na post zamani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari za kutwa, Jamani,nalilia mji wangu,mji ambao upo kando kando ya bahari ya hindi,mji ambao ulikuwa mjii mkuu wakati wa ukoloni wa ujerumani,mji ambao una kila neema.lakini najiuliza wapi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom