Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Na siku hizi wamekuja tofauti, zamani unatumiwa ujumbe moja kwa moja, sikuhizi utatumiwa meseji habari yako, hellow, vipi, n.k. Unaweza kudhani ni mtu mnafahamiana labda huna namba yake...
0 Reactions
5 Replies
144 Views
Kwema wakuu? Nina hitaji Muongozo wa katiba ya NGO ambayo ni English version. Online site ya board ya NGOs iko suspended. Mwenye kuwa nayo ninaomba anisaidie. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
75 Views
Katika bara la Afrika, nchi zimekuwa tegemezi kwa mazao machache ya chakula. Sasa hivi, spishi 20 za mimea zinatoa asilimia 90 ya chakula chetu, na tatu kati ya hizo – ngano, mahindi, na mpunga –...
1 Reactions
1 Replies
442 Views
Mchimbaji mdogo mdogo wa Madini ya Ruby yaliyopo katika kata ya Mundarara wilayani Longido Mkoani Arusha Sendeu Laizer ameibuka kuwa tajiri katika sekta hiyo baada kupata tani tano za madini hayo...
2 Reactions
114 Replies
16K Views
Tena 85% ya Ndugu zake (hasa Kaka zake) wako nchini Oman na wanashangaa kuona tukisema ni Mwenzetu.
0 Reactions
3 Replies
187 Views
Maisha ni magumu sana kwa "Majobless Pro Max." Ukiwa mtaani, inabidi upambane kweli kweli ili uweze kupata chochote kitu cha kula. Wakati mwingine, unaweza kula mara moja kwa siku au kama bahati...
7 Reactions
23 Replies
298 Views
Ni usiku wa kawaida jijini Mbeya. Clara, binti mrembo mwenye tabasamu la upole lakini macho yenye siri nzito, yupo na marafiki zake wawili pamoja na mpenzi wake, Anthony. Wanaketi kwa utulivu...
0 Reactions
4 Replies
158 Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nathubutu kuandika uzi huu kulingana na experience yangu na hizi shule, lakini pia kile ambacho mimi naona kingefaa. Hapo zamani ilikuwa...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Majirani zetu sasa wameongeza route ya Nairobi - Gatwick, London, UK. Kama nyongeza kwa Ile ya route ya awali NBO-LHR. Nairobi - Gatwick - J5, Ijumaa na j2
1 Reactions
6 Replies
204 Views
Anonymous (8163)
Baada ya TRA kubadili mfumo wa forodha umesababisha mizigo kuchelewa kutoka bandari na kupeleka gharama za kutoa mzigo kuongezeka. Mfano mzigo kutoka Zanzibar unachukua siku 5 kutoka bandarini...
0 Reactions
0 Replies
93 Views
  • Redirect
Anonymous
Baada ya TRA kubadili mfumo wa forodha umesababisha mizigo kuchelewa kutoka bandari na kupeleka gharama za kutoa mzigo kuongezeka. Mfano mzigo kutoka Zanzibar unachukua siku 5 kutoka bandarini...
0 Reactions
Replies
Views
Ni kawaida sana kusikia mama akisifiwa kwa kuzaa photocopy ya mume wake, bila kujua kwamba ile process ya ‘photocopying’ haikufanyika tumboni kwa mama, bali ilianza kwenye ‘Gonads /(Korodani)’ za...
5 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari wakuu: Nami naungana na watanzania wenzangu kulia pamoja kutokana na msiba mzito uliyotukuta, Tuje kwenye mada inawezekana ulikuwa unaona mishumaa ikiwashwa bila kujua maana yake hebu leo...
2 Reactions
1 Replies
17K Views
Anonymous
Barabara nyingi za Dar alama za wavuka kwa miguu, alama za matuta na mistari ya kutenganisha barabara upande wa kushoto na kulia zimefutika ambapo ni hatari kwa madereva na raia hasa wakati wa...
0 Reactions
0 Replies
72 Views
Mliofunga ndoa ya serikali nipeni mwanga. Mfano wa barua ya maombi ya kuomba kufunga ndoa ya kiserikali. Niwekeeni nicheki anuani zinapangwaje!
0 Reactions
27 Replies
600 Views
  • Redirect
#UPDATES Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni imeelezwa kuwa vijana sita, wakiwemo mabondia wawili, walipanga kumteka mfanyabiashara Deogratus Tarimo kwa lengo la kumlawiti na kumsababishia maumivu...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom