Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mtu anakuja kwako analia, kilio cha msibani. Anapiga magoti umkopeshe pesa. Unamkopesha kwa moyo safi kabisa. Anaondoka kwa shangwe utafikiri bwana arusi kaoa. Muda mliopatana wa kulipa deni...
11 Reactions
41 Replies
831 Views
Kanisa Katoliki ( Roman Catholic ) ndio kanisa la kale zaidi huku likishika historia nzima ya ukristo na likirekodi matukio mbalimbali tangu kuanza kwa ukristo hadi sasa... Katika ku rekodi...
1 Reactions
12 Replies
409 Views
Kuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa. Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za...
24 Reactions
148 Replies
29K Views
picha kwa hisani ya Masoud Kipanya,toka mtandaoni! 👉🏾Kwani toka lini bodaboda hasa katika jiji la Dar Es Salaam ,mkapata exceptions kwenye mataa na junction mbalimbali hasa taa za barabarani...
0 Reactions
5 Replies
210 Views
Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha. Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama...
14 Reactions
166 Replies
5K Views
𝗪𝗮𝗻𝗮𝘀𝗮𝘆𝗮𝗻𝘀𝗶 𝘄𝗮𝗺𝗲𝘁𝗮𝗯𝗶𝗿𝗶 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗦𝗮𝘆𝗮𝗿𝗶 𝗬𝗲𝘁𝘂 𝗛𝗲𝘄𝗮 𝘆𝗮 𝗼𝗸𝘀𝗶𝗷𝗲𝗻𝗶 𝗶𝗻𝗮𝗸𝗮𝗿𝗶𝗯𝗶𝗮 𝗸𝘂𝗶𝘀𝗵𝗮 Kuna utafiti umefanywa na chuo kikuu Cha Toho wakishirikiana na Wanasayansi toka Nasa wametabiri viwango vya Hewa ya...
2 Reactions
35 Replies
707 Views
Kama unayajua piga kimya. Kama huyajui haya hapa:- Mambo 7 muhimu kuhusu Aircraft Carrier ya Marekani: Idadi ya Waajiriwa – Kila aircraft carrier ya Marekani ina wastani wa 5,000 – 6,000...
17 Reactions
42 Replies
2K Views
Ilianza Bitcoin enzi hizo sarafu po chini sana watu na fursa wakaruka nayo... Sasa hivi sarafu haishikiki walioiwahi enzi hizo wanakula kuku kwa mrija. Ikaja binance nakumbuka 2017 late yake...
13 Reactions
264 Replies
5K Views
Ndugu wanajukwaa, nawasalimu kwa jina la Mungu baba muumba wa Dunia na Tanzania yetu na wake. Napenda kuwashirikisha kuwa inshallah katika umri wa miaka 62 ninampango wa kuanzisha chama tanzu...
0 Reactions
3 Replies
100 Views
Ni kama miezi kadhaa naona mtandao wa vodacom unazingua kwenye kupiga simu kawaida na internet. Huko kwenye internet ndiyo utakuta ina load mwaka hadi MB zinakata. Najiuliza hili tatizo ni...
2 Reactions
6 Replies
130 Views
Watu wengi hufunga TV ukutani kwa urefu wa kimo kikubwa sana zaidi ya mita Moja na ushee, yaani unakaa sebuleni utafika uko bar au lodge, kuangalia TV nimpaka uinue shingo juu au ulale kwenye mto...
7 Reactions
27 Replies
704 Views
NENO LA LEO ✓ Tendeni haki kwa wanyonge na walio chini yenu... ✓ Wasaidieni masikini na wenye uhitaji... ✓ Msijaribu kuchelewesha riziki za wenzenu... ✓ Walindeni watoto msiwadhuru wala...
1 Reactions
0 Replies
51 Views
Mfanyabiashara, Novita Shirima (49) na dereva, Justine Mbise (29) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi mkoani Kilimanjaro wakikabiliwa na mashtaka sita, ikiwemo kumiliki kemikali...
0 Reactions
10 Replies
319 Views
Kila mahali watu wana gombania dollar ya kimarekani , lakini cha kushangaza hanunui toothpick, simu, gari wala hata kahawa kutoka marekani. Vitu kama hajanunua China, basi atanunua Japan, la sivyo...
8 Reactions
210 Replies
23K Views
Wakuu, Hivi hii mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya kuna shida gani? Mbona kila siku maambukizi yako huku tu? Akiwa anazungumza hivi karibuni ambaye ni Naibu Waziri-Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera Bunge...
1 Reactions
4 Replies
290 Views
Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani Nzega kuwakamatwa Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu waliovamia eneo la Machimbo ya dhahabu ya kikundi cha Wanawake...
1 Reactions
3 Replies
175 Views
  • Redirect
Habari za Sasa hivi hope everyone is fine, Bhana eeh siku moja, nilikuwa naongea na rafiki yangu wa muda mrefu, Rasi. Nilijua kuwa alikuwa ameanza kufanya kazi online, lakini sikuwahi kuelewa...
4 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mwangwi wa sauti ya Wakabing'oko! SSP Christopher Bageni, atanyongwa hadi kufa! Ndivyo Mahakama ya Rufaa ilivyoamua. Hakika uamuzi wa leo ni wa mwisho katika mwenendo wa kesi yake. Hana pengine...
12 Reactions
Replies
Views
Anaitwa Nairobi fly, Anazalisha kemikali yenye sumu ambayo ikikutana na ngozi ya binadamu, basi ngozi inaungua na kuacha blisters. Hii kemikali inaitwa pederin. Unapomuua huyu mdudu wa...
5 Reactions
33 Replies
1K Views
Back
Top Bottom