Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae...
28 Reactions
8K Replies
294K Views
Salute. Naomba niende kwenye maada mimi kama askari (mlinzi) wa kampuni binafsi wa Garda world nimeamua kutumia platform hii kuleta kero ya kiongozi wetu mkuu wa kampuni ya ulinzi Garda world...
57 Reactions
306 Replies
12K Views
Katika jamii zetu za kisasa, mifumo ya maisha inatofautiana sana kulingana na hadhi ya kifedha. Wakati wa kale, urafiki ulijengwa kwa misingi ya ukweli, uaminifu na upendo wa dhati, lakini leo...
1 Reactions
15 Replies
120 Views
Wakuu mamlaka husika fikeni TANESCO SHINYANGA MJINI vibarua wanapitia changamoto sana hakuna mfumo rasmi wa malipo ni miezi miwili hawajalipwa na hawajui watalipwa lini inglieni kati kuboresha...
2 Reactions
4 Replies
77 Views
WanaJF salam! Kuanzia mwishoni mwa mwaka jana Utumishi ilizuia mfumo wa manual wa kupitisha makato kwa watumishi wote na kutaka mfumo wa kielectronic kupitia ESS pekee ndo utumike katika kukopa...
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Picha na maelezo yote kwa hisani ya Facebook. Ni mtiririko wa picha na matukio yasiyofundishwa wala kusemwa kwenye maisha yetu ya kawaida.. Yana ufunuo na maarifa mengi ndani yake...shukrani kwa...
44 Reactions
2K Replies
72K Views
Vitambi kwa wanaume ni jambo ambalo linajulikana limekuwepo karne zote lakini wimbi la wanawake kuwa na vitambi kote duniani lilianza takribani miaka ya 2000's. Nini hasa imechochea wimbi kubwa...
6 Reactions
70 Replies
876 Views
Maisha ya sasa usipokuwa na financial literacy (elimu ya pesa) unaweza kujikuta umeingia kwenye utumwa wa matumizi makubwa, ambayo baadaye yanakupeleka kwenye uraibu wa mikopo usioisha. Mambo...
55 Reactions
152 Replies
5K Views
Kufuatia mafuriko ya SGR (Dar-Moro- Dodoma) mabasi ya Shabiby na Abood wamejiongeza na kutafuta route mpya. Asante Samia
1 Reactions
11 Replies
477 Views
Vifaranga vyangu vya kuku wa kienyeji, walipofikisha umri wa takribani wiki 2 hivi niliamua kuwapa chanjo hii. Baada ya muda vifaranga viliendelea vzr lkn sasa vimepata madhara kwenye jicho...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
1.0 In a quest to enhance and attract new natural experiences to city centers, the design, planning, and revitalization of certain urban spaces align with strategies aimed at improving the quality...
1 Reactions
9 Replies
92 Views
Inarudi tena Mkono unateleza polepole Wa muda na amri zake Muda si muda unafika Unakaa mahali pake Kivuli chake usoni pangu Kinatia shinikizo katika siku yangu Maisha haya...
0 Reactions
0 Replies
21 Views
Baadhi ya waumini Wasabato, wanaojitambulisha kama 'Masalia' baada ya kutimuliwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, ambako wamekuwa wakipiga kambi kwa imani ya kunyakuliwa...
6 Reactions
59 Replies
13K Views
Serikali imewapa siku tatu wawekezaji wote wa kigeni kuondoka katika maeneo ya mgodi wa madini Nditi uliopo wilayani Nachingwea mkoani Lindi na kuwaacha wachimbiji wadogo katika eneo hilo kwani ni...
1 Reactions
1 Replies
51 Views
Mwili wa marehemu Naomi Orest Marijani aliyeuawa na mume wake kisha kuchomwa moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ndani ya banda la kuku na mume wake Hamis Luwongo Mei 15, 2019 Maeneo ya...
5 Reactions
135 Replies
3K Views
Wakati wimbi la mikopo ya kausha damu likiendelea kutikisa nchini, wajasiriamali wilayani Serengeti mkoani Mara wametakiwa kuchangamkia fursa ya mikopo nafuu ya asilimia 10 inayotolewa na...
0 Reactions
2 Replies
50 Views
Nenda kasome tu for your own benefits and risks. Ila kwa ground mambo ni tofauti sana. Kasomee ufundi unaotaka wewe, ila the moment umefungua ka kibanda kako tu, hujaanza kuingiza hata senti 5...
1 Reactions
1 Replies
51 Views
Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
30 Reactions
247 Replies
6K Views
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi imekabidhi hati miliki za kimila kwa wakazi 360 wa Kijiji cha Mpinga, Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma, bila malipo yoyote. Hatua hii ni...
0 Reactions
0 Replies
21 Views
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania Wachina wanafungua car wash Wachina wanafungua supermarket Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki Wachina wanafungua maduka ya...
20 Reactions
125 Replies
3K Views
Back
Top Bottom