Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Nikiri tu huyu sijui ni dada au mama anayeitwa Hamisa Mobetto nimemsikia muda mrefu sana ila sijawahi kujua anafanya shughuli/kazi hasa iliyompatia umaarufu mkubwa hivyo.
6 Reactions
59 Replies
1K Views
Salaam. Tukubaliane kuwa adamu na hawa/eva walikuwapo kuishi katikati ya bustani eden(nature) waliishi kwa muda mrefu na hatimae shetani alipewa mamlaka ya kuwajaribu na amefanikiwa. Nadharia ya...
2 Reactions
1 Replies
69 Views
Ni Kama utamaduni vile katika vilabu vya pombe za kienyeji utakuta nyimbo nyingi Kama siyo zote huwa Ni zile za ki Kongo Tena za zamani Sana zile za kina Pepe kale, Kanda bongoman n.k hii Ina...
7 Reactions
64 Replies
1K Views
1 Reactions
0 Replies
79 Views
Mgawanyiko wa vitabu vya biblia kadiri ya katekisimu ya komunio na kipaimara ya jimbo katoliki Moshi Anaujua mgawanyiko huo tafadhali atuwekee hapo
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Anonymous
Mamlaka ziangalie usafiri wa mabasi ya Jiji la Arusha kwenda Mbeya kwani mabasi yale ni machakavu hayafai kusafirisha abiria sehemu yoyote ndani ya nchi hii ukizingatia yanatoka Arusha Jiji kwenda...
0 Reactions
0 Replies
47 Views
  • Redirect
Stori kama hizi zimeshasahaulika na wamehakikisha kutozienzi. Leo baadhi yao wanafundishwa kumchukia mkristo kusahau kuwa kuna historia inawaponza. NITAPELI MALI ZANGU ILA HAUWEZI NITAPELI KIITIKADI
0 Reactions
Replies
Views
Nipo tiyari kukosolewa lakini Kwa uthibitisho tu na sio mbwembwe zingine. Kwanza hakuna kwenye biblia sehemu yoyote Ile watu walifanya harambee ya kumnunulia mtume ama nabii punda ama farasi Kwa...
10 Reactions
138 Replies
2K Views
Binadamu kiasili ameumbwa na hofu mbili tu,yaani hofu hizi ndio asili yake Hofu ya kwanza ni kuanguka,hii ni hofu ya asili tangu tukiwa utotoni, ndio maana mtoto ambaye anaanza kusimama mara...
5 Reactions
7 Replies
285 Views
Good Sunday Ladies And Gentlemen... Miaka Kadhaa Nyuma Kulikua Na Kampeni Kabambe Kila Jumamosi Ya Kwanza Ya Mwezi Na Kila Mtu Aliiheshimu Kama Sio Kuiogopa Kabisa Siku Hiyo... ..Ni Siku Ya...
2 Reactions
14 Replies
252 Views
👇🏻 1.> Jikubali kuwa unaweza, na unaweza kuwa yeyote muda na wakati wowote. 2.> Epuka kuishi maisha ya kuigiza, ishi maisha yako halisi. 3.>Usiishi Maisha ya kushindana, yatakupelekea kuwa...
1 Reactions
2 Replies
271 Views
Kumekucha. Yaani ninatumia app hapa ya kuangalia mechi "Football live" na "live tv" yaani ili mechi iishe ninahitaji si chini ya MB 800 na kama kuangalia hadi matangazo ni GB nzima . msaada walau...
2 Reactions
22 Replies
576 Views
Leo katika Harakati zangu za Maisha Niko kwenye kiduka changu uchwala wamekuja wateja ktk maongezi yao wakataja neno Lonja nikajiuliza hili neno ni la kilugha au kiswahili na lina maana Gani.
3 Reactions
18 Replies
524 Views
Tunahitajika kujiondoa katika dhoruba za maisha ambazo zipo ndani ya uwezo wetu,na kimsingi kinacho tutese kwa sehemu kubwa ni kilichopo ndani ya uwezo wetu, hatuhitaji kujifunza,tunavua vazi la...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
Huwezi kukataa kuwa jamii yetu inazidi kushikwa mateka na utamaduni wa kuabudu watu mashuhuri. Ndoa ya Aziz K na Hamisa Mobetto imethibitisha tena jinsi watu maarufu wanavyoweza kuteka fikra za...
0 Reactions
1 Replies
135 Views
Hizi "Parking Fee" zimekuwa na Upigaji ambao haueleweki. Nimejaribu tu kuingia katika TeRMIS (termis.tamisemi) nikaweka namba yangu ya gari ambayo nimeagiza na imesajiliwa Tarehe 6 mwezi wa 2...
0 Reactions
3 Replies
393 Views
Mzungumzaji Mbali na usafirishaji wa pesa taslimu kila wiki hadi kila siku 10 wa dola milioni 40 hadi 80. Afghanistan inatawaliwa na watu wanaoitwa Sara Yudin-Hakani. Mtandao wa Hakani...
0 Reactions
19 Replies
313 Views
Maisha ya mwanadamu ni mpangilio wa hatua mbalimbali ambazo mtu huzipitia katika vipindi mbalimbali. Mtu anazaliwa, anaanza kukaa, halafu anatembea, anakua na kufikia kipindi cha kuanza shule...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Wafanyabiashara Soko la Kariakoo, wameiomba Serikali kuwaondoa raia wa kigeni ambao wamekuwa wakiuza bidhaa rejareja kwa bei ya chini hali inayopelekea raia wa nchini kukosa wateja. Wakiongea na...
47 Reactions
133 Replies
4K Views
Wakuu, Hapa nimeshtuka toka usingizini maana najihisi kama sijui nilikua nimekufa vile. Eti nimeota niko juu mbinguni, niko na ndugu na jamaa zangu waliokufa siku nyingi, tukawa tunaiangalia...
2 Reactions
16 Replies
430 Views
Back
Top Bottom