Rejea Kashafa ya Richadmond dhidi ya Lowasa (Aliyekuwa Waziri Mkuu).
Is it my understanding kwamba Lowasa ameachia madaraka ya Uwaziri mkuu kwa sababu kashfa ya Richadmonds inamgusa yeye kaka...
How long before it's okay to stone your wife to death for talking to another man so long as you married her in a country that allows it?
Muslim husbands with more than one wife to get extra...
source:
1. The staff has developed guidelines for dealing with you and quietly passes them to new employees. "Never suggest that there might be another way of doing something," they might say...
Nimepata hii e-mail nadhani inatoka bungeni nimeona niipost hapa.
Mimi nasema,kama kweli atafanya anachokizungumza.Atanipa imani ila nitafanya hivyo tu baada kuona Watu wote waliohusishawa na...
Mheshimiwa Kikwete, hiyo nchi inayoitwa Tanzania imekuchagua wewe kwa sasa kuwa raisi wao na una kila mamlaka na nguvu ya kuamua na kuiongoza. Naomba nikukumbushe kuwa hauitaji kuomba ruhusa ya...
Ni kawaida yetu kutabiri nani anashika uongozi pindi mabadiliko yanapotokea, sasa tabirini nani atashika nafasi Waziri Mkuu, toa majina matatu na utaje vigezo/sifa zitakazofanya mtu huyo ashike...
Jitihada za CCM kujisafisha hazitafanikiwa ikiwa fisadi Mkapa hatawekwa kiti moto na kama kuna ushahidi kwamba alivunja sheria za nchi kujipatia mali kwa njia za haramu basi afikishwe mahakamani...
Siku ya jana imeingia katika kumbukumbu za serikali na maelfu ya wananchi wa Tz na wengine wenye uhusiano na Tz kwa namna moja ama nyingine.
Katika kuangalia angalia habari ya Lowassa nimekuja...
Hivi Ibrahimu msabaha katendewa haki kwa asilimia zote?
Maana amelalamika kuwa mfumo wa utendaji kazi wa serikali kwa ujumla wake ndio umemponza na ameomba uangaliwe upya siku za usoni
Kuna fununu kwamba Rais Kikwete anafikiria kuunda Serikali ya Mseto kwa kuwaingiza baadhi ya wapinzani ktk baraza la mawaziri akiwemo waziri mkuu!! lakini sijui kama katiba inaruhusu ingawaje ni...
Wana JF msiwe watu wa kukurupuka tuu na maneno. Kipimo cha uadilifu wa JK tutauona pale akiamua kufanya yafuatayo:
-KURECYCLE VIZEE VYA ZAMANI KWENYE BARAZA LAKE JIPYA
-KUMPA UWAZIRI MKUU...
I can not believe it, but peoples voices are now catching up in Tanzania. I am glad that some of CCM Wabunges have stepped up the plate and stood their ground against bullyiness of CCM leaders and...
Dada mwafrika wa kike napenda kukupongeza kwa kilio chako ulichokuwa unapeleka kwa JK, naona maono yako sasa yametimia. Sioni sababu za kuendela kuwa na baraza la mawiziri ambalo mwenyekiti wake...
Kila kukicha utasikia wananchi wenyehasira wamempiga/wapiga au hata kuwachoma Moto vibaka waliokuwa katika jaribio la kuiba/ au walioiba vitu kama simu, kuku n.k. vitu ambavyo hata katika sheria...
Natumaini kabisa hao walioitia nchi hasara ya mamilioni ya USD kupitia mikataba FAKE na RUSHWA ni WAUHAJI KABISA.........Shetani anawasubiri kwa mikono yote aliyonayo waende kuchochea huo moto...
Nimesoma hadithi hii kutoka mojawapo ya magazeti ya udaku ya bwana Shigongo; sina uhakikai kama ina ukweli wowote. Kama ni kweli basi serikali yetu ina miamba kweli kweli kuhusu mambo haya ya...
CCM imetimiza miaka 31 tangu kuanzishwa kwake. Pengine sherehe hizi mwaka huu ndio zitazokuwa za kimya kabisa kupita miaka mingine yote.
Hongera sana CCM
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.