By SEBASTIAN MRINDOKO, 9th August 2010 @ 12:06
DAILY NEWS
THE outgoing management of the Tanzania Railway Limited (TRL) has been accused of duping the government and obtaining massive funds...
alipokuwa upinzani tambwe hizza aliwahi kutamka kuwa kama akirudi ccm basi alale na mama yake,kwa mila za kiafrika hilo ni tusi na laana kubwa,sasa tambwe yupo ccm ametokea upinzani,je tambwe...
Kenny EasterdaySunday, April 04, 2010 4:18 AM
Mwanaume wa nchini Marekani maarufu kama 'Half Man' ambaye maisha yake yote amekuwa akiishi akiwa na nusu ya mwili wake tu kuanzia kiunoni ametamba...
Nimekuwa nikijiuliza bila majibu kuhusu usahihi na ukweli wa takwimu zinazotolewa na taasisi zetu za umma. Nikiwa mdau katika soko la kuuza na kununua fedha za kigeni, nimeshindwa kuelewa ni vipi...
Wakubwa,
Mimi ni baba mtarajiwa ambapo mungu akijalia mwezi ujao basi na mimi naanza kuitwa baba au Dingi / Mshua kwa lugha za kisasa.
Kati ya mambo mengi niliyopanga kumfanyia mwanangu...
Hivi hatuwezi kujenga majengo marefu bila ya watu kufa?
Vifo vya ajabu kabisa, havielezeki.
Na kibaya zaidi ni kwamba wenye majengo yaani wanaona kama amekufa mbuzi tu.
Utasikia wanatoa rambirambi...
MAKALA HII ILITOKA KWENYE GAZETI LA RAI 2006
Binafsi nimethibitisha kumbe maandishi ya kweli yanaishi. Na waandishi makini japo watatoweka kimwili, kifikra wataendelea kusihi kupitia maandishi...
MMMMhhhhh jamani kwanza napenda kutoa pole kwa wale wote waliokumbwa na misiba mifululizo kwenye ofisi za tbc...tunaona misiba kila taarifa ya habari imenisibu kuuliza wana jukwaa hivi vifo ni...
Jamani wana jf nimetingwa nauza kiwanja na matofali kama 580, kiwanja kina ukubwa wa 25mx20m na ninauza kwa 2,800,000/=, location: kiwanja kipo kivule kitunda ukifika Banana unashuka then unapanda...
ni vyama vyenye wafuasi wengi,viongozi wenye weledi mzuri,ni wakati wa wanachama na viongozi wa vyama hivyo kuachana na kujiundia upinzani vyenyewe bali viunganishe nguvu zao kuiondoa ccm...
Ee bana eh! Nilikua nafuatilia mkutano wa mgombea urais wa jamhuri ya Tanzania kwa tiketi ya chadema, na macho yangu yakamwangukia sheikh mwaipopo akiwa amekaa kwenye viti vya wageni waalikwa...
Johannesburg:
Nelson Mandela may have fathered an illegitimate daughter during a brief affair with a woman he met in Cape Town in the 1940s, his foundation has admitted.
Mpho Pule spent...
Hebu angalia hii:bowl:
BIBLIA vs Mapokeo
Ukila Tunda Utakufa - Hufi utafanana na Mungu, tena roho italazwa mahari pema peponi
Sabato siku ya 7 (Jumamosi) - Dominica siku ya kwanza (Jumapili)...
Najua tutaendelea kulia kila siku kwa hii hali, tunaibiwa tunaibiwa lakini kupiga kelele hatuwezi kisa tunaogopa kupoteza nafasi zetu za kazi, au kupoteza vitu vyetu, au kufanyiwa umaafia. Lakini...
Wana JF kuna utapeli ambao kwa sasa umeenea maeneo ya kariakoo, najua wapo matapeli miaka yote ila nimeona niwatahadharishe wale ambao wanadhani hawapo. Juzi nilikuwa mtaa ule ambao vifaa vingi...
Nimisoma ktk Daily News ya leo..
TRA wamewapiga fine na ilipwe ndani ya siku 30, wamiliki wa kila lori la mafuta ambalo lilibeba mafuta yaliyochakachuliwa na kukamtwa Kigali-Rwanda!!! faini ni...
Msiba mkubwa ziwa Victoria..wanafunzi 18 wafa maji
WANAFUNZI 18 wa kijiji cha Lukumbi na nahodha wamekufa maji baada ya mtumbwi wao kuzama katika ziwa Viktoria.Wanafunzi hao ni pamoja na wa...
Wadau ningependa kuuliza na pia kujua, hivi haya makampuni ya simu hizi promoshen za magari wanazotoa huwa wanazingatia upatikanaji wa spea? sasa hivi vodacom wana hii promosheni ya mikoko aina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.