Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Napenda kujiendeleza kielimu,ingawa ni mtu mzima wa zaidi ya miaka 50( Elimu haina mwisho) My intention is to pursue a bachelor's degree in Commerce.I am a working man and for the last 20 years...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
CCM yasikitishwa Rais Jakaya kuhusishwa na ufisadi Mwandishi Wetu Daily News; Wednesday,March 12, 2008 @00:03 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa na kauli ya kumtuhumu Rais Jakaya...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Waheshimiwa Waungwana wa Jambo Forums, Napenda kujitokeza kwenu kutoa ushauri wangu wa jinsi ambavyo tunaweza kuanza kuitumia taasisi hii nyeti katika kuleta maendeleo na mabadiliko pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Richmond, EPA kuibukia Butiama Mwandishi Wetu Machi 12, 2008 Raia Mwema Azimio la Butiama kuitikisa CCM Wahusika wadaiwa kuanza kutoa rushwa UAMUZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupeleka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii ishu ingetokea bongo..would it make headlines kama USA? Nini ambacho viongozi wetu wajifunze?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mafisadi wafanye ufisadi wao! Halafu siri kali inaogopa kuwashughulikia eti kuna hatari kwamba nchi inaweza kulipuka! :confused: This does make sense at all! Both of you (Mwanyika and Mwema)...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MWANAMKE ni kiumbe wa jinsia ya watu wanaoonekana wazuri wa sura na maumbo, wenye maumbo laini na teketeke na waliojaa uoga mwingi na aibu tele. Sifa hizo za maumbile yake ni za kiasilia za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Changamkieni tender wkuu mlioko Seattle How far would you go to help wipe out one of the world's worst scourges? Seattle-area residents will soon be able to go all the way: allowing...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ccm nayo haiko nyuma kulaani ufisadi CCM: Mafisadi waanikwe, warudishe fedha *Yataka Rais Kikwete asisakamwe na wanasiasa *Yaonya dhidi ya EPA kutumika kuleta mfarakano Na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sell your story to Pwani News HOW can I contact Pwani News? The fastest way is to call our journalists on 0784 360204 (from outside the TZ dial +255784 36204). You don't need to worry...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya jamii za wavuvi, huyu bwana ni mvuvi na je angekua mitaa ya kwenu, m'ngemtenga ama vipi?Kweli ulimwengu wa musa ni mkubwa!!! Tazama link: http://www.eastafricayote.com/showthread.php?t=943
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MABADILIKO YA KWELI! UHURU WA KWELI! KONGAMANO! KONGAMANO! KONGAMANO! Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani,Wanawake wa CHADEMA wameandaa Kongamano Kubwa la kihistoria na la...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Tanzania ya Uwazi na Ukweli!!! Napata shida sana kuelewa kwa nini watanzania tunahangaika sana, kuzua na kubuni mambo ambayo ni haki ya kila mwananchi. Sijajua kwa nini taarifa za mafisadi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Praise be to the government Adam Lusekelo Daily News; Tuesday,March 11, 2008 @17:01 I WOULD like to greatly congratulate the government for succeeding where other governments in most of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kuwa pesa ni ya wananchi basi ni vyema hao mafisadi ili watambuliwe kuwa ni raia wema waombe msamaha kwa wananchi ikiwa ni pamoja na kurudisha pesa walizopata kidanganyifu. Bila hi9vyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Siku ya Jumamosi tarehe2 mwezi February mwaka huu majeshi ya uasi yalifika katika mji mkuu wa Chad N'Djamena wakiwa na maroli na silaha za nguvu. Wakiwa hapo palitokea vita kali kati yao na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani watanzania mimi ni mwanafunzi lakini naomba swali hili nisaidiwe jamani kulijibu.Ni kwa kipindi kirefu nimesikia migogoro ndani ya chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Chuo kiku cha dare s...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nigerian party picks new leader BBC News Online Some delegates say the former president holds too much sway The governing People's Democratic Party (PDP) in Nigeria has elected Vincent...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mnakumbuka JK anakikundi anachokiita wanamtandao ingawa kikundi hicho sio Rasmi lakini kinajulikana kipo, navingozi wa kikudi hicho ni JK mwenyewe,EL na Rostam Aziz(RA). sasa tunajua yaliyompata...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ZIMEPITA wiki kadhaa sasa tangu matukio muhimu yatokee kule Dodoma yaliyosababisha kutetemeka kwa wenye nguvu na kudondoka kwa walio mahiri. Matendo yale makuu yatakayobakia kusimuliwa kwenye...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…