Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Inawezekanaje watu wapange utaratibu ambao siyo rafiki kwa waajiriwa wapya? Iko hivi: Ukipangiwa ajira na sekretarieti ya ajira kwa maana ya kufaulu usaili, unapewa barua ya kuripoti kazini ndani...
19 Reactions
97 Replies
12K Views
Aisee nilipata dharula nikakopa kwenye moja ya hizi app siku ya marejesho, sikuwa na kiasi husika. Walichokifanya wamegawa namba zangu kwa watu hata siwafahamu kwa siku, napigiwa simu hata Mia na...
10 Reactions
30 Replies
996 Views
Hii kwa watoto wa kuwekwa kwenye Pot,pampus na tissue hawajui kuhusu hichi kiti cha asili cha kukalia.
5 Reactions
4 Replies
296 Views
Wadau hamjamboni nyote? Tafakuri ya kina kwa wenye hekima Ni wakati muafaka kuirejea dini ya haki Dominica njema
1 Reactions
9 Replies
209 Views
Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu. Kwa Mara nyingine narudi kwenu wana jf, naombeni mnisaidie kazi yoyote ile ya halali. Nina shahada ya mambo ya uchumi na mahesabu pia. Lakini nipo...
2 Reactions
8 Replies
195 Views
Wote tunafahamu kwenye agano la kale dhambi ya uzinzi ilihesabika mpaka pale mtu alipozini lakini Yesu alijua kuiongeza makali ile sheria kwamba hata kwa kumuangalia mwanamke kwa kumtamani basi...
1 Reactions
2 Replies
143 Views
Waswahili wakitumia fedha na baadaye kujiona wahitaji wanahesabu yale matumizi ni bure ni kama wamepoteza fedha. Iwe ulihonga, ulinunua pombe na kitimoto, ulinunua midoli, gari, nyumba, ulifungua...
2 Reactions
5 Replies
176 Views
Wakuu, Yaani kutoka TANU mpaka kufikia CCM bado wameendeleza kuweka nguvu kwenye mambo yasiyo na maana na kuacha vitu ambayo vinadidimiza taifa kwenye maendeleo ya sekta mbalimbali. Yaani watu...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Umuofia kwenu, Aise kuna fundi nilimpa kazi na malipo 85% kazi ilikua ya makubaliano ya kukamilika kwa wiki Moja, lakini sasa yapata mwezi na mwelekeo wa kukamilika haupo. Mbaya zaidi hana...
3 Reactions
15 Replies
269 Views
Kaka, kuna kitu umeniandikia leo kimenigusa sana, hiyo ishu ya kuwa karibu na marafiki kwamba rafiki yako ndiyo kila kitu, mimi imenikuta na naumia mpaka sasa sijui kwanini siku zote sikushtuka...
12 Reactions
110 Replies
8K Views
MALCOM LUMUMBA eti Chige yupo wapi siku hizi??
1 Reactions
2 Replies
110 Views
KItuo cha polisi Chanika, kimekuwa kikipelekewa malalamiko kila kukicha na viongozi wa Mtaa wa Mvuleni Msongola, Maeneo ya Kitonga Wananchi wanashindwa kuendelea na shughuli zao. Wanavamiwa na...
1 Reactions
2 Replies
207 Views
Kwema wakuu! Nina binti wa miaka minne ambae nimeamua kumpeleka boarding kutokana na kukosa maelewano mazuri na mzazi mwenzangu hali iliyopelekea nitengane nae na kubaki na mwanangu. Niliamua...
0 Reactions
0 Replies
108 Views
Shika neno hili. Kuna mtu ukimkopesha Hela, kila mara unakuwa mtu wa kupoteza simu na mtu msahaulifu. Mtu mwingine ukimkopesha Hela Yako, anakupeperusha, unajikuta bila sababu yoyote umehamia...
17 Reactions
51 Replies
976 Views
Mimi binafsi naomba kutangaza kuchoshwa na hivi vipasa sauti vya misikiti na makanisa.. Kinachonishangaza na waslamu sijui mmeanza kuwa km walokole miskiti ipo kila baada ya nyumba sita jion...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=_PCe60hMfms Mimi unanikumbusha redio ya cassette ya panasonic mida ya menu mchana RTD nikiwa na mama na marehemu babangu. Kweli muda unakimbia sana. Mshana Jr
22 Reactions
106 Replies
2K Views
1. “Gereza kuu ambalo watu wanaishi ndani yake ni hofu ya kile ambacho wengine wanafikiria.” — David Icke 2. “Jihadharini na wale wanaoomba msamaha haraka sana; mara nyingi wanafanya hivyo ili...
4 Reactions
5 Replies
201 Views
"Mtu akapigiwa simu, samahani kuna muamala umetumwa kimakosa kwako, tunaomba uurudishe. Akajibu poleni sana, kwakweli hii ni bahati yangu, siwezi kurudisha 😆 Na ni mwanamke" Kwa sasa ukikosea...
14 Reactions
21 Replies
745 Views
Watekinologist Mnaendaje nayo hiii Naona advertisement kwamba watu wanatumia CHATGPT kutengeneza had 100$ kwa siku mnafanyaje
2 Reactions
4 Replies
187 Views
Kwenye masuala yanayohusu mikopo, Leverage ni neno linalomaanisha ‘getting more from less’, maana yake unaweza ukawa na shilingi elfu kumi mfukoni mwako halafu ukaitumia hiyo elfu kumi yako kupata...
3 Reactions
11 Replies
720 Views
Back
Top Bottom