Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Nna miaka 30 kuna mtu pia ana miaka 33. WOte wamemaliza degree 2017/19 hawa watu wanapiga mishe za hapa na pale mitaani (vibarua) wakisubiri ajira za ualimu waajiriwe. Kuna jamaangu mmoja leo...
13 Reactions
21 Replies
405 Views
Profesa Janabi Mimi GENTAMYCINE nipo tayari Kuugua vyote ila kuna Wapumbavu fulani kamwe sitowasamehe abadani. Na uzuri ni kwamba kila baada ya miezi mitatu napima haya Magonjwa yako tajwa na...
5 Reactions
31 Replies
510 Views
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imewahukumu kifungo cha maisha jela washtakiwa watano baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya aina za heroini gramu 5,309.57 na...
34 Reactions
421 Replies
54K Views
Zoezi la ugawaji wa vizimba kwa wafanyabiashara wa soko la Mbuyuni umezua sintofahamu baada ya baadhi ya wafanyabiashara kudai kutoorodheshwa kwenye majina ya wanaostahili kupewa vizimba . Soko...
3 Reactions
2 Replies
118 Views
Salam ndugu zangu wana jamvi Naomba kuuliza swali jepesi, umewahi kutokewa au kusikia ndugu yako au Jamaa yako mtumishi WA Serikali anapata uhamishi kutoka sehemu moja ama nyingine lakini...
1 Reactions
4 Replies
157 Views
Hii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali, Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka. Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa...
23 Reactions
249 Replies
36K Views
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi. Mpangaji wangu mmoja...
37 Reactions
184 Replies
4K Views
Natokea Kanda ya ziwa Tanzania kubwa na nimetembea baadhi ya maeneo ila aisee hii Kanda ya kati ni shida Ukiwa safari huoni mgombea, majaruba, Mti wa mhogo n.k yaani sehemu ni kame kama Nini...
11 Reactions
65 Replies
2K Views
Hizi ni picha zikionesha umati wa watu kutoka taifa la marekani ambao ni waislamu wakiswali swala ya Taraweeh eneo la Times square katika jiji la New york nchini Marekani. Kwa ishara hii naona...
10 Reactions
39 Replies
668 Views
Binafsi nimekuwa na kulelewa na baba kwani mama yangu alifariki nikiwa nipo mdogo, nilipofika darasa la 6 baba alipata mwanamke wa kuishi nae, huyu nilitambulishwa kuwa atakuwa akiishi nasi. Huyu...
14 Reactions
158 Replies
2K Views
Wakuu, Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana. Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa...
51 Reactions
334 Replies
8K Views
How to Become Wealthy in 5 Years Become Financially Educated Learn Money Management Save Money to Invest Invest in Passive Income Sources Network with self-made Rich People Have Mutual Sources of...
2 Reactions
32 Replies
851 Views
Kwa ile picha pale,kwamba stand imegharibu bilioni 4,inashangaza kidogo. Bilioni 4 ni pesa nyingi sana.Haiwezekani stand ijengwe kwa kiwango kile kwa gharama kubwa namna hii. Mheshimiwa Rais una...
2 Reactions
2 Replies
85 Views
RAFIKI NI ADUI ALIYE KARIBU Na, Robert Heriel Rafiki ni mtu ambaye unaukaribu naye wa kimahusiano, unayeshirikiana naye katika mambo mengi, unayemuamini, unayetunziana naye siri na kusaidiana...
36 Reactions
41 Replies
7K Views
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wakurugenzi wa halmashauri, wakuu wa wilaya na viongozi wengine katika serikali za mitaa kutoa taarifa mapema kama wana mpango wa kugombea ubunge. Msingi wa...
7 Reactions
5 Replies
316 Views
Wananchi wa kijiji cha Ibindi, Manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi, wamependekeza adhabu ya viboko kwa wanawake wanaovaa nguo zinazodhaniwa kuwa hazina stara, wakiunga mkono juhudi za kudumisha...
2 Reactions
3 Replies
180 Views
Na hili jua huku unapigwa mgao wa maji wiki nzima , ukirudi japo uwashe feni unapigwa mgao wa umeme basi unakaa kama mbuzi mwenye kiu ukibweka huku ulimi nje ......mtatuua jamani ..... achilieni...
10 Reactions
35 Replies
868 Views
Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana. Kuna watu wanatamani kuona unateseka. Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote. Kina watu mafanikio yako yanawauma...
38 Reactions
175 Replies
3K Views
  • Redirect
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Kuombea uchaguzi mkuu 2025 ndugu Alex Msama leo ameongea na wandishi wa habari kuwa Maandalizi ya Tamasha la kuombea uchaguzi yanaendelea vizuri...
0 Reactions
Replies
Views
Mahitaji makuu matatu ni Chakula, nguo na Malazi Usipokuwa na kwako ni sawa na kuazima nguo au kula kwa jirani Tafuta kiwanja chako mapema hata kama ni nje ya mji anza taratibu kujenga kwako...
8 Reactions
7 Replies
333 Views
Back
Top Bottom