Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wakuu Salary scale TAAS 3 Hiyo ni bei gani?
2 Reactions
18 Replies
11K Views
Mimi ni kijana ninaefanya kazi mahali fulani na muda wangu wa kazi ni usiku tu na huwa tupo wawili Mimi na mwenzangu ambae tunabadilishana zamu. Katika zamu yangu huwa wateja ni wengi hadi...
4 Reactions
35 Replies
967 Views
Nimesoma kisa cha patrickk na bado nafuatilia wakati tukiendelea kumsubiria naomba nami nishare na nyinyi historia ya maisha yangu kwa ufupi. nia visa humu ni kujifunza, kushauriana na kutiana...
40 Reactions
515 Replies
30K Views
Ndugu zangu tunapata taarifa nyingi toka kila pande ya nchi yetu pendwa ya Tanzania,Leo nimepata taarifa kuwa huko Sumbawanga MANISPAA madereva bajaji wamekaa kikao na kupandisha gharama za...
0 Reactions
9 Replies
368 Views
Habari wana JF, Ninaomba kufahamishwa kuhusu mahitaji ya application ya international passport na visa, katika vipengele hivi, Mahitaji muhimu Kiasi cha fedha katika process yenyewe Muda wa...
6 Reactions
5 Replies
307 Views
Rwanda nadhani kuna nchi wameisoma inaweza kutema au kutemeshwa tenda ya AFCON 2027. Rwanda wanakarabati na kujenga viwanja kwa kasi kubwa sana. Juzi ninemsikia Waziri wa Michezo Mh. Ndumbaro...
8 Reactions
22 Replies
985 Views
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna wakati ninapotaka kujibu au kuchangia hoja mbalimbali zinazoibuliwa na wadau humu JF, .kuna kitu huwa kinanikwaza. Unakuta kila nikijibu, mara neno...
7 Reactions
47 Replies
879 Views
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewashikili na kuwahoji Wasichana wawili kutoka Vijibweni, Kigamboni wenye umri wa miaka 16 na 12, kwa madai ya kutengeneza mazingira ya kujiteka...
3 Reactions
7 Replies
427 Views
Juzi kupitia taarifa ya habari ya usiku Meneja wa TARURA Wilaya ya Urambo alipoulizwa na Baraza la Madiwani kuhusu hali mbaya ya barabara katika Wilaya hiyo bila kuogopa alitamka wazi kuwa ni muda...
1 Reactions
4 Replies
303 Views
Kwa Muda mrefu nimekuwa nikiona shida Kati ya Jamii hizi mbili yaan ni Bonge la ugomvi Kanisa limeweka zuio la Mkarismatic yoyote kutokuingia ndani ya Jengo Kupishana kwao kupo wazi. Kanisa...
8 Reactions
71 Replies
2K Views
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kuwa hadi kufikia Januari, 2025, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imekamilisha upelekaji wa umeme kwenye vijiji vyote 12,318...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Matumizi ya Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) yameanza kushika kasi Tanzania kutokana na gharama zake nafuu ikilinganishwa na mafuta ya petroli na dizeli. Tanzania ina akiba kubwa ya gesi asilia...
1 Reactions
18 Replies
560 Views
Ujumbe huu ufike Serikalini hasa kwa Wizara ya Afya, sasa hivi baadhi ya vituo vya maabara vinafanya kitu kimoja, ukienda kupima hata kama huna Typhod majibu yao ni una-typhod, unajikuta unatumia...
13 Reactions
105 Replies
4K Views
Sio kila unachokipanga ndicho kitakacho kamilika Msemo uo umemkuta waziri mkuu wa Canada Justin trudeau Aliingia madarakani mwaka 2015 - mpaka sasa Justin trudeau alivyoingia madarakani akaja...
8 Reactions
33 Replies
1K Views
Wakuu,ebu tutoane ushamba kidogo hapa,mara kadhaa nikienda hotel au restaurant kubwa huwa nikiagiza msosi naletewa msosi na hutu tumajani,naomba kuuliza hutu tumajani huwa tunaitwaje na je huwa...
3 Reactions
11 Replies
407 Views
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Aisee Elimu wanayopewa watoto wetu haiwasaidiii hata kidogo
7 Reactions
61 Replies
2K Views
Anonymous
Nimehudumiwa mara mbili katika Kituo cha Afya Halmashauri ya Mji Tunduma maarufu kwa jina "Serikalini" Kata ya Majengo ambapo walilazimisha nitoe gharama za kumuona daktari licha ya kuwa mgonjwa...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Ndugu.. Ufukara tunajua ni laana na hakuna mtu anayetaka wala kutamani kuwafukara, Mungu mwenyewe alisema atatubariki na utajiri unatoka kwake na tukimuomba atatupatia na kutujazilishia vya...
4 Reactions
67 Replies
1K Views
Niaje waungwana Kwanza kabla ya kuelezea sababu za jeshi letu kutokutoa kichapo kwa M23, naomba kwanza nianze kuwapa historia tukufu ya jeshi letu la JWTZ au TPDF kwa nchi mbali mbali za Africa...
34 Reactions
148 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…