Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Leo kwenye pitapita zangu nikakutana na huyu mwamba! Jina lake limenipotea ila nimepata kusikia watu wakimuita TANESCO wa Ziwa Tanganyika. Wanadai anachezesha shoti za umeme hatari! Je ni kweli...
0 Reactions
6 Replies
202 Views
Habari ndugu naomba kufahamu jibu la hili swali ambalo nimekuwa ninajiuliza siku nyingi sana. Mfano nimesimamishwa barabarani au kutembelewa gafla nyumbani na maafisa ukaguzi na wakatuhumu kwamba...
1 Reactions
3 Replies
115 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmound Thabit Kombo(Mb.) akiambatana na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi...
0 Reactions
1 Replies
69 Views
  • Redirect
WHEN BUILDING YOUR OWN HOUSE If you buy or own a plot of land that you want to build your house but you don't have any hope of getting Money to build it as soon as you should. Get a big snail...
1 Reactions
Replies
Views
Yawezekana unajuuliza kwa nini NEWFORCE ya kutokea Tunduma mara kwa mara inapata mzinga straight answer ni madereva wa IT. Unapokuwa main road ya kuelekea Tunduma utakutana na IT kibao zinatoka...
2 Reactions
11 Replies
530 Views
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema Serikali ya Jamhuri ya Muumhano wa Tanzania inalitambua na kuthamini mchango wa Walinzi wa Jadi (Sungusungu) na kuwataka pia kufanya kazi kwa...
0 Reactions
4 Replies
140 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Je, Binadamu Anaweza Kuwa Mtakatifu Utakatifu ni Nini Utakatifu ni ile hali ya kuwa safi mbele za Mungu, kumhofu yeye na kumuogopa yeye na kujitenga mbali na dhambi. Neno “Mtakatifu” lina maana...
0 Reactions
2 Replies
139 Views
Mamlaka ya usafiri nchini haijui idadi kamili ya dalada kila mkoa nchini. Pia haifahamu idadi ya mabasi ya yaendayo mikoani. Taasisi hii muhimu inapata fedha nyingi sana kutokana na fees na...
0 Reactions
1 Replies
93 Views
Wakuu, Kampuni ya Moab Minerals imethibitisha uwepo wa Uranium kwenye mashimo yote 51 ya uchimbaji yaliyofanyiwa majaribio katika mradi wake uliopo Manyoni. Uchunguzi wa awamu hii kutoka kwa...
5 Reactions
42 Replies
907 Views
3 Reactions
3 Replies
124 Views
Sasa hivi tunaona kuna ujenzi Bagamoyo Road, kipande cha Mwenge-Tegeta. Kama mwananchi nilikaa kipande hii muda mrefu napenda kuwatonya TANROADS kuwa MAKOSA YALE YALE ya kitaalam yanafanyika...
2 Reactions
15 Replies
565 Views
Wakuu, Kuna huyu mtumishi hapa kaandaa maombi kwa watumishi wa umma ili waweze "Kudumu kwenye nafasi zao" eti katikati ya vita. Tayari hapa ameshawaandaa kisaikolojia kuwa kazini kwako kuna...
1 Reactions
11 Replies
415 Views
Mfano : Matthew ( Mathayo) 10:34 imeandika "Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga." Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema hajaja kuleta amani bali...
2 Reactions
50 Replies
914 Views
Kuna jamaa nimeenda dukani kwake duka la Mpesa aniwekee sh 4100 ameniongezea sifuri moja! Imewahi kukutokea ukazidishiwa hela ulipoenda kutoa pesa? Ulichukua hatua gani?
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu? Ninaomba msada na muongozo kuhusu hili jambo. Mfano kuna account bank ambayo mhusika wake alishafiriki ila warithi wa marehemu wangependa account isifungwe na kisheria...
4 Reactions
95 Replies
9K Views
Barabara ya Tabata Chang’ombe ni barabara kongwe sana kiukweli inatia aibu sana zaidi ya miaka 30+ haina lami kabisa na wala mbunge wala viongozi hawaangaiki ikikaribia uchaguzi hapo wanafika...
0 Reactions
1 Replies
143 Views
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri, amelieleza Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kuwa kuelekea miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wilaya hiyo imefanikiwa kupata ofisi...
0 Reactions
1 Replies
111 Views
Wasalaam Tuliambiwa na waziri husika mradi wa Bonde la Mto msimbazi unaanza January 2025 Kwani tayari walikuwa wamesign mkataba na world bank. Lkn mpaka leo kimya Labda tuwaulize wahusika...
1 Reactions
0 Replies
84 Views
Back
Top Bottom