Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wasalaam wana JF Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli. Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi...
123 Reactions
555 Replies
36K Views
Tuliajiriwa watu 4 wilaya moja ambayo ni kijijini mno watatu walikuwa ni wanawake Ajabu ni kwamba hakuna aliyeripoti kwenye wilaya tuliyopangiwa zaidi yangu Cha kushangaza wote majina yao...
7 Reactions
26 Replies
899 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Mbona naona km serikali imesimama kila mwenye kanafasi anajifanyia anavyoona inamfaa. Wiki hii wameripoti wanafunzi wanajiunga na masomo ya sekondari kidato cha kwanza 2025. Kuna shule za serikali...
3 Reactions
11 Replies
524 Views
Sasa sijui ilikuwa ni Imani tu au lah! Ukipoteza mifugo hasa porini unaweka mate kwenye kiganga Cha mkono Kisha unayachapa kwa kidole yanaruka yatakaporuka mengi ndo huko huko inaelekea. Ili...
4 Reactions
12 Replies
266 Views
Kuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi...
5 Reactions
48 Replies
3K Views
Kanisani kuna watu wana hali ngumu sana kifedha, ufukara umewajaa, Hawana chakula, nguo, makazi ya uhakika, Hawana vyanzo rasmi vya mapato, yaani full dhiki. Hawa watu ni waaminifu sana mbele za...
6 Reactions
56 Replies
790 Views
Nawa kumbusha kwa jina la Yesu Kristo kila asubuhi uamkapo omba hata dk 1, 2 au tatu ili bwana abariki kazi za mikono yako. Hata kama hujaokoka omba maana hata mvua yesu huwanyeshea wema na...
33 Reactions
65 Replies
2K Views
Omba Omba kila sehemu wana tabia zao na maeneo yao ya kufanyia kazi yao ya kuomba misaada ila wa Bukoba mjini hiyo tabia hasa wakina mama wazee kukaa nje ya vyumba vya ATM sio poa sasa kama...
5 Reactions
24 Replies
876 Views
Siri nzito kuhusu unyayo wako hapa ukiweza tu basi unafanikiwa hakika ni muujiza Mwanadamu ni kiumbe mwenye siri nyingi na ambaye pia ameumbwa na siri nyingi Unyayo wa mwanadamu ni waya wa...
8 Reactions
24 Replies
1K Views
P.O.Box ..... Kwa ustaarabu nasema walokole mnatufedhehesha sisi WAKRISTO. Inakuwaje mtu unaanza kuropoka kwenye bus halafu unalazimisha watu wakupe pesa la si hivyo basi halitofika salama...
2 Reactions
5 Replies
152 Views
Muda si mrefu kampuni ya ujenzi inakabidhi bwawa la umeme. Ujenzi wa bwawa hilo ndio biggest engineering project kuwai kufanyika Tanzania na Africa mashariki yote. 1. idadi ya watu 11856...
16 Reactions
83 Replies
2K Views
Asili inachukua mkondo wake.. Dini zilizotegemewa kama kimbilio la kumuokoa mwanadamu kiroho sasa zinashuhudia anguko kubwa kuliko wakati mwingine wowote ule Kwasasa dini nazo ni mateka wa imani...
16 Reactions
84 Replies
3K Views
Ni kitu cha kipumbavu Sana na cha kijinga na Roho mbaya Kwa baadhi ya watu kukejeli wanawake wenye watoto kuolewa. Hiki kimejitokeza Sana wiki hii kufuatia Hamisa Mobeto kutolewa mahali na Aziz...
7 Reactions
62 Replies
859 Views
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Slaa (wapili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila (wapili kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB, Dkt...
1 Reactions
1 Replies
145 Views
Kataa ukubali Kizazi hiki ndo mtaji mkubwa sana wa Ccm. Ccm kwenye kampeni zao Huwa wanakirinda Kwa wivu mkubwa mno. Kizazi hiki kinakiambia ccm imetulea.Ccm imeleta Amani Nchi hii nk. Kizazi...
5 Reactions
10 Replies
250 Views
Mtungi mdogo wa Gesi wa Kilo Sita Net bei yake ni elfu 45 mpaka elfu 55 Nimecheki hii Induction Cooker direct from Factory huko China Hata tukichukilia kwamba dollar moja ni elfu 2600 hii cooker...
18 Reactions
84 Replies
3K Views
Maisha yana siri Kubwa sana asimilia 99.99% aliyekuzidi mafanikio kakuzidi zambi hata kama nikiongozi wa dini
6 Reactions
12 Replies
281 Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa juhudi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan zimeifanya Tanzania kuwa...
0 Reactions
7 Replies
298 Views
Back
Top Bottom