Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi inatoa haki mbalimbali kwa mhusika wa taarifa binafsi ili kuhakikisha faragha na ulinzi wa taarifa zake. Haki hizi ni pamoja na: Kufahamishwa kuhusu...
1 Reactions
0 Replies
142 Views
Katika tukio la kushtua, vijana 132 wenye umri kati ya miaka 18 na 22 kutoka mikoa mbalimbali ya pembezoni mwa Tanzania wamekamatwa huko Mlandizi, Kibaha Vijijini mkoani Pwani, wakiwa...
9 Reactions
52 Replies
2K Views
HOSP ITALI ya Taifa ya Muhimbili imeweka mikakati kutoa huduma bora nchini na Afrika Mashariki kwa kujenga jengo la kisasa lenye ghorofa saba litakaloanza kujengwa mwezi huu. Jengo hilo...
5 Reactions
49 Replies
11K Views
Wakuu njooni tumalize utata, DStv Vs AzamTv unaenda na ipi kutokana na content unazopenda?
1 Reactions
6 Replies
203 Views
Yalishawahi kunikuta. Yaani hizi hospitali binafsi wakishagundua tu wewe au mtoto wako ana bima ya afya ya kueleweka, basi wanaanza kumbambikia magonjwa makubwa makubwa ya ajabu ajabu. Kuna...
13 Reactions
43 Replies
6K Views
Zab 69:12 SUV [12] Waketio langoni hunisema, Na nyimbo za walevi hunidhihaki. Kusemwa kupo, tena kama ulikuwa hujui ujue Leo, na nikuambie kwamba utasemwa sana, utasemwa na marafiki zako...
1 Reactions
0 Replies
82 Views
kama huna njia nyingne za kujipatia pesa hata ujifunge mkanda hutakaa hujenge had watoto wamalize shule
21 Reactions
116 Replies
3K Views
Wilaya ya Bunda maafisa utumishi na TSC wanawasumbua walimu waliojiendeleza na kuwa na sifa ya kubadili miundo yao katika ajira kama kutoka daraja la IIIA au IIIB kwenda IIIC. Mtumishi...
1 Reactions
0 Replies
72 Views
Dubai imekuwa maarufu kwa maendeleo yake ya haraka, biashara ya kimataifa, na vivutio vya utalii. Hata hivyo, kama ilivyo kwa miji mikubwa duniani, pia inakabiliwa na changamoto za uhalifu wa...
1 Reactions
4 Replies
269 Views
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Mhe. Dkt. Thomas Masanja amesema THBUB inatarajia kutoa elimu kuhusu haki za binadamu na misingi ya utawala bora kwa Wakazi na...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Umama umekuwa sana kwa machawa na mifumo mibovu sana inayopelekea hata CAG au idara nyingine kuonekana zimekosa kazi. Wasanii na chawa ndio wamekuwa watumishi wa Serikali na wawekezaji wa taifa...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
Kama waafrika, tujivunie sana tamaduni na maadili yetu, mambo yanayoendelea huko duniani kwingine yanastaajabisha. Mark Bryan ni Injinia, mume na baba wa watoto watatu. Anapenda kuvaa viatu...
4 Reactions
75 Replies
2K Views
Aman kwenu watumishi wa MUNGU Ni swali ambalo nauliza ? Je Tanzania hatuna mpaka na kongo hakuna mkoa ambao unapakana na Kongo? Asante SAYUNI BOY
2 Reactions
34 Replies
738 Views
Nimefurahishwa Sana na kusikia rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dr Samia Suluhu Hassan ni mtembeleaji mzuri wa jukwaa hili la JamiiForums na tunaamini atatusikia juu ya hiki kilio...
20 Reactions
126 Replies
7K Views
Mchungaji mwenye msimamo mkali inapokuja suala la kumtumikia Mungu aliye hai Rev. Moses Maghembe ameamua kujiondoa kuwa chini ya usimamizi wa kanisa la mahali pamoja laTanzania Assemblies of God...
28 Reactions
206 Replies
11K Views
Rafiki wa mtaani, shuleni, chuo, n.k. mlikuwa washikaji sanaaaa kujuliana hali kila siku, muda mwingi mpo wote, kushare siri, n.k. lakini leo mmebaki kuchunguliana view stutus, Halafu hata...
33 Reactions
153 Replies
5K Views
Habari wakuu, Naomba msaada kwa mtu ambaye yupo ulaya anisaidie niweze kufika huko, nipo tayari kufanya kazi yeyote ya halali, passport ninayo.
10 Reactions
84 Replies
3K Views
Haya ndio mapenzi bhana, Ayo ya kwenu mbwembwe tu🤣
6 Reactions
18 Replies
719 Views
Back
Top Bottom